General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
- Thread starter
-
- #21
Unasababu ya kuoa?Duuu hoja imepita nataka kuoa bt roho inagoma , [emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
21mkuu unajua nina miaka mingap?
tatizo unakariri sana.Hakuna mwanaume asiyependa kuoa
Kwann isiwe wewe umepotoka?Haya ni mawazo ya mtu aliyepotoka.....mtu asiyetambua baraka na neema za Mungu.......
Ni mawazo ya mtu aliye kwenye kilele cha ujana unaomfanya aonekane mwehu.......
Kuoa ni kutimiza haja za kimaumbile na kidini kwa wale wanaoamini uwepo na uwezo wa Mungu.......
Katika hali ya maneno yatokayo kinywani linaonekana na jambo jepesi sana.....lakini kwa wenye ufahamu na staha ni jambo lenye upotofu.........
Mwanadamu hawezi kubaki salama pasi na kutenda mapenzi ya Mungu.....
Mungu alipo pinga zinaa na kuhalalisha ndoa maana alikuwa anajua madhara ya zinaa na mateso yake.......leo hii kuna mlolongo wa magonjwa ya zinaa yasingeshika hatamu kama kila angejiweka mbali na zinaa......
Tumuombe Mungu atufunulie ili tupate wake wema........
Kwann isiwe wewe umepotoka?
mkuu inaonekana huna amani na ndoa yako aiseee...Naunga mkono hoja japo nimeoa [emoji30]
Acha kutisha watu wewe,kuoa siyo lazima,kwanza wengi wanao oa na kuolewa huwa ni wagonjwa i mean huwa wanakuwa wameshikwa na lonelness sickness hivyo wanaoa ila wapate tiba ya huo ugonjwaBasi una pepo halitaki uoe nenda Kanisani ukapate msaada wa maombi roho chafu ipo kazini
Kwa hiyo na ajali zinazotafuna watu kila siku zimesababishwa na zinaa au kutokuoa?usitishe watu bwana kila mtu anatakiwa aishi maisha yake aliyojichagulia ili mradi asivunje sheria na asimkwaze mtu,live the life of your own don't try live like others or competing with others maisha hayana formulaHaya ni mawazo ya mtu aliyepotoka.....mtu asiyetambua baraka na neema za Mungu.......
Ni mawazo ya mtu aliye kwenye kilele cha ujana unaomfanya aonekane mwehu.......
Kuoa ni kutimiza haja za kimaumbile na kidini kwa wale wanaoamini uwepo na uwezo wa Mungu.......
Katika hali ya maneno yatokayo kinywani linaonekana na jambo jepesi sana.....lakini kwa wenye ufahamu na staha ni jambo lenye upotofu.........
Mwanadamu hawezi kubaki salama pasi na kutenda mapenzi ya Mungu.....
Mungu alipo pinga zinaa na kuhalalisha ndoa maana alikuwa anajua madhara ya zinaa na mateso yake.......leo hii kuna mlolongo wa magonjwa ya zinaa yasingeshika hatamu kama kila angejiweka mbali na zinaa......
Tumuombe Mungu atufunulie ili tupate wake wema........
sina mpango huo dadatena kama una 35s usioe kabisa
nitakubaka wewe ngoja nikukamateSina mpango wa kuoa maisha, na sidhani kama ni lazima.
Kuishi kwa masharti na kufuatiliana siwezi, nahitaji uhuru na kuishi navyo taka.
Mpango wangu ni kupata mtoto mmoja, nimpe mahitaji yake ya msingi na muhimu.
Bado sijapata sababu ya kuoa.
Ni maisha niliyochagua.
General Mangi
Nairobi
Miss miaka 30 itakuhusunitakubaka wewe ngoja nikukamate
tena nitafute harakaMiss miaka 30 itakuhusu