Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
As human tunauhusiano mkubwa sana na nambari na pia alfabeti hizi za kawaida katika mahesabu toka zama za kale sana zilizoanzia misriKaratasi
Sindano
Jina x 9
Hati za kiarabu
Je zinaweza vipi kuathiri maisha ya mtu?
Nakumbuka nilipokuwa mdogo niliandika hati za kiarabu kwenye karatasi nyeupe alafu nikaweka kwenye chupa kisha nikaweka kwenye mchungwa mmojawapo shambani. Ajabu, Eti wezi waliokuwa wakiiba hawakuiba tena! Kwa kuamini shamba limekingwa!
That's why nikaona imani ni ugonjwa.
#bujibuji MISRIUmejifunza wapi?
Hao ni watu wawili kweli??🤔"Kwenye nyumba yake wanaishi watu wawili tu.Mama yake na Mke wake pamoja na watoto wake."
ni zaidiHao ni watu wawili kweli??🤔
kozi gani ulisomea?#bujibuji MISRI
Wala usihofu hakuna baya hapo wala mtu asikutishe kama alivyo sema mmoja hapo eti kuangamiza hahahah hakuna kuangamiza hapo huo ni ulinzi tu wa ndoa mama analinda mali yake isitoke nje kwa vicheche ucjali.ni zaidi
😂😂ni zaidi
Ngoja Waislam waje watatusaidiaWakuu; Jumapii ya leo imenoga
Niko na rafiki yangu hapa tuko na karatasi imeandikwa Jina lake mara nyingi sana pamoja na maneno ya kiarabu halafu ikachomwa sindano.Ilikuwa imehifadhiwa ndani ya nyumba yake.Kwenye nyumba yake wanaishi watu wawili tu.Mama yake na Mke wake pamoja na watoto wake.Kwa kipindi cha mwaka mzima wa 2020 jamaa aipigika sana na kuteseka sana mpaka akachoka sasa anaamini kwamba chanzo kilikuwa nii huu uchawi wa kiarabu.
Kwa wanaofahamu tusaidieni maana ya huu uchawi na afanye nini maana jamaa ni mtu wa sala sana kwa sasa na anataka kumfukuza mke wake ila anahofu isije kuwa ni mama yake akajikuta anadhalilisha nyumba yake.
Je huu uchawi wa kuandika jina la mtu mara nyingi kwenye karatasi na kuuchoma sindano ni uchawi unaolenga nini?
huwezi kwenda anga za mbali bila kufahamu mahesabu kwa kinakozi gani ulisomea?
Mkuu, msaidie huyo jamaa AISEE, coz naona unafaham ki2huwezi kwenda anga za mbali bila kufahamu mahesabu kwa kina
mtaalam una maneno magumu km lugha ya kihabeshihuwezi kwenda anga za mbali bila kufahamu mahesabu kwa kina
Weka picha ya huo uchawi tukusaidie.....je huyo demu ni Mchagga au Mpare?Wakuu; Jumapii ya leo imenoga
Niko na rafiki yangu hapa tuko na karatasi imeandikwa Jina lake mara nyingi sana pamoja na maneno ya kiarabu halafu ikachomwa sindano.Ilikuwa imehifadhiwa ndani ya nyumba yake.Kwenye nyumba yake wanaishi watu wawili tu.Mama yake na Mke wake pamoja na watoto wake.Kwa kipindi cha mwaka mzima wa 2020 jamaa aipigika sana na kuteseka sana mpaka akachoka sasa anaamini kwamba chanzo kilikuwa nii huu uchawi wa kiarabu.
Kwa wanaofahamu tusaidieni maana ya huu uchawi na afanye nini maana jamaa ni mtu wa sala sana kwa sasa na anataka kumfukuza mke wake ila anahofu isije kuwa ni mama yake akajikuta anadhalilisha nyumba yake.
Je huu uchawi wa kuandika jina la mtu mara nyingi kwenye karatasi na kuuchoma sindano ni uchawi unaolenga nini?
Wema Sepetu alimfanyia Diamond hii pia baada ya kuachwa.Karatasi
Sindano
Jina x 9
Hati za kiarabu
Je zinaweza vipi kuathiri maisha ya mtu?
Nakumbuka nilipokuwa mdogo niliandika hati za kiarabu kwenye karatasi nyeupe alafu nikaweka kwenye chupa kisha nikaweka kwenye mchungwa mmojawapo shambani. Ajabu, Eti wezi waliokuwa wakiiba hawakuiba tena! Kwa kuamini shamba limekingwa!
That's why nikaona imani ni ugonjwa.
Nimeshampa maelekezo anachotakiwa ni kuichoma moto tuMkuu, msaidie huyo jamaa AISEE, coz naona unafaham ki2