Amber Rutty ni mwanamke jasiri (Bravely Woman) kuwahi kutokea

Amber Rutty ni mwanamke jasiri (Bravely Woman) kuwahi kutokea

Kwa asilimia kubwa kwenye maswala ya mapenzi wahanga wakubwa ni wanawake.

Siku chache zilizopita nilikuwa nacheki Tv kipindi kilikuwa cha burudani miongoni mwa wageni wa siku hiyo alikuwa Amber Rutty ambaye aliambatana na mume wake kiukweli walikuwa wamependeza Sana na walikuja kuachia kazi yao mpya ya muziki iliyokwenda kwa jina la JELA interview ilipendeza ila mwishoni Bibie Amber aliwaomba Watanzania kutokumbushia changamoto alizopitia na kubwa zaidi ni kuwa wamsamehe anajuta kwa kilichotokea na anawasihi wanawake wenzake kuwa makini ili wasije kukutana na changamoto alizopitia.

Tone yake ya sauti na alichokisema kilikuwa very touching Kuna moment niliweza kuhisi maumivu anayopitia mwanamke huyo Mimi Baba Morgan naungana na Amber Rutty kumuombea kwa mungu amusamehe.

Back to the topic Ujasiri wa Amber Rutty uko wapi? Back in days binamu yangu wa kike niliyemzidi Kama miaka 10 ashawahi kunifuma napiga punyeto kilikuwa moja ya kitu Cha aibu kilichowahi kunikuta katika maisha yangu kilinibadilisha in negative way ninapoangalia kisa Cha Amber rutty kingetokea kwa mtu asiye brave ni wazi suicide ingetokea lakini amesimama kwa kutumikia adhabu yake, kujutia alipokosea, kukubali kuolewa, kuendelea na maisha yake especially Kufanya muziki na mwisho nipende kumpongeza mume wake that it's unconditional love.

Mwisho Watanzania tupunguze kuwa majaji tutambue only God ndo ana mamlaka ya kujaji ya Amber Rutty yanaweza kuwa madogo kuliko Yale yasiyoonekana jitathmini Kwanza wewe na yale ambayo hujawahi kumwambia mtu then uje ujadili ya wenzako.

From northern part of Tanzania.
View attachment 1845737
Story ya Amber Rutty achana nayo hebu tuendelee hii ya binamu yako kukufuma unapiga zeze, hebu tupe muendelezo .
 
Kiukweli ni jasiri sana maana ile mambo kuna wanaofanya kwa Siri wako wengi tu sema hawana ujasiri wa kusambaza upendo kwa wengine waone ubunifu Kama alivyo fanya dada yetu na mumewe. Alafu nikimuangaliaga naona kabisa kale kamchezo hawajaacha sema siku izi hawatoi clip mpya tu
Huo ndo ukweli sema hii nchi na unafiki huwezi kuvitenganisha
 
Ha haa. But ukifanya comparison kati ya vid ya Nandy na Amber Ni wazi la Bibie Amber Ni zito zaidi ila yote kwa yote wameonyesha Ujasiri kwa kusimama tena.
Mimi hyo video ya Amba Ruty kwa nilivyua nasikia kwa watu sikutaka hata kuiona maana nilihsi kichefuchefu kabisa so sikuonaga ila ya ya Nandy niliiona tena kuna mtu kwny group aliituma. Sikupenda tuu Nenga alichokua anafanya na kidole but ile chupi mimi sikuona shida yake.
 
Kwa asilimia kubwa kwenye maswala ya mapenzi wahanga wakubwa ni wanawake.

Siku chache zilizopita nilikuwa nacheki Tv kipindi kilikuwa cha burudani miongoni mwa wageni wa siku hiyo alikuwa Amber Rutty ambaye aliambatana na mume wake kiukweli walikuwa wamependeza Sana na walikuja kuachia kazi yao mpya ya muziki iliyokwenda kwa jina la JELA interview ilipendeza ila mwishoni Bibie Amber aliwaomba Watanzania kutokumbushia changamoto alizopitia na kubwa zaidi ni kuwa wamsamehe anajuta kwa kilichotokea na anawasihi wanawake wenzake kuwa makini ili wasije kukutana na changamoto alizopitia.

