Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza kuwa kaskazini watu wanakufa wengi sana hadi huruma na wagonjwa wengi, watu wachukue tahadhari matibabu yenyewe expensive sanaUviko?
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mzee alileta chanjo yake ambayo haikutiliwa mashaka wala kuhojiwa madhara yake na kina Gwajima.
Mpaka kiongozi wa malaika, KAYAFA MKUU alienda kuichanja.
RIP mchanjaji usiyetiliwa mashaka na wanyonge.
Cc MENGELENI KWETU BAK Sky Eclat Evelyn Salt
Dah Mzee Mkono bado yupo hai?Pumzika kwa amani Babu wa kikombe cha miujiza.
Wasalimie sana wateja wako waliotangulia mbele za haki
View attachment 1874284View attachment 1874285
Hata wale ambao bado wangali hai watakumiss sana.
View attachment 1874292View attachment 1874293
Too soon, 70+ years ? What about those who die at 30-Gone too soon....!
Tofauti ni kwamba Babu hakuwa na form ya kujaza kabla ya kunywa kikombe kwamba litakalokupata Babu hausiki.Huyu mzee alileta chanjo yake ambayo haikutiliwa mashaka wala kuhojiwa madhara yake na kina Gwajima.
Mpaka kiongozi wa malaika, KAYAFA MKUU alienda kuichanja.
RIP mchanjaji usiyetiliwa mashaka na wanyonge.
Cc MENGELENI KWETU BAK Sky Eclat Evelyn Salt
Kwanini huyu mzee hakuchukuliwa hatua yeyote ile?Mzee alitanguliza wengi,wacha tu awafuate,alikuwa anawaambia Wagonjwa wake waache kutumia Arv's al maarufu (mashudu) na wengi walizitupa dawa na kuamini kuwa hiyo supu ya mizizi ndio muarobaini wa matatizo ya ya Afya zao
Wengi waliangamia na baadhi nilikuwa nawajua.
Poleni sana Wafiwa au niiseme Kidigo?
Apumzike kwa amani - angetusaidia sana katika uvikoDuh mzee alisahaulika duh!
Hata mimi nashangaa ila Gwajima ndio wanamshambulia.Kwanini huyu mzee hakuchukuliwa hatua yeyote ile?
Kwanini aliachiwa kunywesha watu hiyo supu ya mizizi ambayo haikua imepitia vipimo na kupewa go on na mamlaka husika?
Huyu Marehemu alikuwa anajiita 'Mchungaji' Ambikile Masapile,sasa kama ilivyo katika Bara zima la Afrika baadhi Wachungaji huwalisha Waumini wao Panya na Mende ambao wako hai na Serikali zao huwa zinaangalia tu bila kuchukua hatua zozote.Kwanini huyu mzee hakuchukuliwa hatua yeyote ile?
Kwanini aliachiwa kunywesha watu hiyo supu ya mizizi ambayo haikua imepitia vipimo na kupewa go on na mamlaka husika?
Dada una visanga vingi...pole sana daahWifi yangu alifariki baada ya kufuata ushauri wa babu, aache kunywa dawa za kizungu baada ya kikombe. RIP babu.