TANZIA Ambilikile Mwasapile, maarufu 'Babu wa Loliondo' afariki Dunia

TANZIA Ambilikile Mwasapile, maarufu 'Babu wa Loliondo' afariki Dunia

Covid? 😳

Alikuwa kafunuliwa tiba ya jero ya Corona. Tuka shauri avae barakoa, asikose maji tiririka na apatiwe chanjo haraka.

Kumbe waliyapuuza?!

Apumzike kwa amani mpendwa wetu huyu.

Bila shaka siyo covid. Kwanza mwendazake alisha tuvusha.
 
Ambilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo amefariki dunia akipatiwa matibabu Kituo cha Afya cha Digodigo baada ya kuzidiwa gafla leo Mchana. Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro, Waso.

Babu wa Loliondo aliugua muda mrefu na kujitibu kwa miti shamba, alipoenda hospitali akiwa amechelewa.

Babu wa Loliondo alipata umaarufu kwa dawa yake aliyodai inatibu magonjwa yote.
View attachment 1874272
So sad, apumzike kwa amani, pole kwa wafiwa wote
 
Ambilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo amefariki dunia akipatiwa matibabu Kituo cha Afya cha Digodigo baada ya kuzidiwa gafla leo Mchana. Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro, Waso.

Babu wa Loliondo aliugua muda mrefu na kujitibu kwa miti shamba, alipoenda hospitali akiwa amechelewa.

Babu wa Loliondo alipata umaarufu kwa dawa yake aliyodai inatibu magonjwa yote.
View attachment 1874272
Rest in heavenly peace genius
 
Dentist wetu alifariki kwa ajali mbaya sana akitokea Liliondo kwenye kikombe cha babu.
Road to hell was paved with good intention...
Kipindi kile biashara hii ililipa kuliko hata utalii na kubeba wazungu.
Tulikuwa tunapeleka watu wamebebwa na madripu yao!
Wengine wako kwenye near death expirience...
Tuapeleka wagonjwa waliolipia go & return ila ukifa sio mgonjwa tena tunachaji km maiti..au huwezi zikia hapo hapo loliondo..
Kiukweli hata mi nilikunywa kikombe tena zaidi ya mara moja.
 
Back
Top Bottom