Amber Rutty ni mwanamke jasiri (Bravely Woman) kuwahi kutokea

Story ya Amber Rutty achana nayo hebu tuendelee hii ya binamu yako kukufuma unapiga zeze, hebu tupe muendelezo .
 
Huo ndo ukweli sema hii nchi na unafiki huwezi kuvitenganisha
 
Ha haa. But ukifanya comparison kati ya vid ya Nandy na Amber Ni wazi la Bibie Amber Ni zito zaidi ila yote kwa yote wameonyesha Ujasiri kwa kusimama tena.
Mimi hyo video ya Amba Ruty kwa nilivyua nasikia kwa watu sikutaka hata kuiona maana nilihsi kichefuchefu kabisa so sikuonaga ila ya ya Nandy niliiona tena kuna mtu kwny group aliituma. Sikupenda tuu Nenga alichokua anafanya na kidole but ile chupi mimi sikuona shida yake.
 
Hakika kila mmoja ana yake aliyowahi kuyafanya sirini au anaendelea kuyafanya sirini.

Binadamu tukifanikiwa katika jambo moja la kusitiriana, basi tutaishi maisha matamu sana
 
Kilichotokea sio kitu kizuri hata kidogo panawezekana pakawepo sababu nyingi kwa nini walijirekodi na kufikia mpaka hatua ya video kuvuja yawezekana ushamba na ujinga vinahusika.

Binafsi kilichonigusa ni kule kujiamini kuja kwenye TV inayotizamwa na audience wengi Kila pembe ya Tanzania kukiri kosa na kuwasihi wanawake wenzake kuwa makini yasije yakatokea Kama yaliyomkuta yeye angeweza kukaa kimya na kusubiri yaliyomtokea yeye yamtokee mtu mwingine ili kuhalalisha makosa yake.
 
Chaneli gani ilimpa airtime Amber Rutty?
 
Mbona unaenda kasi hivyo Mkuu?

Hebu malizia kwanza, baada ya Binamu kukufuma ukipiga punyeto ikawaje?

Twende mdogo mdogo. Malizia story ya binamu kwanza!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nenga mzee wa ndole, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…