Tone yake ya sauti na alichokisema kilikuwa very touching Kuna moment niliweza kuhisi maumivu anayopitia mwanamke huyo Mimi Baba Morgan naungana na Amber Rutty kumuombea kwa mungu amusamehe.

Back to the topic Ujasiri wa Amber Rutty uko wapi? Back in days binamu yangu wa kike niliyemzidi Kama miaka 10 ashawahi kunifuma napiga punyeto kilikuwa moja ya kitu Cha aibu kilichowahi kunikuta katika maisha yangu kilinibadilisha in negative way ninapoangalia kisa Cha Amber rutty kingetokea kwa mtu asiye brave ni wazi suicide ingetokea lakini amesimama kwa kutumikia adhabu yake, kujutia alipokosea, kukubali kuolewa, kuendelea na maisha yake especially Kufanya muziki na mwisho nipende kumpongeza mume wake that it's unconditional love.

Mwisho Watanzania tupunguze kuwa majaji tutambue only God ndo ana mamlaka ya kujaji ya Amber Rutty yanaweza kuwa madogo kuliko Yale yasiyoonekana jitathmini Kwanza wewe na yale ambayo hujawahi kumwambia mtu then uje ujadili ya wenzako.

From northern part of Tanzania.
View attachment 1845737
Hakika kila mmoja ana yake aliyowahi kuyafanya sirini au anaendelea kuyafanya sirini.

Binadamu tukifanikiwa katika jambo moja la kusitiriana, basi tutaishi maisha matamu sana
 
Yule mwanamke ni kiazi

Clueless

Huenda hata leo ukimuuliza kilitokea nini anaweza asikumbuke maana ignorance ni kama ulevi hatari ya simba ipo mbele yako wewe huoni ndio maana ya ignorance,waangaliaji kama wewe unaona jamaa ana confidence ya ajabu kua mbele ya simba kumbe mental faculties zake hazina ushirikiano

Yule mwanamke mental faculties zake na system yake ya utambuzi na kufanya decisions ni dead kitambo,hakuna confidence mle ni lack of system ya ufahamu
Kilichotokea sio kitu kizuri hata kidogo panawezekana pakawepo sababu nyingi kwa nini walijirekodi na kufikia mpaka hatua ya video kuvuja yawezekana ushamba na ujinga vinahusika.

Binafsi kilichonigusa ni kule kujiamini kuja kwenye TV inayotizamwa na audience wengi Kila pembe ya Tanzania kukiri kosa na kuwasihi wanawake wenzake kuwa makini yasije yakatokea Kama yaliyomkuta yeye angeweza kukaa kimya na kusubiri yaliyomtokea yeye yamtokee mtu mwingine ili kuhalalisha makosa yake.
 
Kilichotokea sio kitu kizuri hata kidogo panawezekana pakawepo sababu nyingi kwa nini walijirekodi na kufikia mpaka hatua ya video kuvuja yawezekana ushamba na ujinga vinahusika.

Binafsi kilichonigusa ni kule kujiamini kuja kwenye TV inayotizamwa na audience wengi Kila pembe ya Tanzania kukiri kosa na kuwasihi wanawake wenzake kuwa makini yasije yakatokea Kama yaliyomkuta yeye angeweza kukaa kimya na kusubiri yaliyomtokea yeye yamtokee mtu mwingine ili kuhalalisha makosa yake.
Chaneli gani ilimpa airtime Amber Rutty?
 
Mbona unaenda kasi hivyo Mkuu?

Hebu malizia kwanza, baada ya Binamu kukufuma ukipiga punyeto ikawaje?

Twende mdogo mdogo. Malizia story ya binamu kwanza!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiukweli ni jasiri sana maana ile mambo kuna wanaofanya kwa Siri wako wengi tu sema hawana ujasiri wa kusambaza upendo kwa wengine waone ubunifu Kama alivyo fanya dada yetu na mumewe. Alafu nikimuangaliaga naona kabisa kale kamchezo hawajaacha sema siku izi hawatoi clip mpya tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi hyo video ya Amba Ruty kwa nilivyua nasikia kwa watu sikutaka hata kuiona maana nilihsi kichefuchefu kabisa so sikuonaga ila ya ya Nandy niliiona tena kuna mtu kwny group aliituma. Sikupenda tuu Nenga alichokua anafanya na kidole but ile chupi mimi sikuona shida yake.
Nenga mzee wa ndole, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom