Amber Rutty na Mumewe Wahukumiwa Kwenda Jela Miaka 5 Au Kulipa Faini Kwa Kosa la Kufanya Mapenzi Kinyume na Maumbile


Huu utafiti ulifanyika lini? na nani? kama wewe huna marinda usiseme asilimia 90 humu hawana ebooo!!!!
 
Ni muda wa kukataa huu ufirauni. Sio kitu kizuri hata kidogo! Yeyote anaetetea huu ufirauni basi nae kwa namna moja ama nyingine anashiriki, aidha anafanya au anafanywa. Sheria zibadilishwe ziwe kali zaidi.
 
9/15 Gooooood. By Mwl Kashasha
 
9/15 Gooooood. By Mwl Kashasha
Oyaa! [emoji38][emoji38][emoji38]9/15 kweli? Ongeza bana atleast 12, hizo 3 kwa kufuta futa! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Oyaa! [emoji38][emoji38][emoji38]9/15 kweli? Ongeza bana atleast 12, hizo 3 kwa kufuta futa! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Nilishakwambia usilale kwenye kipindi changu. Kukusaidia tu, conclusion yako imemzungumzia mfirwaji pekee haijamuongelea mfiraji kabisa. Hapo ndipo nilipokulima hizo 6.
 
Why kipindi cha uchaguzi ndo hukumu itoke??

Mwijaku anahukumiwa lini??
kwa hiyo mahakama ingeahirishwa mpaka uchaguzi uishe?
kwani amber ruty ana impact gani katika siasa za Tanzania?nieleweshe mkuu
 
Acha wakapumzishwe kidogo wakitoka watatia akili
Mambo yenu ya chumbani kuyaweka hadharani ndio nini
 
Kumpeleka James delicious segedance Ni kumuongezea matatizo [emoji2]

Hawatomwacha salama miaka 5 lazima awe mke wa nyampala huko kati
acha wajuba wakakonge nafsiii
ndo maisha alioyachagua sasa kapatikanaa
 
Sheria ipo wazi,miaka 30,hakuna fine,fine zimetoka wapi hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…