Ambao mna marafiki huwa mnawapataje?

Kwakweli najiona mi mwenyewe ni tatizo sio mwepesi wa kuchangama sasa nshaanza kuwa mzee ndio nashtuka....
 
Umemuuliza kenzy?
Try to ask him anajibu lako.
 
Tatizo linakuja mnashobokeana afu baadae unaanza kuona kabisa unakua una shobo zaidi..
Mutual Friendship ni chache sana na ndio anachotaka hata mleta mada... na ndio wengi hatujawapata hao watu
Mkishazoeana sasa unaanza unafiki na kukosa heshima
 
Changamkia watu,usiwe unaniona Nina tu
 
Ukiangalia kiumakini sana hao marafiki ndio huwa ma-snitch na wamejaa unafiki

 
Uko kama mimi. Sipendi urafiki wa kinafiki kabisa. Nina rafiki zangu wa 2 ndio tunasaidiana kwa shida na raha. Vikundi vingi vya akina mama vina majungu na unafiki hatari. Kikundi kinaanzishwa mara watu wanaanza kusemana inbox, mara kikundi ndani ya kikundi yaani ni shida sana
 
Ongeza nyama
 
Bado sijaona comment ya jinsi ya kupata rafiki wa kweli kufa na kuzikana naona wengi ni kujiunga na vikoba ambayo sio mbya lakini naona inakuwa kama wanachama zaidi maana mambo ya vikoba ya kiisha hamna mawasiliano.
 
Motivational speakers mmeshaanza tayari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…