Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,097
Vizee utawajua tu, sisi wengine tumezaliwa enzi za mwinyi bana huyo nyerere tumemuona kwenye dokumentari tu
Kumbe? Loh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizee utawajua tu, sisi wengine tumezaliwa enzi za mwinyi bana huyo nyerere tumemuona kwenye dokumentari tu
Duh!
Sijaonekana kwenye list na namshukuru MUNGU haya elekeeni Nigeria!
Mkirudi mtatujuza ambao hawajafaa kwenda huko kilichojiri!
Ameeeeen!!
Aah,huyu nimemvizia pale kona ya bwiru hakutokea nikaambiwa amekimbilia bugarika!
usimwage kuku kwenye mchele mwingi.. Mi mtoto wa Pugu Master
Umemuona Kabakabana? yuko huko alikua amepanga kupika dagaa leo.
Kumbe? Loh!
Halafu nasikia harufu ya bhange humu,nani anastua?
Halafu nasikia harufu ya bhange humu,nani anastua?
Msalimie, mwambie 'swiry' wake anamsalimia toka Ushongo Mabaoni...Mwali!
Kabakabana niko naye majira haya!
Kwa huyu Member acheni shingo upande kbs!
nilifikiri mtoto wa waziri nikupe ungo wako special. Lol.
Hatujamaliza kucheza mchezo wa baba na mama. Shem mbona unaweka kauzibe
Kabisa mkuu, hata ule umri wa kuwapatia kinamama matumbo makubwa pia hatujafikia.
Halafu nasikia harufu ya bhange humu,nani anastua?
Mambo gani tena haya jamani? hivi mmeshindwa kabisa kukaa kistaarabu???mi nasikia harufu ya ushuzi, nahisi kuna mtu kajamba.
wangu ninao. Alnachia grandma wangu.
siamini na wewe mwanga mwenzetu. Jiandae, wewe tutakupa lift hadi sumbawanga.
hehehe let ukauzu start now. here hereshem mi staki bwana (leo ukauzu mwanzo mwisho)
mi nasikia harufu ya ushuzi, nahisi kuna mtu kajamba.
Halafu nasikia harufu ya bhange humu,nani anastua?
Mambo gani tena haya jamani? hivi mmeshindwa kabisa kukaa kistaarabu???