Amber Rutty na Mumewe Wahukumiwa Kwenda Jela Miaka 5 Au Kulipa Faini Kwa Kosa la Kufanya Mapenzi Kinyume na Maumbile

Na wale wa blowjob nao wahukumiwe kwan nayo nikinyume na maumbile
Hiyo wala haitambuliki kama kinyume na umbile. Chaajabu sasa watu wanafanya kila leo ila wanaovujisha videos ndio wanakamatwa.sasa inatakiwa wahukumiwe kwa kusambaza video siyo kufanya? Kwani watu wakiwa chumbani wanafanya serikali inaona? Hata kama inaona lakini picha hazijaonekana kwa mtu mwingine kwanini iingilie kati? Sheria za kipumbavu kama hizi zisipewe nafasi.
 
Wamewapeleka sehemu ambayo watu wana ugwadu, james delicious ndo atakuwa mke kabisa huko,bila shaka alipokea hukumu kwa mikono miwili

Mahakama imewafikisha kileleni
Hajaenda jela
 
Wale wakiachiwa basi kutakuwa na upendeo
Ila mmb ya kesi chochote kinaweza tokea
Maana hyu mwjk bdo yupo na anavimba
Lbda anachezesha na kunifatilia kesi yake

Ova
Ukitoa mtonyo kesi yako inazungumzika.
 
Afadhali maana hii Nchi ilizidi kuwa na kundi kubwa la watu wanaokaa uchi mitandaoni.. Hii itakuwa ni funzo kwa wengine pia
Wakaa uchi wote ni wasanii wa CCM hawawezi kuchukuliwa hatua yeyote.
Kwanza tu hiyo mitusi inayovirumishwa na baadhi ya wasanii kwenye comments sio mchezo na TCRA wapo kimya japo ni kinyume cha sheria.
 
Kesi ipo inaendelea mzeee
Mambo ya kesi ukiwa nayo unaweza kuona kama mzamzaa vile..... Ndomana Unapokuwa na kesi usiidharau, uwe unaifuatiliaaa unaangalia namn gani ya kuimaliza

Ova
James delishaz alishasahau kama ana kesi.
Wangemuuliza Wema alifanyaje kuizima kesi yake.
 
Kwa hiyo kwa vile watu wanafanya hayo sirini mahakama imekosea kuwahukumu hao?
 
Wala sitarajii vote..time will tell hata kama itachukua 50 years na sisi hatutakuwepo. haya mambo yatakuwa wazi na uhuru watapewa bila kipingamizi.
We'll worry about that then.
As long as sheria bado ipo leo atakaeivunja lazima awajibike.
 
Reactions: UCD
Wewe utakuwa unafanywa siyo bure!! Lakini jua ina madhara makubwa sana kiafya!
 
James delishaz alishasahau kama ana kesi.
Wangemuuliza Wema alifanyaje kuizima kesi yake.
Wema anauzoefu na mahakama
Alikuwaga na kesi fulani mahakama ya kino
Hakimu alitaka uthibitisho wa issue fulani
Wema akamwambia Kuna doc nimeacha kwenye gari
Hakim akaona huyu ananitania, akampeleka Sega dance siku 14 ila Alitoka kabla ya hzo siku 14
Mahakamani hakunaga dogo
Ndamana kama kna ishu bora muimalize polisi tu

Ova
 
Wewe lazima ni shoga!!
 
Wewe utakuwa unafanywa siyo bure!! Lakini jua ina madhara makubwa sana kiafya!
Vyovyote tu utakavyoaza.
Madhara makubwa kiafya na kufungana jela wapi na wapi? Vitu vingi vina madhara tunaelimishwa na hakuna mtu aliyefungwa jela kwa kutokuelimika.
 
Yule mwanamke aliyekuwa na mwkj eti juzi kati kapewa deal la ubaloz wa nn sjui
Leo wamesahau kma Alifanya madudu anaonekana Kioo cha jamii

Ova
Labda dili linahusiana na haya mambo. Pornstar-Gwabway nae alipona vipi au hajacheza kinyume na maumbile!
 
Hapo ndipo unagundua chadema ni chama cha namna gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…