Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hahahahahahahaha mkuu nimeitafuta ile picha KAYAFA akipokea chanjo nimeikosa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani wewe kibabu😀😀Hahahaha mbona ipo... just google, son.
Kayafa alipenda sana chanjo za vikombe.... nasikia ile ya Madagascar alifakamia katoni tatu...
Hahahahahahahaha mkuu nimeitafuta ile picha KAYAFA akipokea chanjo nimeikosa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mr. Van hajambo? Mwambie awahi chanjo eti... Asidanganyike tusije tukakurithi angali bado mdogoYani wewe kibabu😀😀
Hahaaa hajambo. Chanjo wanatangulia vizee km wewe kwanzaMr. Van hajambo? Mwambie awahi chanjo eti... Asidanganyike tusije tukakurithi angali bado mdogo
Hiyo ni katika kuenzi huduma yake ambayo haikuzidi hiyo fedha.Hiyo ukiweka na yakutolea hakuna kitu hapo.