Ambao hawakumuona Mwl. Nyerere, wamemuona Dkt. Magufuli

Ambao hawakumuona Mwl. Nyerere, wamemuona Dkt. Magufuli

1. Nyerere hakuwa muuaji,
2. Nyerere hakuweka ndugu zake
3. Nyrere hakuwa katili
4. Nyerere hakumpiga Lisu risasi 32

inatosha
Siku akili yako ikifunguka, utatambua umuhimu wa JPM katika nchi yetu
 
Kwa kuzingatia comments tu mleta uzi umepigwa na kitu chenye ncha kali takoni🤣🤣 usifananishe bahari na dibwi chafu😎😎
Kama umefuatilia Leo huko chato maadhimisho ya Nyerere Day, umetambua Nyerere wa sasa ni JPM
 
Kwa kweli, na ata lile kabila lagnu la wengi uku kwetu kanda ya ziwa pia ni shida tupu.

Ata wakisema nimewasaliti lakini ukweli ni kwamba wametuaibisha sana kwa umbukeni na ushamba uliosababisha uchumi kuharibika!

Msukuma bhana kaona hela bank kuu akajua zote zake!😂😂
Wewe ni kibaraka wa shetani, utakuwa unatoka kanda ileee ya wapiga dili
 
Kama kutokujitambua ni jinsi hiyo, yes alikuwa hivyohivyo...Ukitaka linganisha hotuba zao mitandaoni uone...Wanafanana kwa karibu kila kitu hadi kukusema hadharani bila uwoga wala kupepesa jicho!
Nadhani bado uko kwenye njozi. Labda kama kuna 'Nyerere' uliembumba. Viatu mnavyojaribu kumvisha Jiwe vinampwa sana, msichoke kajaribuni vya Lady Hangaya.
 
Hizo pesa zilizoibwa, zipo wapi?. Mbona Nyaraka za Panama hazimtaji huyu shujaa wetu?. JPM, rais wa wazalendo
Ujenzi wa Chato International Airport? Kama huo ndio uzalendo wenu, basi ni aibu tupu. Kamuulize Dotto James.
 
Hizo pesa zilizoibwa, zipo wapi?. Mbona Nyaraka za Panama hazimtaji huyu shujaa wetu?. JPM, rais wa wazalendo
Ujenzi wa Chato International Airport? Kama huo ndio uzalendo wenu, basi ni aibu tupu. Kamuulize Dotto James.
 
Kesho tarehe 14/10/2021 ni kumbukizi ya Miaka 22, tangia kuondokewa na Baba wa Taifa letu, Mwl. Julius Kambarage Nyerere.

Vijana wengi wa sasa hatukubahatika kumuona Mwl. Nyerere Bali tunamsoma tu vitabuni na kuskia masimulizi kumhusu.

Mfano:

1. Kwamba Mwl. Nyerere alipigania Uhuru wa Taifa letu

2. Kwamba Mwl. Nyerere hakutaka wazungu watuibie madini yetu na rasilimali zinginezo

3. Kwamba Mwl. Nyerere alitoa Elimu bure kwa watanzania kuanzia msingi hadi sekondari

4. Kwamba Mwl. Nyerere alijenga miundo mbinu ya reli, bandari na Barabara

5. Kwamba Mwl. Nyerere alianzisha mashirika ya Umma kama Air Tanzania, TRC, Tazara n.k

6. Kwamba Mwalimu Nyerere hakuwa na aibu kwa mafisadi wala wahujumu uchumi wa Taifa hili

7. Kwamba Mwl. Nyerere hakuwa tayari kutii maagizo ya Mabeberu.

8. Kwamba Mwalimu Nyerere ni Mzalendo aliyekuwa tayari kufa kwaajili ya Taifa lake.

Mambo hayo mazito, kuna vijana wanaodhani kwamba ni porojo, hayakufanyika na hakuna Mtanzania awezaye kuwatenda.

Tunapoadhimisha miaka 22 tangia kumpoteza Mzalendo wetu, ni dhahiri kwamba Mheshimiwa Hayati JPM ndiye Nyerere wa zama zetu.

Kama JPM ameweza kufufua mashirika ya umma, kukomesha wizi wa madini, kupitia upya mikataba ya madini, kuzuia hujuma ktk miradi ya umeme, kuhuisha reli ya kati na Tazara, kununua meli mpya, vivuko na ndege, kukomesha ujangili wa tembo, kutumbua mafisadi, kukataa maagizo ya mabeberu.

Ni Faraja kwamba Matendo ya Nyerere na Magufuli ni fundisho kwetu kuwa wazalendo, wachapa kazi na kuutetea Uhuru na kulinda rasilimali za Taifa.

Nawatakia Kumbukizi njema yenye Tafakuri kwetu
Dogo, soma shule ukapambane mtaani

Compare the incomparable

Tumeisha wakati wa nyerere pia tumewona yule kichaa
 
Hizo pesa zilizoibwa, zipo wapi?. Mbona Nyaraka za Panama hazimtaji huyu shujaa wetu?. JPM, rais wa wazalendo
Ujenzi wa Chato International Airport? Kama huo ndio uzalendo wenu, basi ni aibu tupu. Kamuulize Dotto James.
 
Kesho tarehe 14/10/2021 ni kumbukizi ya Miaka 22, tangia kuondokewa na Baba wa Taifa letu, Mwl. Julius Kambarage Nyerere.

Vijana wengi wa sasa hatukubahatika kumuona Mwl. Nyerere Bali tunamsoma tu vitabuni na kuskia masimulizi kumhusu.

Mfano:

1. Kwamba Mwl. Nyerere alipigania Uhuru wa Taifa letu

2. Kwamba Mwl. Nyerere hakutaka wazungu watuibie madini yetu na rasilimali zinginezo

3. Kwamba Mwl. Nyerere alitoa Elimu bure kwa watanzania kuanzia msingi hadi sekondari

4. Kwamba Mwl. Nyerere alijenga miundo mbinu ya reli, bandari na Barabara

5. Kwamba Mwl. Nyerere alianzisha mashirika ya Umma kama Air Tanzania, TRC, Tazara n.k

6. Kwamba Mwalimu Nyerere hakuwa na aibu kwa mafisadi wala wahujumu uchumi wa Taifa hili

7. Kwamba Mwl. Nyerere hakuwa tayari kutii maagizo ya Mabeberu.

8. Kwamba Mwalimu Nyerere ni Mzalendo aliyekuwa tayari kufa kwaajili ya Taifa lake.

Mambo hayo mazito, kuna vijana wanaodhani kwamba ni porojo, hayakufanyika na hakuna Mtanzania awezaye kuwatenda.

Tunapoadhimisha miaka 22 tangia kumpoteza Mzalendo wetu, ni dhahiri kwamba Mheshimiwa Hayati JPM ndiye Nyerere wa zama zetu.

Kama JPM ameweza kufufua mashirika ya umma, kukomesha wizi wa madini, kupitia upya mikataba ya madini, kuzuia hujuma ktk miradi ya umeme, kuhuisha reli ya kati na Tazara, kununua meli mpya, vivuko na ndege, kukomesha ujangili wa tembo, kutumbua mafisadi, kukataa maagizo ya mabeberu.

Ni Faraja kwamba Matendo ya Nyerere na Magufuli ni fundisho kwetu kuwa wazalendo, wachapa kazi na kuutetea Uhuru na kulinda rasilimali za Taifa.

Nawatakia Kumbukizi njema yenye Tafakuri kwetu
Nyerere hakuwa
1. Mkabila
2. Mzalilishaji wa jinsi
3.Dharau
4.Kebehi
5.Chuki
6.Visasi
7.Muoga
8.Muongo
9. Mwizi
10. MKatili
 
Kesho tarehe 14/10/2021 ni kumbukizi ya Miaka 22, tangia kuondokewa na Baba wa Taifa letu, Mwl. Julius Kambarage Nyerere.

Vijana wengi wa sasa hatukubahatika kumuona Mwl. Nyerere Bali tunamsoma tu vitabuni na kuskia masimulizi kumhusu.

