jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 9,604
- 8,812
Huyu aliwapatia sana, hata Dr. Shika hakufuwa dafu..Pumzika kwa amani Babu wa kikombe cha miujiza.
Wasalimie sana wateja wako waliotangulia mbele za haki
View attachment 1874284View attachment 1874285
Hata wale ambao bado wangali hai watakumiss sana.
View attachment 1874292View attachment 1874293
Kweli kaacha hustoria..
RIP Mzee wa Loliondo..