Amber Rutty ni mwanamke jasiri (Bravely Woman) kuwahi kutokea

Amber Rutty ni mwanamke jasiri (Bravely Woman) kuwahi kutokea

Ni kweli mkuu sometimes we need to be +ve hasa pale mtu anapoomba msamaha.
Huyo binti ni jasiri, mabinti wengi huishia kujiua au kua mraibu wa dawa za kulevya kwasababu ya stress.
Ukiona hvyo jua kakubuhu, ata kabla ya apo anatengeneza skendo kaliwa mtungo na vile vijamaa vya yamoto bend, sema wanawake kama hawa huwa wanabahati sana ya kuolewa
 
Wasifanye alichokifanya yeye.
Kwamba ni kibaya au?maana kafanya mambo mawili pale.

Kurusha video ya ngono mitandaoni na kuingiliwa kinyume na maumbile.

Sasa alikuwa anakataza lipi?
Maana kile kijamaa kilichokuwa kinamsokomeza dubwana matakoni ndy anaishi nae hadi sasa.

Kuna uhakika gn kama hawaendelei kufanya huko chumbani?
 
Kiukweli ni jasiri sana maana ile mambo kuna wanaofanya kwa Siri wako wengi tu sema hawana ujasiri wa kusambaza upendo kwa wengine waone ubunifu Kama alivyo fanya dada yetu na mumewe. Alafu nikimuangaliaga naona kabisa kale kamchezo hawajaacha sema siku izi hawatoi clip mpya tu
Hii sio Sawa kabisa.
Mastaa wetu wa xvideos wanapungua kwa kasi sana, mia khalifa kakimbia, Katarina wa urusi kajitupa ghorofani, Grace Kisaka wa IFM kagoma kutupa vitu vipya, Menina ndo kajikausha siku hizi kama sio yeye, Joket toka awe 'mheshimiwa' amesahay wahuni wenzake wanataka video mpya, leo hii yule star tuliyekuwa tunamtegemea naye anatuacha mashabiki tena kikatili sana, jamani, hii sio sawa wakulungwa
 
Kwa asilimia kubwa kwenye maswala ya mapenzi wahanga wakubwa ni wanawake.

Siku chache zilizopita nilikuwa nacheki Tv kipindi kilikuwa cha burudani miongoni mwa wageni wa siku hiyo alikuwa Amber Rutty ambaye aliambatana na mume wake kiukweli walikuwa wamependeza Sana na walikuja kuachia kazi yao mpya ya muziki iliyokwenda kwa jina la JELA interview ilipendeza ila mwishoni Bibie Amber aliwaomba Watanzania kutokumbushia changamoto alizopitia na kubwa zaidi ni kuwa wamsamehe anajuta kwa kilichotokea na anawasihi wanawake wenzake kuwa makini ili wasije kukutana na changamoto alizopitia.

Tone yake ya sauti na alichokisema kilikuwa very touching Kuna moment niliweza kuhisi maumivu anayopitia mwanamke huyo Mimi Baba Morgan naungana na Amber Rutty kumuombea kwa mungu amusamehe.

Back to the topic Ujasiri wa Amber Rutty uko wapi? Back in days binamu yangu wa kike niliyemzidi Kama miaka 10 ashawahi kunifuma napiga punyeto kilikuwa moja ya kitu Cha aibu kilichowahi kunikuta katika maisha yangu kilinibadilisha in negative way ninapoangalia kisa Cha Amber rutty kingetokea kwa mtu asiye brave ni wazi suicide ingetokea lakini amesimama kwa kutumikia adhabu yake, kujutia alipokosea, kukubali kuolewa, kuendelea na maisha yake especially Kufanya muziki na mwisho nipende kumpongeza mume wake that it's unconditional love.

Mwisho Watanzania tupunguze kuwa majaji tutambue only God ndo ana mamlaka ya kujaji ya Amber Rutty yanaweza kuwa madogo kuliko Yale yasiyoonekana jitathmini Kwanza wewe na yale ambayo hujawahi kumwambia mtu then uje ujadili ya wenzako.

From northern part of Tanzania.
View attachment 1845737
Ok, ila sijakuelewa....wewe ulipokamatwa unajichua ulitaka kujiua? Baada ya kukamatwa uliacha huo mchezo wako pendwa au ndiyo bado unaendelea kujiumiza kwa kumfikiria Amber Rutty kisha unaingia chooni kujichua? Kumbuka kuwa mwanamme anatengeneza lita 57 tu za shahawa maishani mwake, usiendekeze huu ujinga kabla hujazaa la sivyo utakuwa unamwaga povu tu.
 
Kwamba ni kibaya au?maana kafanya mambo mawili pale.

