Amekubali nizae na Msichana mwingine wakati namsubiri yeye amalize masomo

Amekubali nizae na Msichana mwingine wakati namsubiri yeye amalize masomo

Jstar1

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
1,391
Reaction score
1,347
Niende moja kwa moja kwenye mada, kuna binti mmoja kwa Kisambaa, natamani japo anizalie katoto, mimi ni kijana sijaoa ila nina mpango wa kuoa apo mbeleni...

Lengo langu ni kumuoa huyu binti alieko chuo mwaka wa 2, ila sasa nataka azae kwanza, yeye yuko tiyari kwa masharti mawili, la kwanza apostpond chuo mwaka mmoja azae then arudi kuendelea, au aendelee mpaka amalize mimba iwe na miezi kadhaa..

Ila hizo nmekataa maana nmeona akiacha chuo then abebe apo tiyari ntakua nmeoa, akisema asbiri mwakani abebe naona atanichelewesha na lengo langu ni kupata mtoto before 26 years...

Kwa option zangu nmemwambia, ngoja nitafte msichana mwingine azae yeye atakuja kulea, kakubali niwe na msichana mwingine na kaaidi atalea na bado ananipenda au nkiamue nimskilize, apa akili yangu naona bora nitafte msichana mwingine ila kumuacha yeye sitamuacha...

Sema nyumbani wakijua namfanyia hivi huyu msichana watanitia korodani
 
Niende moja kwa moja kwenye mada, kuna binti mmoja kwa Kisambaa, natamani japo anizalie katoto, mimi ni kijana sijaoa ila nina mpango wa kuoa apo mbeleni...
Usimuharibie binti wa watu maisha kwa sabb ww unataka mtoto...... Tafuta mtu ambae asomi mtie mimba lkn bado jukumu la kumuoa litakua lako yani kwa nn umbebeshe mtu mimba na usimuoe urudi umuoe mwanachuo......... Usiwe na akili ya kutengeneza single maza.... Kua na akili ya kutafuta pesa ya mahali ukipata oa tafuta mtoto
 
Chini ya Miaka 26 unataka Mtoto?

Wakati huohuo hujui umuhimu wa Elimu ya Mpenzi wako?

Huyo Binti unayetarajia utayemtafuta na kuzaa naye ni lazima atakua hana akili kama wewe au atakua amekuzidi umri tu.

Uwe makini sana na ukiweza usithubutu kabisa kwani Wewe, Mtoto na huyo Binti mtakua kwenye Umaskini wa hali ya juu baadaye na hamna kitu utafanya wala hakuna rangi mtaacha kuoneshana.

MWANA KULIFIND, MWANA KULIGET.
 
Umeachwaa, kubalii, kubalii.....angekuwa anakutaka hiyo mimba angeitegesha yeye.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada, kuna binti mmoja kwa Kisambaa, natamani japo anizalie katoto, mimi ni kijana sijaoa ila nina mpango wa kuoa apo mbeleni...

Lengo langu ni kumuoa huyu binti alieko chuo mwaka wa 2, ila sasa nataka azae kwanza, yeye yuko tiyari kwa masharti mawili, la kwanza apostpond chuo mwaka mmoja azae then arudi kuendelea, au aendelee mpaka amalize mimba iwe na miezi kadhaa..

Ila hizo nmekataa maana nmeona akiacha chuo then abebe apo tiyari ntakua nmeoa, akisema asbiri mwakani abebe naona atanichelewesha na lengo langu ni kupata mtoto before 26 years...

Kwa option zangu nmemwambia, ngoja nitafte msichana mwingine azae yeye atakuja kulea, kakubali niwe na msichana mwingine na kaaidi atalea na bado ananipenda au nkiamue nimskilize, apa akili yangu naona bora nitafte msichana mwingine ila kumuacha yeye sitamuacha...

Sema nyumbani wakijua namfanyia hivi huyu msichana watanitia korodani
Tafuta hela kijana acha kupoteza muda.
 
Wa chuo keshapata mtu huko wanaendana kielimu. Huyu wa mtaani ataangushiwa kitu kizito soon (kutoka kwenye drone). Mwanamke akuruhusu uzae nje kweli... Hata wa Kiislamu, sidhani.
Kuna Mmoja Anataka Kumtema Mwenzie Hapo .. kinatafutwa Kisingizio tu.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada, kuna binti mmoja kwa Kisambaa, natamani japo anizalie katoto, mimi ni kijana sijaoa ila nina mpango wa kuoa apo mbeleni...

Lengo langu ni kumuoa huyu binti alieko chuo mwaka wa 2, ila sasa nataka azae kwanza, yeye yuko tiyari kwa masharti mawili, la kwanza apostpond chuo mwaka mmoja azae then arudi kuendelea, au aendelee mpaka amalize mimba iwe na miezi kadhaa..

Ila hizo nmekataa maana nmeona akiacha chuo then abebe apo tiyari ntakua nmeoa, akisema asbiri mwakani abebe naona atanichelewesha na lengo langu ni kupata mtoto before 26 years...

Kwa option zangu nmemwambia, ngoja nitafte msichana mwingine azae yeye atakuja kulea, kakubali niwe na msichana mwingine na kaaidi atalea na bado ananipenda au nkiamue nimskilize, apa akili yangu naona bora nitafte msichana mwingine ila kumuacha yeye sitamuacha...

Sema nyumbani wakijua namfanyia hivi huyu msichana watanitia korodani
Kwa akili hizo unataka tuu kuongeza panya road
 
We mwanaume unakua na hofu kama wanawake eti before miaka 26 niwe nimepata mtoto.wanawake ndio wanahofu hizo
 
Chini ya Miaka 26 unataka Mtoto?

Wakati huohuo hujui umuhimu wa Elimu ya Mpenzi wako?

Huyo Binti unayetarajia utayemtafuta na kuzaa naye ni lazima atakua hana akili kama wewe au atakua amekuzidi umri tu.

Uwe makini sana na ukiweza usithubutu kabisa kwani Wewe, Mtoto na huyo Binti mtakua kwenye Umaskini wa hali ya juu baadaye na hamna kitu utafanya wala hakuna rangi mtaacha kuoneshana.

MWANA KULIFIND, MWANA KULIGET.
Ana tuM twake bank kama balance anajiona ashakuwa mkubwa kutaka azae 🤣🤣
 
Mnapataga wapi ujasiri wa kumwambia mtu akuzalie mtoto wakati si mkeo?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom