So what are you insinuating dude??Hakuna mwanaume asiyependa kuoa tatizo ni nani anayefaa kuwa mke.ndoa sio kitu cha kukimbilia bila kufanya tadhimini ya kutosha,hakuna kitu kinachoteza watu wengi kama hiz ndoa za kikristo.
Tatizo ni tu yule wa kumuoaHakuna mwanaume asiyependa kuoa
Fikra hizi zinasababishwa aidha kwa kutokujiamini au ugumu wa maisha au vyote kwa viwili kwa pamoja.Sina mpango wa kuoa maisha, na sidhani kama ni lazima.
Kuishi kwa masharti na kufuatiliana siwezi, nahitaji uhuru na kuishi navyo taka.
Mpango wangu ni kupata mtoto mmoja, nimpe mahitaji yake ya msingi na muhimu.
Bado sijapata sababu ya kuoa.
Ni maisha niliyochagua.
General Mangi
Nairobi
Toka uanze mapenzi umeshakuwa na wanaume wangapi?!Ubahili unakusumbua sio buree
2Toka uanze mapenzi umeshakuwa na wanaume wangapi?!
Apia
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Apia
nipo Mbali sanatena nitafute haraka
Unaoa kisa una pesa?Wengi wanaokataa kuoa ni wadhaifu, udhaifu aidha kwa muonekano wao au vipato vyao au uwanaume, hofu yakua udhaifu kwawenza wao utawaletea fedhea ndo chanzo kikubwa chakukataa kuoa. acheni uoga vijana jiongezeni nakila ktu kitakua fresh.
Nalelewa na pesa mkuu, acha ujingaHakuna mangi boyaboya kama wewe...ukizeeka nani atakulea mangi? Ukibadili mawazo usisite kuanzisha uzi mwingine wa kukanusha huu!
ndioKwahio utazini maisha yako yote
Hahahaaaaaa kweli we mr wenger.Naunga mkono hoja japo nimeoa [emoji30]
Kida MnamaEeka mangi Saaah
Kweli Mtumishi nakuunga mkono nataka kutia nyama mahali hapo,wakt mtu anasema hataoa anadhani ni rahisi kuishi bila mwenza,siku,miezi,miaka itaenda umri utazidi utahitaji hata mtu wa kukutoa hapo nje uote jua utampata wapi km haukuandaa mazingira mazur ya wasidiz wako wa mbele? Kuna siku ghafla utaumwa ugonjwa wa kukulaza kitandani ni nan8 atajitokeza kukuudumia kipindi chote hicho km s familia uliyoiandaa wakt huu ambao ww hautaki kuoa????Haya ni mawazo ya mtu aliyepotoka.....mtu asiyetambua baraka na neema za Mungu.......
Ni mawazo ya mtu aliye kwenye kilele cha ujana unaomfanya aonekane mwehu.......
Kuoa ni kutimiza haja za kimaumbile na kidini kwa wale wanaoamini uwepo na uwezo wa Mungu.......
Katika hali ya maneno yatokayo kinywani linaonekana na jambo jepesi sana.....lakini kwa wenye ufahamu na staha ni jambo lenye upotofu.........
Mwanadamu hawezi kubaki salama pasi na kutenda mapenzi ya Mungu.....
Mungu alipo pinga zinaa na kuhalalisha ndoa maana alikuwa anajua madhara ya zinaa na mateso yake.......leo hii kuna mlolongo wa magonjwa ya zinaa yasingeshika hatamu kama kila angejiweka mbali na zinaa......
Tumuombe Mungu atufunulie ili tupate wake wema........
hahahahaMapenzi ya kweli??_A very new vocabulary in my cranium.Why keeping a cow if you can get free milk??