Kurusha video ya ngono mitandaoni na kuingiliwa kinyume na maumbile.

Sasa alikuwa anakataza lipi?
Maana kile kijamaa kilichokuwa kinamsokomeza dubwana matakoni ndy anaishi nae hadi sasa.

Kuna uhakika gn kama hawaendelei kufanya huko chumbani?
Alichokifanya kipo wazi ndicho hicho alichowasihi watu wasifanye kuhusu kuendelea na michezo yake sijui ila kutoa ya moyoni Ni wazi kasaidia kundi la vijana wengi kuwa makini na camera wanapokuwa faragha.
 
Ok, ila sijakuelewa....wewe ulipokamatwa unajichua ulitaka kujiua? Baada ya kukamatwa uliacha huo mchezo wako pendwa au ndiyo bado unaendelea kujiumiza kwa kumfikiria Amber Rutty kisha unaingia chooni kujichua? Kumbuka kuwa mwanamme anatengeneza lita 57 tu za shahawa maishani mwake, usiendekeze huu ujinga kabla hujazaa la sivyo utakuwa unamwaga povu tu.
Hapana nilijiona mkosaji sababu ni kaka mkubwa niliyekuwa nategemewa kuonyesha njia iliyo sahihi kwao kunikuta katika situation Kama hiyo ilibadilisha mtazamo wao kwangu nakunifanya kujiona kuwa nimefail Kama kaka.

Punyeto sio kitu kibaya Kama mentality za wengi mnavyofikiria ila excessive masturbation Kama ilivyo excessive sex vina madhara kwa mwanadamu na kuhusu sperm kuisha rudi uliposoma pengine hukuelewa ulichokisoma.
 
Pia walimkosea sana kwani ilesiku kakamatwa iliyofata alipelekwa mahakamani kukaa hawezi kabisa kabisa ,angefunguka Leo pengine idara hiyo ingefumuliwa

Yotekwayote huo ndo uungwana kukili jambo mengine yasonge mbena

Nawewe kuhusu ant ulipotezea hadi ukaja kuoa hongera

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Kina amber rutty sio kwamba wanaujasiri ila wana mental issues, yaana hats kbla video haijavuja ,
Ulikuwa ukiangalia life style yke ,maongezi yake utajua tu Luna mahala pana shida,

Ata ile videos kuvuja wao wali take tu easy ila baada ya kuona kesi IPO serious ndo wakajua kumbe watu wame mind
 
Alichokifanya kipo wazi ndicho hicho alichowasihi watu wasifanye kuhusu kuendelea na michezo yake sijui ila kutoa ya moyoni Ni wazi kasaidia kundi la vijana wengi kuwa makini na camera wanapokuwa faragha.
Sasa ikiwa bado yupo na.kale kajamaa ,,
Means kazi iendelee..

Angetaka kukataza angekuwa anakesha kanisani,,au msikitini kwa kutubu.
Na kale kajamaa hawapo pamoja.
Vinginevyo ni mambo ya kutafuta kiki .
 
Sasa ikiwa bado yupo na.kale kajamaa ,,
Means kazi iendelee..

Angetaka kukataza angekuwa anakesha kanisani,,au msikitini kwa kutubu.
Na kale kajamaa hawapo pamoja.
Vinginevyo ni mambo ya kutafuta kiki .
Kimsingi katika watu wanaostahili pongezi basi Ni huyo jamaa aliyemuoa Amber tabia za vijana zinafahamika kupita na mademu mwisho wa siku kwenye kuoa wanatafuta wife material kwa madai yao kwa huyu jamaa kukubali kuoa gumegume lake ameonyesha utofauti.

Kuhusu kuendelea kwa mchezo wao ni juu yao japo sio rahisi kujua kinachoendelea kwenye maisha yao ya ndoa na kuokoka hakumfanyi mtu kuacha dhambi bali dhamira ya dhati ndo umbadilisha.
 
Keshapatiwa tuzo za mwanamke wa shoka? Tusikilize wanawake wenzie juu ya huyo mama
Ni kweli kapitia magumu mengi kama binadamu
Mungu atamsaidia
 
Hapana nilijiona mkosaji sababu ni kaka mkubwa niliyekuwa nategemewa kuonyesha njia iliyo sahihi kwao kunikuta katika situation Kama hiyo ilibadilisha mtazamo wao kwangu nakunifanya kujiona kuwa nimefail Kama kaka.

Punyeto sio kitu kibaya Kama mentality za wengi mnavyofikiria ila excessive masturbation Kama ilivyo excessive sex vina madhara kwa mwanadamu na kuhusu sperm kuisha rudi uliposoma pengine hukuelewa ulichokisoma.
Sawa, endelea tu kujichua kama kawa.
 
Back
Top Bottom