Amekuta Uchawi wa Kiarabu Nyumbani Kwake

Amekuta Uchawi wa Kiarabu Nyumbani Kwake

small mind

Senior Member
Joined
Jun 1, 2012
Posts
129
Reaction score
58
Wakuu; Jumapii ya leo imenoga

Niko na rafiki yangu hapa tuko na karatasi imeandikwa Jina lake mara nyingi sana pamoja na maneno ya kiarabu halafu ikachomwa sindano.Ilikuwa imehifadhiwa ndani ya nyumba yake.Kwenye nyumba yake wanaishi watu wawili tu.Mama yake na Mke wake pamoja na watoto wake.Kwa kipindi cha mwaka mzima wa 2020 jamaa aipigika sana na kuteseka sana mpaka akachoka sasa anaamini kwamba chanzo kilikuwa nii huu uchawi wa kiarabu.

Kwa wanaofahamu tusaidieni maana ya huu uchawi na afanye nini maana jamaa ni mtu wa sala sana kwa sasa na anataka kumfukuza mke wake ila anahofu isije kuwa ni mama yake akajikuta anadhalilisha nyumba yake.

Je huu uchawi wa kuandika jina la mtu mara nyingi kwenye karatasi na kuuchoma sindano ni uchawi unaolenga nini?
 
Huo ni wa kumaliza nguvu za kiume. Muulize jamaa alikua anaperform hovyo akiwa nyumbani au ugenini?
 
"watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa"
Huo ni uchafu tu, aende akautupe jalalani au kuuchoma moto, kisha maisha yasonge mbele huku akipambana na hali yake.
Kama ni kupigika tu, mwaka jana karibu watu wengi duniani walipigika.
nami nimemweleza hivi
 
hiyo karatasi ilikuwa ni ya UREMBO TU 😛 😛 😛 😛
Karatasi
Sindano
Jina x 9
Hati za kiarabu

Je zinaweza vipi kuathiri maisha ya mtu?

Nakumbuka nilipokuwa mdogo niliandika hati za kiarabu kwenye karatasi nyeupe alafu nikaweka kwenye chupa kisha nikaweka kwenye mchungwa mmojawapo shambani. Ajabu, Eti wezi waliokuwa wakiiba hawakuiba tena! Kwa kuamini shamba limekingwa!

That's why nikaona imani ni ugonjwa.
 
Back
Top Bottom