General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Sina mpango wa kuoa maisha, na sidhani kama ni lazima.
Kuishi kwa masharti na kufuatiliana siwezi, nahitaji uhuru na kuishi navyo taka.
Mpango wangu ni kupata mtoto mmoja, nimpe mahitaji yake ya msingi na muhimu.
Bado sijapata sababu ya kuoa.
Ni maisha niliyochagua.
General Mangi
Nairobi
Kuishi kwa masharti na kufuatiliana siwezi, nahitaji uhuru na kuishi navyo taka.
Mpango wangu ni kupata mtoto mmoja, nimpe mahitaji yake ya msingi na muhimu.
Bado sijapata sababu ya kuoa.
Ni maisha niliyochagua.
General Mangi
Nairobi