Hiyo wala haitambuliki kama kinyume na umbile. Chaajabu sasa watu wanafanya kila leo ila wanaovujisha videos ndio wanakamatwa.sasa inatakiwa wahukumiwe kwa kusambaza video siyo kufanya? Kwani watu wakiwa chumbani wanafanya serikali inaona? Hata kama inaona lakini picha hazijaonekana kwa mtu mwingine kwanini iingilie kati? Sheria za kipumbavu kama hizi zisipewe nafasi.Na wale wa blowjob nao wahukumiwe kwan nayo nikinyume na maumbile
Hajaenda jelaWamewapeleka sehemu ambayo watu wana ugwadu, james delicious ndo atakuwa mke kabisa huko,bila shaka alipokea hukumu kwa mikono miwili
Mahakama imewafikisha kileleni
Kama mlivyomtoa Babu SeyaWasijali Tundulisu baada ya kuapishwa October atawatoa wote kwani huwezi kuingilia falagha za watu
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Ukitoa mtonyo kesi yako inazungumzika.Wale wakiachiwa basi kutakuwa na upendeo
Ila mmb ya kesi chochote kinaweza tokea
Maana hyu mwjk bdo yupo na anavimba
Lbda anachezesha na kunifatilia kesi yake
Ova
Wakaa uchi wote ni wasanii wa CCM hawawezi kuchukuliwa hatua yeyote.Afadhali maana hii Nchi ilizidi kuwa na kundi kubwa la watu wanaokaa uchi mitandaoni.. Hii itakuwa ni funzo kwa wengine pia
James delishaz alishasahau kama ana kesi.Kesi ipo inaendelea mzeee
Mambo ya kesi ukiwa nayo unaweza kuona kama mzamzaa vile..... Ndomana Unapokuwa na kesi usiidharau, uwe unaifuatiliaaa unaangalia namn gani ya kuimaliza
Ova
Kwa hiyo kwa vile watu wanafanya hayo sirini mahakama imekosea kuwahukumu hao?Wengi wenu humu mngekuwa jela kama serikali ingeamua kumulika VIFIRO mnavyopeana chumbani on a daily basis.
Hapa mmejificha huku mnachungulia kwa jicho la kengeza.
Tukianza kukagua marinda ya watu humu, asilimia sitini wote wana pancha.
Kama kati ya watu wanne, mmoja hana marinda, maana yake watanzania milioni 15 kati ya 60 marinda yao yapo rehani.
Hawa waliotiwa hatiani ni sampo ndogo tu ambayo imechagizwa na propaganda za kisiasa na intelijensia ya kuharibu "makini" za watu (focus).
We'll worry about that then.Wala sitarajii vote..time will tell hata kama itachukua 50 years na sisi hatutakuwepo. haya mambo yatakuwa wazi na uhuru watapewa bila kipingamizi.
Wewe utakuwa unafanywa siyo bure!! Lakini jua ina madhara makubwa sana kiafya!Kizazi kimeharibika kwa watu kufukuana mitaro private?
Hata tupige kelele namna gani haya mambo yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo. Tunapigizana kelele tu hapa kupoteza muda, hakuna anayeweza kutokomeza hii kitu. Ibaki tu makanisani na misikitini kuwa ni dhambi, na upande wa afya tujue madhara yake ili kupunguza kasi.
Wema anauzoefu na mahakamaJames delishaz alishasahau kama ana kesi.
Wangemuuliza Wema alifanyaje kuizima kesi yake.
Ni sawa.We'll worry about that then.
As long as sheria bado ipo leo atakaeivunja lazima awajibike.
Wewe lazima ni shoga!!Hiyo wala haitambuliki kama kinyume na umbile. Chaajabu sasa watu wanafanya kila leo ila wanaovujisha videos ndio wanakamatwa.sasa inatakiwa wahukumiwe kwa kusambaza video siyo kufanya? Kwani watu wakiwa chumbani wanafanya serikali inaona? Hata kama inaona lakini picha hazijaonekana kwa mtu mwingine kwanini iingilie kati? Sheria za kipumbavu kama hizi zisipewe nafasi.
Kilichowaponza zaidi ni kusambaza videoKwa hiyo kwa vile watu wanafanya hayo sirini mahakama imekosea kuwahukumu hao?
Vyovyote tu utakavyoaza.Wewe utakuwa unafanywa siyo bure!! Lakini jua ina madhara makubwa sana kiafya!
Wengine wanaojihusisha na hilo tendoWengine kina nani dada?
Nawaza tu watawagunduaje bila kujirekodi na kusambaza videoWengine wanaojihusisha na hilo tendo
Labda dili linahusiana na haya mambo. Pornstar-Gwabway nae alipona vipi au hajacheza kinyume na maumbile!Yule mwanamke aliyekuwa na mwkj eti juzi kati kapewa deal la ubaloz wa nn sjui
Leo wamesahau kma Alifanya madudu anaonekana Kioo cha jamii
Ova
Hapo ndipo unagundua chadema ni chama cha namna ganiMgombea urais kupitia chama cha demokrasia na maendeleo Tundu Lisu kwa muda mrefu amejipambanua kama mtetezi wa haki za binadamu wote bila kubagua.
Lisu amesema wazi serikali yake haitaingilia mambo yanayofanyika kitandani kwa mtu. Sasa kutokana na hukumu ya leo ya kuingilia mambo ya kitandani ya kina Delicious na Amber ruty ,Lisu jitokeze ukemee na uwatetee hao watu kwamba wameonewa na Serikali, kwa kufanya hivyo utapata kura nyingi sana za kukuwezesha kuwa rais wa Tanzania.View attachment 1580868