ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
hakuna Mme hapo Fanya maisha yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wengi wamekuwa mizinguo kiasi hadi wanaume wengi wamekosa eager ya ndoaNa kwanini mlimwambia alipe mahari wakati mzigo ameshautafuna na kuutumia kwa miaka minne mfululizo?
Hivi zama hizi bado kuna wanaume wanaopapatikia kuoa?
Sasa akitokea huyo mwanaume wa kutaka kuoa bado watu wanamdai alipe mahari, how? Akisepa mnalaumu.
Badilikeni jamani.
watu washenzi sana!born at 1970 sasa embu tueleze kuhsu umri kwanzaView attachment 2265171
Hawa viumbe achana nao kabisa. Mambo wanayo fanya kipindi hiki ni zaidi ya ukatiri,Nikikumbuka 2019 kuna mwanamke nilimtolea mpaka na mahari lakin mwisho wa siku alinipiga na kitu kizito kichwani,maumivu unayopitia mm naona ni sawa tuu,katika wanawake huyo nilitokea kumpenda na alikuwa single mama ila baada ya kunitenda sijui ss hivi nawaonaje wanawake
Hahahha uno la single mama lilikidatisha 🤣🤣🤣🤣 wanajua kitombanaa hao acha. Ukiwa mwanaume usio na msimamo u atangaza nia ya kuchukua jimbo moja kwa mojaNikikumbuka 2019 kuna mwanamke nilimtolea mpaka na mahari lakin mwisho wa siku alinipiga na kitu kizito kichwani,maumivu unayopitia mm naona ni sawa tuu,katika wanawake huyo nilitokea kumpenda na alikuwa single mama ila baada ya kunitenda sijui ss hivi nawaonaje wanawake
Hahahha uno la single mama lilikidatisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanajua kitombanaa hao acha. Ukiwa mwanaume usio na msimamo u atangaza nia ya kuchukua jimbo moja kwa moja
Practice makes permanent! Maana aunaweza ukawa una naynduana kila leo lakini hujui kumridhisha mwanaume🤣🤣🤣🤣🤣Ni kawaida ya malaya kuwa mjuvi wa mambo hayo maana anaya practice kwa miaka mingi kwa nini asiwe fundi ?! Sema ndio high risk na anakuwa cha wote huwezi kuwa naye peke yako au wanaume 2 tu ,
Saa yoyote mazingira yoyote hata akiwa amesafiri mazingira ya ugenini anakuwa mwepesi wa kukubali wanaume wengine wamle!
Sasa unakuta tangu yuko Shule ya msingi anajua kulala na wanaume wewe umemkuta akiwa level gani na umri gani ?!
Practice makes perfect!
Na huo ndio umri wake wa kweli vijana wasasaiv hata awe amemaliza chuo kikuu hawezi kuandika hivyo.born at 1970 sasa embu tueleze kuhsu umri kwanzaView attachment 2265171
Ataje na Id yake ya zamaniborn at 1970 sasa embu tueleze kuhsu umri kwanzaView attachment 2265171
Ndoa kufungwa ni jambo moja na kudumu ikiwa na furaha na amani ya kweli ni jambo jingine.Kwahiyo unataka kusema hawa waliokwenye ndoa wote walioana wakiwa bikira? Asikudanganye mtu Kama Mungu hajaruhusu Jambo haliwezi kutendeka, hivyo hiyo ndoa ni mpango wa Mungu isifungwe.