Amber Rutty na Mumewe Wahukumiwa Kwenda Jela Miaka 5 Au Kulipa Faini Kwa Kosa la Kufanya Mapenzi Kinyume na Maumbile

Mtu mwili wake mwenyewe kaamua kuingiliwa/ kuingilia bila shuruti yeyote chumbani kwao kwanini serikali iingilie?
Mjaaalaana mkubwa weye..... Kwahiyo wewe hata mtu akiwa anauwa watu kimya kimya au kubaka as long as its not known i public inakuwa sawa....?!

Acha kutuletea mitazamo na tamaduni za kipumbavu za kimagharibi.

Tendo lolote ambalo mwisho wake ni maangamizi hakifai kukaliwa kimya hata iwaje....
 
Acha kuwatetea hao firauni.. Mungu akileta moto kama Sodoma na Gomora, utateketea hata wewe usiyehusika.. Miili ni yao.. Ila vitendo wanavyofanya vinahatarisha hata usalawa wako, wewe usiyehusika!
Hao ndio watu wasiojua maana ya maagizo ya MUNGU, hawajui mlango wa kanisa wala msikiti. Wao wanaishi kwa mitazamo ya kibinadamu na kibinafsi. Wajaa laaana kabisa hawa.
 
Hao wamekosea kwa kusambaza video ila kuhusu kutipuliwa tope hii tabia imetapakaa kila uchochoro wa nchi hii,tena mademu wengine wanaomba kabisa uwale nyuma ndo wanaridhika
 
So ni sawa mtu kufanya kinyume na maumbile?! Hivi unafahamu madhara yake, kwake na kwa watu wanaomzunguka?!
Hao watu wanaomzunguka watajuaje kama hajasambaza videos na kutangaza hadharani?
 
We nawe ni mmoja wao
Sifanyi wala sifanywi ukweli ni kuwa watu wanafanya hayo mambo hata kama tukikataa kosa naloona ni kusambaza picha hizo sikubaliani kwa sababu inafundisha maadili ambayo siyo sahihi kwa jamii yetu.
 
Wakoje mkuu wanashindilia sana au?
Jela kule labda haki ya uhai tu ndio utapata.

Huyo anaenda kuolewa kabisa, na kwakuwa jela hakuna vifaa kinga huyo anaweza hata kukwaa magonjwa.

I wish apate hiyo 5M abaki uraiani maana hakimu hajatumia busara
 
Jela kule labda haki ya uhai tu ndio utapata.

Huyo anaenda kuolwa kabisa, na kwakuwa jela hakuna vifaa kinga huyo anaweza hata kukwaa magonjwa.

I wish apate hiyo 5M abaki uraiani maana hakimu hajatumia busara
Kwaiyo watamla ? Kufa kufaana.
 

Ni kweli Hakimu ametumia ubinadamu kwa hukumu hiyo,ni ndogo sana kutokana na kosa lenyewe.siyo tuu kufanya kinyume na maumbile,ila kinachoo udhi zadii ni kutafuta soko kuipromoti hadharani hiyo business. Nadhani wangewaongezea na kazi ngumu
 
Utakuwa unafanya michezo husika wewe
Ni akili finyu tu zinakufanya uniwazie hayo japo sifanyi na hata nikitaka kufanya chumbani na mwanamke wangu serikali haitaniona na video sitapiga picha wala kusambaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…