Amber Rutty ni mwanamke jasiri (Bravely Woman) kuwahi kutokea

Ni kweli mkuu sometimes we need to be +ve hasa pale mtu anapoomba msamaha.
Huyo binti ni jasiri, mabinti wengi huishia kujiua au kua mraibu wa dawa za kulevya kwasababu ya stress.
Ukiona hvyo jua kakubuhu, ata kabla ya apo anatengeneza skendo kaliwa mtungo na vile vijamaa vya yamoto bend, sema wanawake kama hawa huwa wanabahati sana ya kuolewa
 
Wasifanye alichokifanya yeye.
Kwamba ni kibaya au?maana kafanya mambo mawili pale.

Kurusha video ya ngono mitandaoni na kuingiliwa kinyume na maumbile.

Sasa alikuwa anakataza lipi?
Maana kile kijamaa kilichokuwa kinamsokomeza dubwana matakoni ndy anaishi nae hadi sasa.

Kuna uhakika gn kama hawaendelei kufanya huko chumbani?
 
Hii sio Sawa kabisa.
Mastaa wetu wa xvideos wanapungua kwa kasi sana, mia khalifa kakimbia, Katarina wa urusi kajitupa ghorofani, Grace Kisaka wa IFM kagoma kutupa vitu vipya, Menina ndo kajikausha siku hizi kama sio yeye, Joket toka awe 'mheshimiwa' amesahay wahuni wenzake wanataka video mpya, leo hii yule star tuliyekuwa tunamtegemea naye anatuacha mashabiki tena kikatili sana, jamani, hii sio sawa wakulungwa
 
Ok, ila sijakuelewa....wewe ulipokamatwa unajichua ulitaka kujiua? Baada ya kukamatwa uliacha huo mchezo wako pendwa au ndiyo bado unaendelea kujiumiza kwa kumfikiria Amber Rutty kisha unaingia chooni kujichua? Kumbuka kuwa mwanamme anatengeneza lita 57 tu za shahawa maishani mwake, usiendekeze huu ujinga kabla hujazaa la sivyo utakuwa unamwaga povu tu.
 
Alichokifanya kipo wazi ndicho hicho alichowasihi watu wasifanye kuhusu kuendelea na michezo yake sijui ila kutoa ya moyoni Ni wazi kasaidia kundi la vijana wengi kuwa makini na camera wanapokuwa faragha.
 
Hapana nilijiona mkosaji sababu ni kaka mkubwa niliyekuwa nategemewa kuonyesha njia iliyo sahihi kwao kunikuta katika situation Kama hiyo ilibadilisha mtazamo wao kwangu nakunifanya kujiona kuwa nimefail Kama kaka.

Punyeto sio kitu kibaya Kama mentality za wengi mnavyofikiria ila excessive masturbation Kama ilivyo excessive sex vina madhara kwa mwanadamu na kuhusu sperm kuisha rudi uliposoma pengine hukuelewa ulichokisoma.
 
Pia walimkosea sana kwani ilesiku kakamatwa iliyofata alipelekwa mahakamani kukaa hawezi kabisa kabisa ,angefunguka Leo pengine idara hiyo ingefumuliwa

Yotekwayote huo ndo uungwana kukili jambo mengine yasonge mbena

Nawewe kuhusu ant ulipotezea hadi ukaja kuoa hongera

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Kina amber rutty sio kwamba wanaujasiri ila wana mental issues, yaana hats kbla video haijavuja ,
Ulikuwa ukiangalia life style yke ,maongezi yake utajua tu Luna mahala pana shida,

Ata ile videos kuvuja wao wali take tu easy ila baada ya kuona kesi IPO serious ndo wakajua kumbe watu wame mind
 
Alichokifanya kipo wazi ndicho hicho alichowasihi watu wasifanye kuhusu kuendelea na michezo yake sijui ila kutoa ya moyoni Ni wazi kasaidia kundi la vijana wengi kuwa makini na camera wanapokuwa faragha.
Sasa ikiwa bado yupo na.kale kajamaa ,,
Means kazi iendelee..

Angetaka kukataza angekuwa anakesha kanisani,,au msikitini kwa kutubu.
Na kale kajamaa hawapo pamoja.
Vinginevyo ni mambo ya kutafuta kiki .
 
Sasa ikiwa bado yupo na.kale kajamaa ,,
Means kazi iendelee..

Angetaka kukataza angekuwa anakesha kanisani,,au msikitini kwa kutubu.
Na kale kajamaa hawapo pamoja.
Vinginevyo ni mambo ya kutafuta kiki .
Kimsingi katika watu wanaostahili pongezi basi Ni huyo jamaa aliyemuoa Amber tabia za vijana zinafahamika kupita na mademu mwisho wa siku kwenye kuoa wanatafuta wife material kwa madai yao kwa huyu jamaa kukubali kuoa gumegume lake ameonyesha utofauti.

Kuhusu kuendelea kwa mchezo wao ni juu yao japo sio rahisi kujua kinachoendelea kwenye maisha yao ya ndoa na kuokoka hakumfanyi mtu kuacha dhambi bali dhamira ya dhati ndo umbadilisha.
 
Keshapatiwa tuzo za mwanamke wa shoka? Tusikilize wanawake wenzie juu ya huyo mama
Ni kweli kapitia magumu mengi kama binadamu
Mungu atamsaidia
 
Sawa, endelea tu kujichua kama kawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…