Amekuta Uchawi wa Kiarabu Nyumbani Kwake

Amekuta Uchawi wa Kiarabu Nyumbani Kwake

Kwenye nyumba wanaishi wawili halafu watu waliotajwa hapo n Zaid ya wawili,,,anyway afanye maombi ajiombee yeye mwenyewe, familia na nyumba yake kwa ujumla.
Hadi huku wewe ni expert!!
 
Wakuu; Jumapii ya leo imenoga

Niko na rafiki yangu hapa tuko na karatasi imeandikwa Jina lake mara nyingi sana pamoja na maneno ya kiarabu halafu ikachomwa sindano.Ilikuwa imehifadhiwa ndani ya nyumba yake.Kwenye nyumba yake wanaishi watu wawili tu.Mama yake na Mke wake pamoja na watoto wake.Kwa kipindi cha mwaka mzima wa 2020 jamaa aipigika sana na kuteseka sana mpaka akachoka sasa anaamini kwamba chanzo kilikuwa nii huu uchawi wa kiarabu.

Kwa wanaofahamu tusaidieni maana ya huu uchawi na afanye nini maana jamaa ni mtu wa sala sana kwa sasa na anataka kumfukuza mke wake ila anahofu isije kuwa ni mama yake akajikuta anadhalilisha nyumba yake.

Je huu uchawi wa kuandika jina la mtu mara nyingi kwenye karatasi na kuuchoma sindano ni uchawi unaolenga nini?
Huo uchawi unaitwa "Taweez" unaweza kusechi picha zake kwa google.

Ni uchawi mbaya sana huu unaoweza kufarakanisha mke na mume, kutia mtu nuksu, kufifisha nyota ya mtu, n.k.

Aina hii ya uchawi una njia maalum ya kuangamizwa, kuna mwengine unachoma, mwengine unalowesha kwenge maji ya chumvi, mwengine unafukia, n.k.

Kwanza hongera kwa kupata hio karatasi, Ni wengi hadi wanakufa huwa hawapati bahati kama yako ya kupata kikaratasi hicho wanapofanyiwa uchawi huu, Sasa cha kufanya hio karatasi ipige picha irudishe ulipoikuta na wala usimwambie ke wako au mama yako, Kinachofata nenda kwa ustadhi bila kujali upo dini ipi maana huo uchawi unahusu sana ulianzi uaabuni na hawa kina ustadhi ni wataalam wa kuutegua, Mwambie akusaidie na umuonyeshe hio picha halafu ndio mwende wote hapo nyumbani kwako mda ambao mama yako na mke wako wote wapo, Mkifika hapo na ustadhi huyo aliefanya hayo mambo ataumbuka tu, Hata ustadhi kabla hajaanza kusoma dua zake mtamuona tu anavyotetemeka na atajitaja yeye mwenyewe kwa hofu.

Narudia tena, huo ni uchawi mkali sana nimeona hata wahindi na waarabu wengi wamekuta vipande vya vikaratasi kama hicho huku maisha yao yakiwa yameharibika kwa kiasi kikubwa sana

Kama hutojali nitumie picha ya hicho kikaratasi.
 
Huo uchawi unaitwa "Taweez" unaweza kusechi picha zake kwa google.

Ni uchawi mbaya sana huu unaoweza kufarakanisha mke na mume, kutia mtu nuksu, kufifisha nyota ya mtu, n.k.

Aina hii ya uchawi una njia maalum ya kuangamizwa, kuna mwengine unachoma, mwengine unalowesha kwenge maji ya chumvi, mwengine unafukia, n.k.

Kama hutojali nitumie picha ya hicho kikaratasi.

Narudia tena, huo ni uchawi mkali sana nimeona hata wahindi na waarabu wengi wamekuta vipande vya vikaratasi kama hicho huku maisha yao yakiwa yameharibika kwa kiasi kikubwa sana
Hii mtu anaweza kukufanyia akiwa mbali...?
 
Karatasi
Sindano
Jina x 9
Hati za kiarabu

Je zinaweza vipi kuathiri maisha ya mtu?

Nakumbuka nilipokuwa mdogo niliandika hati za kiarabu kwenye karatasi nyeupe alafu nikaweka kwenye chupa kisha nikaweka kwenye mchungwa mmojawapo shambani. Ajabu, Eti wezi waliokuwa wakiiba hawakuiba tena! Kwa kuamini shamba limekingwa!

That's why nikaona imani ni ugonjwa.
Uchawi upo na utaendelea kuwepo na usimbwe ukarogwa ,kama alivosema mtangulizi wangu afumue hiyo shindano baada ya bismilahi x3 aitie kwenye maji na karatasi vile vile kwenye halafu anaweza kuichoma na maji kumwaga .
 
Huo uchawi unaitwa "Taweez" unaweza kusechi picha zake kwa google.

Ni uchawi mbaya sana huu unaoweza kufarakanisha mke na mume, kutia mtu nuksu, kufifisha nyota ya mtu, n.k.

Aina hii ya uchawi una njia maalum ya kuangamizwa, kuna mwengine unachoma, mwengine unalowesha kwenge maji ya chumvi, mwengine unafukia, n.k.

Kama hutojali nitumie picha ya hicho kikaratasi.

Narudia tena, huo ni uchawi mkali sana nimeona hata wahindi na waarabu wengi wamekuta vipande vya vikaratasi kama hicho huku maisha yao yakiwa yameharibika kwa kiasi kikubwa sana
aisee hawa wanawake hawa!!!
 
Mshana Jr nategemea kuona unatia neno hapa ili nami nipate kujua na kupata amani
 
Wakuu; Jumapii ya leo imenoga

Niko na rafiki yangu hapa tuko na karatasi imeandikwa Jina lake mara nyingi sana pamoja na maneno ya kiarabu halafu ikachomwa sindano.Ilikuwa imehifadhiwa ndani ya nyumba yake.Kwenye nyumba yake wanaishi watu wawili tu.Mama yake na Mke wake pamoja na watoto wake.Kwa kipindi cha mwaka mzima wa 2020 jamaa aipigika sana na kuteseka sana mpaka akachoka sasa anaamini kwamba chanzo kilikuwa nii huu uchawi wa kiarabu.

Kwa wanaofahamu tusaidieni maana ya huu uchawi na afanye nini maana jamaa ni mtu wa sala sana kwa sasa na anataka kumfukuza mke wake ila anahofu isije kuwa ni mama yake akajikuta anadhalilisha nyumba yake.

Je huu uchawi wa kuandika jina la mtu mara nyingi kwenye karatasi na kuuchoma sindano ni uchawi unaolenga nini?
Yupo Yesu muweza wa yote amwite naye atamwitikia azidishe sala tu mambo yatakua poa.
 
Walio kwenye ndoa ndo wanaongoza kwenda kuwaroga waume zao.

Weka hiyo picha hapa wakusomee.
 
Amwombe Mungu wake kwa imani yake, atende yaliyo mema, awapende na awe na amani na watu wote. Hakuna nguvu ya uharibifu itakayofanikiwa kwake.

Halafu 2020 ilikua ngumu kwa wengi sio sababu ya hayo aliyoona
True hata mm sikukamilisha zaka niliyohaidi sitosahau mwaka huo wa kusoma namba
 
Hii mtu anaweza kukufanyia akiwa mbali...?
Watu wengi nliopata shuhuda zao walikuta vipande hivi vya karatasi kwenye mazingira ya wanapoishi,

Ila huwezi jua, haya mambo mazito sana, inawezekana hata mtu akiwa mbali anaweza kukufanyia
 
aisee hawa wanawake hawa!!!
Kama nilivyoshauri, Hicho kikaratasi akipige picha akirudishie humo alipokikuta na asimmwambie mama au mke wake.

Aende kwa ustadh amuonyeshe hio picha na waende nyumbani mda ambao mama yake na mke wake wote wapo, Wakae wote sebuleni na shida iwekwe wazi, Nakwambia hapo kama kuna muhusika lazima ataumbuka tu, Yani kwanza hata ustadh akitoa vitisho tu vya kupima upepo mfano akisema "alietuma ajitokeze kabla sijaanza kusoma dua ya kumrudishia huo uchawi", hapo muhusika lazima ajishushe na kusema ni yeye au mtaona tu anavyotetemeka, Akiwa mbishi dua ikianza kusoma ataumbuka tu.

Akifata huu ushauri wangu huyo mshirikina anaumbuka leo leo.
 
Imani yangu binafsi naaamini uchawi upo ila kurogwa ndio haitokaa ikatokea mambo yote yanayonitokea maishani naamini nimeyaumba mwenyewe hakuna mwenye uwezo wa kuniroga mimi kwani mlinzi wangu ni zaidi ya hao wachawi.

Mwambie mdau akae chini ajitafakari wapi alifeli ajipange upya, 2020 imeniacha na madeni kinyama nikasema huu upuuzi hautakaa utokee tena saivi nimejipanga upya mbona mambo yanaenda tu.

Ila kama anachepuka mama mwenye mali kaamua atumie njia mbadala lazima urogeke tu mwambie hana namna kazidiwa maarifa.
Nachoamini kama unafanya uovu ukarogwa kwa huo uovu mazee lazima uisome.
 
Watu wengi nliopata shuhuda zao walikuta vipande hivi vya karatasi kwenye mazingira ya wanapoishi,

Ila huwezi jua, haya mambo mazito sana, inawezekana hata mtu akiwa mbali anaweza kukufanyia
Kama mbali inafanyika ni hatari,unaweza kuta una mfululizo wa matatizo kumbe kamjamaa kamefanya mambo huko.
 
Back
Top Bottom