Mfano:

1. Kwamba Mwl. Nyerere alipigania Uhuru wa Taifa letu

2. Kwamba Mwl. Nyerere hakutaka wazungu watuibie madini yetu na rasilimali zinginezo

3. Kwamba Mwl. Nyerere alitoa Elimu bure kwa watanzania kuanzia msingi hadi sekondari

4. Kwamba Mwl. Nyerere alijenga miundo mbinu ya reli, bandari na Barabara

5. Kwamba Mwl. Nyerere alianzisha mashirika ya Umma kama Air Tanzania, TRC, Tazara n.k

6. Kwamba Mwalimu Nyerere hakuwa na aibu kwa mafisadi wala wahujumu uchumi wa Taifa hili

7. Kwamba Mwl. Nyerere hakuwa tayari kutii maagizo ya Mabeberu.

8. Kwamba Mwalimu Nyerere ni Mzalendo aliyekuwa tayari kufa kwaajili ya Taifa lake.

Mambo hayo mazito, kuna vijana wanaodhani kwamba ni porojo, hayakufanyika na hakuna Mtanzania awezaye kuwatenda.

Tunapoadhimisha miaka 22 tangia kumpoteza Mzalendo wetu, ni dhahiri kwamba Mheshimiwa Hayati JPM ndiye Nyerere wa zama zetu.

Kama JPM ameweza kufufua mashirika ya umma, kukomesha wizi wa madini, kupitia upya mikataba ya madini, kuzuia hujuma ktk miradi ya umeme, kuhuisha reli ya kati na Tazara, kununua meli mpya, vivuko na ndege, kukomesha ujangili wa tembo, kutumbua mafisadi, kukataa maagizo ya mabeberu.

Ni Faraja kwamba Matendo ya Nyerere na Magufuli ni fundisho kwetu kuwa wazalendo, wachapa kazi na kuutetea Uhuru na kulinda rasilimali za Taifa.

Nawatakia Kumbukizi njema yenye Tafakuri kwetu
Mwalimu Nyerere asilinganishwe na matakataka tafadhari!!
 
WAnaomchukia JPM ni mafisadi, wazalendo tunampenda
1.5 Trillion hakuna raisi Afrika aliyewahi kukwapua kwa Mara moja kiasi kikubwa Kama hiki..Jumlisha ufisadi wote mkubwa uliotingisha nchi haufikii hizo pesa...wewe utakuwa muhamiaji wa vinchi vile jirani..
 
Acha uongo, Nyerere elimu ilikuwa bure kuanzia msingi mpaka chuo kikuu!Hata JPM ni mnufaika wa elimu bure ya mwalimu Nyerere!
Nyerere aliwaunganisha watanzania wote,ila huyo uliyemtaja alifanya kazi kubwa kubomoa umoja wa kitaifa!

Nyerere alichukia sana ukabila, huyo uliyemtaja aliichukia sana kanda fulani!

NB: Usimfananishe Nyerere na vitu vya ajabu!
Ila ile kanda nayo ilizidi sana kujipendelea na kujiona iinajua sana
 
eo April 13, ni siku ya kumbukumbu ya miaka 100 ya kuzaliwa Kwa muasisi wa Taifa Letu, Tanzania.

Najiunga na Watanzania wenzangu kuadhimisha siku hii kwa kutembelea mabandiko mbalimbali ya kujikumbusha kuhusu shujaa huyu na Baba wa Taifa Letu.

Wengine wanakuenzi Kwa mawazo, Kwa kuikubali falsafa yako.

Wengine wanakuenzi Kwa maneno Kwa kuzungumzia Kwa mazuri yako.

Na tuko sisi tunaokuenzi Kwa vitendo Kwa kuitekeleza Dira na Dhima yako ya Rushwa ni adui wa haki, sitatoa wala kupokea, hivyo niligombea kuomba kuteuliwa kugombea nafasi fulani bila kutoa hata senti moja, na matokeo yake ni niliambulia patupu.

Pamoja na kutoka kapa Kwa kukuunga mkono Kwa vitendo, bado tutaendelea kukuenzi Kwa mawazo, maneno na vitendo kupitia kwenye kalamu yangu.

Nimalize Kwa swali hili, jee viongozi wetu wa kisiasa, wanamuenzi Mwalimu Nyerere kiukweli ukweli kabisa au wanazuga tuu?.

Happy Birthday Mwalimu Nyerere.
Pascal Mayalla Snr
 
Hiyo ni trailer tu, bado Movie yenyewe inayokuja huko mbele.
Hapo ndipo Watanzania wote tutakapokutana pamoja kumkumbuka Mkombozi wetu, JPM,
Mwana Afrika, Mzalendo na shujaa wa kweli, Tanzania.
 
