Ambao Hatuna Mpango wa Kuoa Tukutane hapa

Umri ukifika utahitaji mtu ndani!
 
Naunga mkono hoja , tatizo niliyenae kwa sasa analazimisha ndoa balaa.
 
Haya ni mawazo ya mtu aliyepotoka.....mtu asiyetambua baraka na neema za Mungu.......

Ni mawazo ya mtu aliye kwenye kilele cha ujana unaomfanya aonekane mwehu.......

Kuoa ni kutimiza haja za kimaumbile na kidini kwa wale wanaoamini uwepo na uwezo wa Mungu.......

Katika hali ya maneno yatokayo kinywani linaonekana na jambo jepesi sana.....lakini kwa wenye ufahamu na staha ni jambo lenye upotofu.........

Mwanadamu hawezi kubaki salama pasi na kutenda mapenzi ya Mungu.....

Mungu alipo pinga zinaa na kuhalalisha ndoa maana alikuwa anajua madhara ya zinaa na mateso yake.......leo hii kuna mlolongo wa magonjwa ya zinaa yasingeshika hatamu kama kila angejiweka mbali na zinaa......


Tumuombe Mungu atufunulie ili tupate wake wema........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…