Amber Rutty ni mwanamke jasiri (Bravely Woman) kuwahi kutokea

Amber Rutty ni mwanamke jasiri (Bravely Woman) kuwahi kutokea

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Kwa asilimia kubwa kwenye maswala ya mapenzi wahanga wakubwa ni wanawake.

Siku chache zilizopita nilikuwa nacheki Tv kipindi kilikuwa cha burudani miongoni mwa wageni wa siku hiyo alikuwa Amber Rutty ambaye aliambatana na mume wake kiukweli walikuwa wamependeza Sana na walikuja kuachia kazi yao mpya ya muziki iliyokwenda kwa jina la JELA interview ilipendeza ila mwishoni Bibie Amber aliwaomba Watanzania kutokumbushia changamoto alizopitia na kubwa zaidi ni kuwa wamsamehe anajuta kwa kilichotokea na anawasihi wanawake wenzake kuwa makini ili wasije kukutana na changamoto alizopitia.

Tone yake ya sauti na alichokisema kilikuwa very touching Kuna moment niliweza kuhisi maumivu anayopitia mwanamke huyo Mimi Baba Morgan naungana na Amber Rutty kumuombea kwa mungu amusame

Mwisho Watanzania tupunguze kuwa majaji tutambue only God ndo ana mamlaka ya kujaji ya Amber Rutty yanaweza kuwa madogo kuliko Yale yasiyoonekana jitathmini Kwanza wewe na yale ambayo hujawahi kumwambia mtu then uje ujadili ya wenzako.

From northern part of Tanzania.
View attachment 1845737
 
Fuull kupakuliwa 0713 ,noma Sana Amber rutty
IMG_20200827_210721.jpg
 
Ni kweli mkuu sometimes we need to be +ve hasa pale mtu anapoomba msamaha.
Huyo binti ni jasiri, mabinti wengi huishia kujiua au kua mraibu wa dawa za kulevya kwasababu ya stress.
 
Kiukweli ni jasiri sana maana ile mambo kuna wanaofanya kwa Siri wako wengi tu sema hawana ujasiri wa kusambaza upendo kwa wengine waone ubunifu Kama alivyo fanya dada yetu na mumewe. Alafu nikimuangaliaga naona kabisa kale kamchezo hawajaacha sema siku izi hawatoi clip mpya tu
 
Hata Nandy pia ni mjasiri ile video yake na Nenga na ile chupi yake ilozua tafrani
Ha haa. But ukifanya comparison kati ya vid ya Nandy na Amber Ni wazi la Bibie Amber Ni zito zaidi ila yote kwa yote wameonyesha Ujasiri kwa kusimama tena.
 
Mkuu ushapigia mara ngapi nyeto video ya Amber Rut akipakuliwa?

[emoji23][emoji23][emoji23]..puchu + mpalange= ujasiri
Sikumbuki Mara ngapi ila kiukweli Amber Ni miongoni mwa binti jasiri so far.
 
Back
Top Bottom