Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Rizki haina janja janja kikubwa akifika eneo la tukio aulize kupata maelekezoWakuu, huyu mtu kama niwewe ungemshauri afanyeje.
Ameitwa interview TRA nafasi mbili tofauti muda wa written interview ni mmoja.
hivi umeelewa mada mkuuRizki haina janja janja kikubwa akifika eneo la tukio aulize kupata maelekezo
100% ila nilichokiandika hujakitafakarihivi umeelewa mada mkuu
Afanye inayohitaji watu wengi au mshahara mdogo.Wakuu, huyu mtu kama niwewe ungemshauri afanyeje.
Ameitwa interview TRA nafasi mbili tofauti muda wa written interview ni mmoja.
👌kuna mtu atauliza kwanini😎
Ataambiwa tu! Namsubiri[emoji108]kuna mtu atauliza kwanini[emoji41]
[emoji28][emoji28]hili nalo ni la kuomba ushauri kweli? Mwambie ajigawe katikati afanye zote kama atawezaWakuu, huyu mtu kama niwewe ungemshauri afanyeje.
Ameitwa interview TRA nafasi mbili tofauti muda wa written interview ni mmoja.
Ilishawah kunikuta kwenye usail wa Tasaf....nilifanya yote ila muda ni huohuo...japo utoe taarifa kwa wasimamiziWakuu, huyu mtu kama niwewe ungemshauri afanyeje.
Ameitwa interview TRA nafasi mbili tofauti muda wa written interview ni mmoja.
akifika atoe taarifa, then aombe apewe paper zote mbili, japo atatakiwa kutumia muda ulele wa paper moja kufanya paper zote mbilk, au wakimuhurumia kiasi anaweza ongezewa muda kidogo, ila LAZIMA ATOE TAARIFA anapofika tu. Hiyo hutokea so asijali wala haina shida.Wakuu, huyu mtu kama niwewe ungemshauri afanyeje.
Ameitwa interview TRA nafasi mbili tofauti muda wa written interview ni mmoja.
Wakuu, huyu mtu kama niwewe ungemshauri afanyeje.
Ameitwa interview TRA nafasi mbili tofauti muda wa written interview ni mmoja.
Wasengerema hao why not wasingeita mtu mwingine kwa wale waliowacha kwa husda wakati wamecertify vywti na wakafanyia upongonyongo
Achague yenya high salaryWakuu, huyu mtu kama niwewe ungemshauri afanyeje.
Ameitwa interview TRA nafasi mbili tofauti muda wa written interview ni mmoja.