OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Nyerere aliiba kama Magufuli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama serikali yenyewe imemkataa mimi nani nimkubaliSiku akili yako ikifunguka, utatambua umuhimu wa JPM katika nchi yetu
Hata utumie hesabu astronomical bado justification ya kuwa na Airport ya International runway Chato siyo JUSTFIABLE. Ule ni ufisadi na ubinafsi wa hali ya juu kabisa. Tanzania hatukustahili kutawaliwa na MagufuliHizo ni zama braza, kumbuka zama za wakati wa Julius akiwa Rais hakukuwa na flyover hata moja nchi nzima na hakuwa na rami toka DSM - MZA na wala DAR -MTWARA na wala hukuwa na Bwawa la Julius Nyerere na serikali bado haikuwahi kuhamia Dodoma pamoja na kwamba yalikuwa ni mawazo yake. Hayo yote umeshindwa kuyashangaa isipokuwa tu uwanja wa ndege Chato? Acha fikira za wivu.