Amejiua baada ya Mume wake kakataa ujauzito

Acha life si ni jinga jinga,Kwa nini hajaenda Kwa aliyekuwa kaimu mume? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kinuka mori hiiπŸ€”
 
Nyege zinaponza sana, kuna vibrator kuna dildos lakin Mlokole huyo alisema ni dhambi hatimae sasa kajipotezea maisha baada ya kutoka kanisani kwa dhambi ile ile ya uzinzi.

Sikia: Kujichua kungemgharimu dhambi moja tu ila kungemtunzia uaminifu, uhai na amani ya ndoa.
Kucheat kumemgharimu dhambi ya uzinzi, kupoteza ndoa na mwisho kujiua ndo msala uko mbinguni kama kweli alikua anawish kwenda.
#Kabla ya Maamuz pima Plan zako.
 
Kitanda hakizai haramu, angebaki wakalea mtoto tu.
 
Sijui kwa nini Tanzania sekta ya ushauri nasaha watu wanaidharau sana
 
Singida πŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏ
 
kataa ndoa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…