Amekuta Uchawi wa Kiarabu Nyumbani Kwake

Mwambie aache ubahili au kuchepuka ili asishugulikiwe na mkewe
 
As human tunauhusiano mkubwa sana na nambari na pia alfabeti hizi za kawaida katika mahesabu toka zama za kale sana zilizoanzia misri
 
Kwenye nyumba wanaishi wawili halafu watu waliotajwa hapo n Zaid ya wawili,,,anyway afanye maombi ajiombee yeye mwenyewe, familia na nyumba yake kwa ujumla.
 
Wala usihofu hakuna baya hapo wala mtu asikutishe kama alivyo sema mmoja hapo eti kuangamiza hahahah hakuna kuangamiza hapo huo ni ulinzi tu wa ndoa mama analinda mali yake isitoke nje kwa vicheche ucjali.
 
mtoa mada asubuhi asubhi unatafuta nini kwa rafikiako!? huna kwako!?
 
Ngoja Waislam waje watatusaidia

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Weka picha ya huo uchawi tukusaidie.....je huyo demu ni Mchagga au Mpare?
 
Wema Sepetu alimfanyia Diamond hii pia baada ya kuachwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…