Ambao hatujawahi kunywa pombe au kuvuta sigara, tukutane hapa

Ambao hatujawahi kunywa pombe au kuvuta sigara, tukutane hapa

Am not addicted to anything, that one straight i have.
1. Sijawai kunywa pombe ya aina yoyote hata kuonja,
2. Sijawai kuvuta sigara yoyote, labda makaratasi utotoni
3. Sijawai kubet na sijui
4. Sijawai kunywa energy drink yoyote
5.... Niiendelee niacheeeeeeee...

Mmefika wapi au hiyo ndo achievement kubwa mliyonayo?
 
Huwa hamtumii kitu afu mmefulia kuliko wanaoweka heshima bar afu mnakimbilia kuokoka mnazidi kuchanganyikiwa.
Mkuu kwanza Sina shobo na hizo dini zilizo kuja kwa mtumbwi.
👉 Second mi ni jobless pro max tu, Afu una mpimaje mtu ana hela -kwa kutumia jf😆
 
Wachache wengi wenu mmepauka sana, fanta zitawapa sukari.
Mkuu niki kuambia hata soda sipendelei, uta amini!?
,👉Kuhusu kuoauka, labda mtu akiwa na starehe nyingine - mfano madem,
So ana tumia kichaka hiki kuji ficha.
 
Naamini wengi wenu mmepauka sana achievement yenu kubwa ni kwamba hamfanyi anasa. Anyway, to each their own.
Mkuu mbona hoja yako ime jikita kwenye kupauka tu?!.
👉Kama crew yako ime Pauka, je wote wasio kunywa watakuwa hivyo??
 
Mimi niliamua kuvuta bangi japo saivi sivuti ila sababu iliyonifanya nivute bangi ni mama yangu mzazi alinipigia simu akinipa taarifa kuwa dada yangu anavuta bangi amemkuta sebuleni ananyoga.

nilichomjibu maza ndo kilimshangaza nilimwambia na mimi lazima nivute bangi maana mwanaume mzima nimekaa tu halafu dada yangu ndo anakula kush,
 
Back
Top Bottom