Ambao Hatuna Mpango wa Kuoa Tukutane hapa

Ambao Hatuna Mpango wa Kuoa Tukutane hapa

Hakuna mwanaume asiyependa kuoa tatizo ni nani anayefaa kuwa mke.ndoa sio kitu cha kukimbilia bila kufanya tadhimini ya kutosha,hakuna kitu kinachoteza watu wengi kama hiz ndoa za kikristo.
So what are you insinuating dude??
 
Sina mpango wa kuoa maisha, na sidhani kama ni lazima.

Kuishi kwa masharti na kufuatiliana siwezi, nahitaji uhuru na kuishi navyo taka.

Mpango wangu ni kupata mtoto mmoja, nimpe mahitaji yake ya msingi na muhimu.

Bado sijapata sababu ya kuoa.

Ni maisha niliyochagua.

General Mangi
Nairobi
Fikra hizi zinasababishwa aidha kwa kutokujiamini au ugumu wa maisha au vyote kwa viwili kwa pamoja.
 
Nijuavyo Mimi kuoa /kuolewa ni zaidi ya ngono na kuzaa watoto. Nafikiri Ndio maisha yenyewe. Haya engine yooote yanapatikana wakati wowote. Nawasiri vijana Mike na kuolewa. Kuna wakati ktk maisha Watakiwa kuwa na mke/mume. Msidanganyike sana
 
Wengi wanaokataa kuoa ni wadhaifu, udhaifu aidha kwa muonekano wao au vipato vyao au uwanaume, hofu yakua udhaifu kwawenza wao utawaletea fedhea ndo chanzo kikubwa chakukataa kuoa. acheni uoga vijana jiongezeni nakila ktu kitakua fresh.
Unaoa kisa una pesa?
 
Haya ni mawazo ya mtu aliyepotoka.....mtu asiyetambua baraka na neema za Mungu.......

Ni mawazo ya mtu aliye kwenye kilele cha ujana unaomfanya aonekane mwehu.......

Kuoa ni kutimiza haja za kimaumbile na kidini kwa wale wanaoamini uwepo na uwezo wa Mungu.......

Katika hali ya maneno yatokayo kinywani linaonekana na jambo jepesi sana.....lakini kwa wenye ufahamu na staha ni jambo lenye upotofu.........

Mwanadamu hawezi kubaki salama pasi na kutenda mapenzi ya Mungu.....

Mungu alipo pinga zinaa na kuhalalisha ndoa maana alikuwa anajua madhara ya zinaa na mateso yake.......leo hii kuna mlolongo wa magonjwa ya zinaa yasingeshika hatamu kama kila angejiweka mbali na zinaa......


Tumuombe Mungu atufunulie ili tupate wake wema........
Kweli Mtumishi nakuunga mkono nataka kutia nyama mahali hapo,wakt mtu anasema hataoa anadhani ni rahisi kuishi bila mwenza,siku,miezi,miaka itaenda umri utazidi utahitaji hata mtu wa kukutoa hapo nje uote jua utampata wapi km haukuandaa mazingira mazur ya wasidiz wako wa mbele? Kuna siku ghafla utaumwa ugonjwa wa kukulaza kitandani ni nan8 atajitokeza kukuudumia kipindi chote hicho km s familia uliyoiandaa wakt huu ambao ww hautaki kuoa????

HAPO NAZUNGUMZIA FAMILIA YAKO NDO ITAKUWA NA UCHUNGU ZAID,KAKA,DADA,WAZAZI WATAKUJA KUKUONA NA KUONDOKA,LAKIN FAMILIA YAKO ITAKUWA BENET MPK HATUA YA MWISHO.

ZINGATIA CAMERA YA KUONA MBALI SANA.
 
Back
Top Bottom