Amber Rutty ni mwanamke jasiri (Bravely Woman) kuwahi kutokea

Kwahuyo binti nimtakie maisha mema.
Toba . Huokoa.
Hakuna Mwenyehaki, wote tumepungukiwa na utukufu.
Kwa kweli tusihukumu

Sambamba na hilo wapo waishio kwenye maisha ya OVYO na wanaendelea , hawana Aibu, wana UJASIRI hii ni namna ya kuzoe UOVU hadi mishipa ya hofu juu ya Dhambi inakuwa SUGU.

Fikiri kile chama cha wapiga PULI hawana hofu wanaendelea kujisajili

MAPUNGA wapo wanaendelea hawana hofu yoyote yaani hata shehe wanambania Pua.
Hawana Hofu. Ni Majasiri juu ya UOVU
 
Hakika ni jasiri, ile issue sio ndogo kiukweli pasipo ule ujasiri mtu unaweza kujiua kabisa, funzo kila tatizo linapita kwenye maisha ila tu ukilikubali litapita bila madhara yoyote lakini ukileta ubishi mbele ya tatizo litakuacha na madhara negative sana
 
Mkuu binamu ka nyama ka hamu ,ulitakiwa ufute aibu kabisa na kiweka heshima pale pale ungemvuta chemba.
 
Baada ya Ile video kusambaa mtandaoni kule Bombambili Raia walimuonyesha Mzee wake Ile Video. Na Mzee wake alikataa kuwa aliyeigiza Ile video sio mwanae.
 
Mkuu ujasiri kwa kuigiza porn video,,au ujasiri kuvumilia gogo kwa nyuma?
 
Baada ya Ile video kusambaa mtandaoni kule Bombambili Raia walimuonyesha Mzee wake Ile Video. Na Mzee wake alikataa kuwa aliyeigiza Ile video sio mwanae.
Hawakutumia busara hata kidogo lengo la kumuonyesha mzee wake lilikuwa ni nini? Ingetosha kumwambia tu ili vingine mzee ajiongeze mwenyewe
 
Naomba uzi wa kufumwa na Dada ukipiga selfie uletwe jukwaani..ni hayo tu😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…