ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Mtu wa Mungu amesepa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Covid? 😳
Tena alikuwa mtu wa Musoma, r.ip. Dr.Dentist wetu alifariki kwa ajali mbaya sana akitokea Liliondo kwenye kikombe cha babu.
Mwaisapile sio MwakipesileApumzike kwa Amani Mzee Mwakipesile
Jina lake lilianzia na herufi T, RIP Dr.Tena alikuwa mtu wa Musoma, r.ip. Dr.
Asante sana mkuu, daah jamaa aliamini katika mambo ya jadi sana!
So sad, apumzike kwa amani, pole kwa wafiwa woteAmbilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo amefariki dunia akipatiwa matibabu Kituo cha Afya cha Digodigo baada ya kuzidiwa gafla leo Mchana. Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro, Waso.
Babu wa Loliondo aliugua muda mrefu na kujitibu kwa miti shamba, alipoenda hospitali akiwa amechelewa.
Babu wa Loliondo alipata umaarufu kwa dawa yake aliyodai inatibu magonjwa yote.
View attachment 1874272
Rest in heavenly peace geniusAmbilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo amefariki dunia akipatiwa matibabu Kituo cha Afya cha Digodigo baada ya kuzidiwa gafla leo Mchana. Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro, Waso.
Babu wa Loliondo aliugua muda mrefu na kujitibu kwa miti shamba, alipoenda hospitali akiwa amechelewa.
Babu wa Loliondo alipata umaarufu kwa dawa yake aliyodai inatibu magonjwa yote.
View attachment 1874272
Road to hell was paved with good intention...Dentist wetu alifariki kwa ajali mbaya sana akitokea Liliondo kwenye kikombe cha babu.
Sio kila binadamu awaza awe tajiri.Nawazaga hivi huyu mzee angeweka elfu kumi kile kikombe,angekuwa na ukwasi kiasi gani?