Chato kuna Uwanja wa Ndege wa Lami lakini Butiama achilia mbali Musoma makao Makuu ya mkoa wa Nyerere Uwanja Vumbi tu.
Hizo ni zama braza, kumbuka zama za wakati wa Julius akiwa Rais hakukuwa na flyover hata moja nchi nzima na hakuwa na rami toka DSM - MZA na wala DAR -MTWARA na wala hukuwa na Bwawa la Julius Nyerere na serikali bado haikuwahi kuhamia Dodoma pamoja na kwamba yalikuwa ni mawazo yake. Hayo yote umeshindwa kuyashangaa isipokuwa tu uwanja wa ndege Chato? Acha fikira za wivu.
 
Leo hapa jijini kunafanyika kongamano la miaka 100 tangia kuzaliwa kwa Baba wa Taifa letu, Mwl. Julius Kambarage Nyerere, 1922 huko Butiama mkoani Mara

Vijana wengi wa sasa hatukubahatika kumuona Mwl. Nyerere Bali tunamsoma tu vitabuni na kuskia masimulizi kumhusu.

Mfano:

1. Kwamba Mwl. Nyerere alipigania Uhuru wa Taifa letu

2. Kwamba Mwl. Nyerere hakutaka wazungu watuibie madini yetu na rasilimali zinginezo

3. Kwamba Mwl. Nyerere alitoa Elimu bure kwa watanzania kuanzia msingi hadi sekondari

4. Kwamba Mwl. Nyerere alijenga miundo mbinu ya reli, bandari na Barabara

5. Kwamba Mwl. Nyerere alianzisha mashirika ya Umma kama Air Tanzania, TRC, Tazara n.k

6. Kwamba Mwalimu Nyerere hakuwa na aibu kwa mafisadi wala wahujumu uchumi wa Taifa hili

7. Kwamba Mwl. Nyerere hakuwa tayari kutii maagizo ya Mabeberu.

8. Kwamba Mwalimu Nyerere ni Mzalendo aliyekuwa tayari kufa kwaajili ya Taifa lake.

Mambo hayo mazito, kuna vijana wanaodhani kwamba ni porojo, hayakufanyika na hakuna Mtanzania awezaye kuwatenda.

Tunapoadhimisha miaka100 tangia kuzaliwa Mzalendo wetu, ni dhahiri kwamba Mheshimiwa Hayati JPM ndiye Nyerere wa zama zetu.

Kama JPM aliweza kufufua mashirika ya umma, kukomesha wizi wa madini, kupitia upya mikataba ya madini, kuzuia hujuma ktk miradi ya umeme, kuhuisha reli ya kati na Tazara na ile ya Kilimanjaro, kununua meli mpya, vivuko na ndege, kukomesha ujangili wa tembo, kutumbua mafisadi, kukataa maagizo ya mabeberu na kurejesha heshima ya nchi

Ni Faraja kwamba Matendo ya Nyerere na Magufuli ni fundisho kwetu kuwa wazalendo, wachapa kazi na kuutetea Uhuru na kulinda rasilimali za Taifa.
Mwl. Nyerere alikuwa tayari kufa kwaajili ya Taifa lake, katika Hotuba nyingi za JPM, alisisitiza kwamba amejitoa mhanga kwaajili ya watanzania, alisimamia alichokiamini, alikemea mabeberu weupe na vibaraka wao, alikubali kufa kishujaa kuliko kusalim Amri.
Alisisitiza, Tutamkumbuka kwa Wema na kweli tumeanza kumkumbuka na tunaendelea kumkumbuka, hata waliimchukia wameanza kumkumbuka kutokana na hali halisi ya sasa

Nawatakia Kumbukizi njema yenye Tafakuri kwetu na kwenu mlioko hapo Ukumbini. Jifunzeni Mema ya Mwalimu na Mema ya Magufuli ili mumshauri vyema mheshimiwa Samia katika kuliongoza Taifa. Tanzania ni yetu Sote
ACHA KABISA KUMFANANISHA NYERERE NA HUYO MTU HAWAFANANI KWA LOLOTE LILE HATA UANACHAMA WA CCM
 
Back
Top Bottom