Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nimeshangaa ila nimejiongeza labda mama alikuja kusalimia tu haishi hapo na watoto wapo shule bweni, ama kwasabu tayari anawasiwasi na watu wawili ndio maana yeye na watoto akawatoa kwenye kundi.Tuanzie hapa kwanza
"Kwenye nyumba yake wanaishi watu wawili tu.Mama yake na Mke wake pamoja na watoto wake"
Mama
Mke
Watoto
Yeye mwenyewe
Jumla ngapi?? Au wengine sio watu hapo
Mwarabu adui yake mzungu tena mmarekani, mwambie andike you know what I aayinf, kwa slang Ile ya kimarekani uchawi wote unakufaNi uchawi wa Kiarabu.[emoji1787]
Good analysisHata mimi nimeshangaa ila nimejiongeza labda mama alikuja kusalimia tu haishi hapo na watoto wapo shule bweni, ama kwasabu tayari anawasiwasi na watu wawili ndio maana yeye na watoto akawatoa kwenye kundi.
Anakutisha huyo hakuna kitu kama hicho.Duh.Alitaka kumwua jamaa
[emoji16][emoji16][emoji16]Hadi huku wewe ni expert!!
Amwombe Mungu wake kwa imani yake, atende yaliyo mema, awapende na awe na amani na watu wote. Hakuna nguvu ya uharibifu itakayofanikiwa kwake.
Halafu 2020 ilikua ngumu kwa wengi sio sababu ya hayo aliyoona
Mzee ile namba naingojaHuo ni wa kumaliza nguvu za kiume. Muulize jamaa alikua anaperform hovyo akiwa nyumbani au ugenini?
PmMzee ile namba naingoja