Mark Msue
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 2,293
- 12,246
So what are you insinuating dude??Hakuna mwanaume asiyependa kuoa tatizo ni nani anayefaa kuwa mke.ndoa sio kitu cha kukimbilia bila kufanya tadhimini ya kutosha,hakuna kitu kinachoteza watu wengi kama hiz ndoa za kikristo.