Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angali hai nadhani. Sina uhakika. Ila sijawahi kusikia tangazo la kifo chakeDah Mzee Mkono bado yupo hai?
Hivi Mzee Mkono yupo wapi?Pumzika kwa amani Babu wa kikombe cha miujiza.
Wasalimie sana wateja wako waliotangulia mbele za haki
View attachment 1874284View attachment 1874285
Hata wale ambao bado wangali hai watakumiss sana.
View attachment 1874292View attachment 1874293
Yupo ila afya yake ni dhaifu kidogo sababu ya uzeeHivi Mzee Mkono yupo wapi?
Wala hakikufanyiwa kampeni...Kikombe cha R.I.P Babu hakikua na ubaguzi.View attachment 1874441View attachment 1874443View attachment 1874444
Noted!R.I.P akili kubwa.
.ulijua kutumia vyema umbumbu wetu kupata ukwasi.
Yeuwiiii, ametutoka wkt tunamwitaji vibaya atupatie nyungu tupige, nchi inaumwa ugonjwa wa koleo hatari mara 19 duniani kote.
Ambilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo amefariki dunia akipatiwa matibabu Kituo cha Afya cha Digodigo baada ya kuzidiwa gafla leo Mchana. Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro, Waso.
Babu wa Loliondo aliugua muda mrefu na kujitibu kwa miti shamba, alipoenda hospitali akiwa amechelewa.
Babu wa Loliondo alipata umaarufu kwa dawa yake aliyodai inatibu magonjwa yote.
HakikaPole kwa wafiwa.
Mzee kaacha historia.
Si lazima kwakuwa labda Wewe ni Mganga wa Kienyeji basi kila Ugonjwa unaokupata usiende Hospitali na uishie tu Kutumia Miti Shamba na Mizimu ya Kwenu. Ni lazima utakufa tu hakuna namna pia.
Ambilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo amefariki dunia akipatiwa matibabu Kituo cha Afya cha Digodigo baada ya kuzidiwa gafla leo Mchana. Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro, Waso.
Babu wa Loliondo aliugua muda mrefu na kujitibu kwa miti shamba, alipoenda hospitali akiwa amechelewa.
Babu wa Loliondo alipata umaarufu kwa dawa yake aliyodai inatibu magonjwa yote.
Shindwa na ulegee...!😳😳 Wee! Shindwa
Zab 118:17Shindwa na ulegee...!
Pumzika kwa amani Babu wa kikombe cha miujiza.
Wasalimie sana wateja wako waliotangulia mbele za haki
View attachment 1874284View attachment 1874285
Hata wale ambao bado wangali hai watakumiss sana.
View attachment 1874292View attachment 1874293
Mda wake umefika !
Yeah inauwa wazee hivyo tuwalinde wazee maisha yaendelee.Covid ipo na inaua, tuache mchezo na dhereu.
Meko walienda kunywa akidhani atapona maradhi ya moyoHuyu mzee alileta chanjo yake ambayo haikutiliwa mashaka wala kuhojiwa madhara yake na kina Gwajima.
Mpaka kiongozi wa malaika, KAYAFA MKUU alienda kuichanja.
RIP mchanjaji usiyetiliwa mashaka na wanyonge.
Cc MENGELENI KWETU BAK Sky Eclat Evelyn Salt
Huyu alikuwa Kinjekitile wa zama hizi, ikiwa wa-Tz , maprofesa ma - Dr .na hata wzsomomi waliweza kumwamini Babu na madawa yake kwa nini wasiiamni chanjo ya Korona?
Ambilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo amefariki dunia akipatiwa matibabu Kituo cha Afya cha Digodigo baada ya kuzidiwa gafla leo Mchana. Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro, Waso.
Babu wa Loliondo aliugua muda mrefu na kujitibu kwa miti shamba, alipoenda hospitali akiwa amechelewa.
Babu wa Loliondo alipata umaarufu kwa dawa yake aliyodai inatibu magonjwa yote.