TANZIA Ambilikile Mwasapile, maarufu 'Babu wa Loliondo' afariki Dunia

TANZIA Ambilikile Mwasapile, maarufu 'Babu wa Loliondo' afariki Dunia

Huyu mzee kiboko
Aingie tu kwenye historia kama wazee wenzake kina kinjekitile ngwale
Kusema kweli kipindi kile ilikua kama utalii
Alisomba karibia mtaa wetu wote na nusu ya ukoo wetu wote ilikua road to loliondo😂😂😂
 

Ambilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo amefariki dunia akipatiwa matibabu Kituo cha Afya cha Digodigo baada ya kuzidiwa gafla leo Mchana. Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro, Waso.

Babu wa Loliondo aliugua muda mrefu na kujitibu kwa miti shamba, alipoenda hospitali akiwa amechelewa.

Babu wa Loliondo alipata umaarufu kwa dawa yake aliyodai inatibu magonjwa yote.
Yeuwiiii, ametutoka wkt tunamwitaji vibaya atupatie nyungu tupige, nchi inaumwa ugonjwa wa koleo hatari mara 19 duniani kote.
 

Ambilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo amefariki dunia akipatiwa matibabu Kituo cha Afya cha Digodigo baada ya kuzidiwa gafla leo Mchana. Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro, Waso.

Babu wa Loliondo aliugua muda mrefu na kujitibu kwa miti shamba, alipoenda hospitali akiwa amechelewa.

Babu wa Loliondo alipata umaarufu kwa dawa yake aliyodai inatibu magonjwa yote.
Si lazima kwakuwa labda Wewe ni Mganga wa Kienyeji basi kila Ugonjwa unaokupata usiende Hospitali na uishie tu Kutumia Miti Shamba na Mizimu ya Kwenu. Ni lazima utakufa tu hakuna namna pia.
 
1627674370392.png

Ni nani huyu tena jamani. Mbona Sura yake ilikuwa hivi? Nahisi kikombe kilimsaidia kumpa uangavi.
 

Ambilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo amefariki dunia akipatiwa matibabu Kituo cha Afya cha Digodigo baada ya kuzidiwa gafla leo Mchana. Mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Ngorongoro, Waso.

Babu wa Loliondo aliugua muda mrefu na kujitibu kwa miti shamba, alipoenda hospitali akiwa amechelewa.

Babu wa Loliondo alipata umaarufu kwa dawa yake aliyodai inatibu magonjwa yote.
Huyu alikuwa Kinjekitile wa zama hizi, ikiwa wa-Tz , maprofesa ma - Dr .na hata wzsomomi waliweza kumwamini Babu na madawa yake kwa nini wasiiamni chanjo ya Korona?
 
Back
Top Bottom