Ambao hawakumuona Mwl. Nyerere, wamemuona Dkt. Magufuli

Mama tunae mpaka 2030,akifuatiwa na Hussein Mwinyi mpaka 2040 na Mbowe au Lissu makamu ndani ya serikali mseto na katiba mpya, 2060 CHADEMA full!
Utakuwa ushapotea!
Nakuweka sawa, kikatiba mama 2025 ndio anaanza 10 yake, akimaliza tunampa mitano ya shukrani mpaka 2040, hawa mapakashume watasubiri sana.

Note: nchi hii haitokabidhiwa tena kwa kichaa, Watanzania wote bila kujari vyama tumejifunza hilo.
 
Nakuweka sawa, kikatiba mama 2025 ndio anaanza 10 yake, akimaliza tunampa mitano ya shukrani mpaka 2040, hawa mapakashume watasubiri sana.

Note: nchi hii haitokabidhiwa tena kwa kichaa, Watanzania wote bila kujari vyama tumejifunza hilo.
Kwa kweli, na ata lile kabila lagnu la wengi uku kwetu kanda ya ziwa pia ni shida tupu.

Ata wakisema nimewasaliti lakini ukweli ni kwamba wametuaibisha sana kwa umbukeni na ushamba uliosababisha uchumi kuharibika!

Msukuma bhana kaona hela bank kuu akajua zote zake!😂😂
 
Nakuweka sawa, kikatiba mama 2025 ndio anaanza 10 yake, akimaliza tunampa mitano ya shukrani mpaka 2040, hawa mapakashume watasubiri sana.

Note: nchi hii haitokabidhiwa tena kwa kichaa, Watanzania wote bila kujari vyama tumejifunza hilo.
Alafu kau edit huyo mjamaa wako, sijui kaogopa kivuli chake? 😂😂😂

Nitawaalika kwenye kiapo changu!
 

Unamaana hata kinna Severine Niwemugizi hawakumuona Nyerere au Jiwe?

Niwemugizi: Nyerere angekuwapo angewacharaza CCM viboko

Hiiiiii bagosha!
 
Stupid
 
Alama za maiti kwenye viroba?
Sawa na Idd Amin ambae nae kaacha alama za mauaji,shame!

Sukuma gang bado hawajaamini kuwa mwenzao tayari kaoza na kaacha amewapaka madoa machafu na ya kudumu
 
Na mama anawanyoosha tena sijui sasa watakkmbilia wapi kila waendako ni nchale tuuuu!!
Na mama anawanyoosha sawasawa anauma na kupuliza,huku Sabaya kule Mbowe,ni ngumu kusema anaonea mtu.
 
Kanda ya wapiga dili, hata wewe, usingeipenda,
 
Sawa na Idd Amin ambae nae kaacha alama za mauaji,shame!

Sukuma gang bado hawajaamini kuwa mwenzao tayari kaoza na kaacha amewapaka madoa machafu na ya kudumu
Kilichofanyia Leo Chato, ni ujumbe tosha kwamba, Nyerere wa Zama zetu ni JPM
 
Enclopedia ijayo inapaswa kumtambua JPM kama rais bora, mchapakazi na mzalendo
 
Acha kufananisha Baba wa Taifa na wahuni!!!

 
Usimlinganishe Hayati Mwl Nyerere na watu wasiofanana nae hata kwa 2% ya utendaji ,sie tuliyaona mengi aliyoyafanya kwa taifa na Africa bila ubaguzi wa kikabila wala kikanda.dont ever repeart such at stupid comparison
Huo ndio Ukweli, na maadhimisho ya Nyerere Day Leo ni ujumbe tosha kwako kwamba Nyerere wa Kizazi hiki ni JPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…