Uchaguzi 2020 Amemaliza Chuo hana kazi mwaka wa 4 anaishi Tosamaganga anasema anaipenda CCM kwa sababu imejenga Flyover Ubungo Dar

Uchaguzi 2020 Amemaliza Chuo hana kazi mwaka wa 4 anaishi Tosamaganga anasema anaipenda CCM kwa sababu imejenga Flyover Ubungo Dar

Njooni muone haya maajabu ya dunia jamaa amemaliza chuo Jordan morogoro Hana kazi anaishi kwao tosamaganga eti anaisifu CCM kwasababu imejenga fyover ubungo.

Huyu Mimi nimemuona ni mgonjwa wa akili ila pia viatu vyake viwili vimelika upande mmoja Sana na anaonyesha ana exposure fupi Kama penseli.

Hawa ndio wanaotegemewa na CCM plus wale wababu na wabibi wanaovaa kofia Flana na kitambaa cha kichwani.

Tusisahau ofisi nyingi za CCM Zina vilabu vya pombe za kienyeji Kama sehemu ya mapato ya chama.
Nimekusoma mkuu 'Superbug'.

Usimlaumu huyu. Ni ujinga ndio unaomsumbua, pamoja na kwamba kafika chuo. Elimu yetu siku hizi haifuti ujinga.

Kwanza maprofesa wenyewe, si ndio kama hao wa 'Jalalani"? utategemea wawatoe ujinga wanaowafundisha? Sana sana ni kuwazidishia ujinga.
 
Njooni muone haya maajabu ya dunia jamaa amemaliza chuo Jordan morogoro Hana kazi anaishi kwao tosamaganga eti anaisifu CCM kwasababu imejenga fyover ubungo.

Huyu Mimi nimemuona ni mgonjwa wa akili ila pia viatu vyake viwili vimelika upande mmoja Sana na anaonyesha ana exposure fupi Kama penseli.

Hawa ndio wanaotegemewa na CCM plus wale wababu na wabibi wanaovaa kofia Flana na kitambaa cha kichwani.

Tusisahau ofisi nyingi za CCM Zina vilabu vya pombe za kienyeji Kama sehemu ya mapato ya chama.
Tatizo liko wapi wewe uliyefunga uzi ndio kituko zaidi!
 
Njooni muone haya maajabu ya dunia jamaa amemaliza chuo Jordan morogoro Hana kazi anaishi kwao tosamaganga eti anaisifu CCM kwasababu imejenga fyover ubungo.

Huyu Mimi nimemuona ni mgonjwa wa akili ila pia viatu vyake viwili vimelika upande mmoja Sana na anaonyesha ana exposure fupi Kama penseli.

Hawa ndio wanaotegemewa na CCM plus wale wababu na wabibi wanaovaa kofia Flana na kitambaa cha kichwani.

Tusisahau ofisi nyingi za CCM Zina vilabu vya pombe za kienyeji Kama sehemu ya mapato ya chama.
Sawa inabidi maendeleo ya nchi yasimame kwanza ili kila mtu apate kazi kwanza. Akili za ufipa bwana.
Hao wabunge wengi wenu wana kazi mbona ndio wanaongoza kupinga. Au hawana exposure ya maendeleo?
 
Hao ndo wasomi wetu, waliofundishwa na Lipumba na mzee wa jalalalni, unategemea wapate wapi akili
 
Kuisifu CCM ndio uzalendo?
We jamaa unajidharirisha sana na hupati hata uDC unatumika kama toilet paper tu.
Walikuwagapo akina Lizabon, walisifia lakini kila uteyuzi ukitoka hawamo, wakija vijana wahamiaji kutoka upinzani wanakula shavu. Jamaa akamua ku-mute mpaka leo sijamsikia! YEHODAYA mwenyewe imebidi akubali kupapaswa kalio tu
 
Njooni muone haya maajabu ya dunia jamaa amemaliza chuo Jordan morogoro Hana kazi anaishi kwao tosamaganga eti anaisifu CCM kwasababu imejenga fyover ubungo.

Huyu Mimi nimemuona ni mgonjwa wa akili ila pia viatu vyake viwili vimelika upande mmoja Sana na anaonyesha ana exposure fupi Kama penseli.

Hawa ndio wanaotegemewa na CCM plus wale wababu na wabibi wanaovaa kofia Flana na kitambaa cha kichwani.

Tusisahau ofisi nyingi za CCM Zina vilabu vya pombe za kienyeji Kama sehemu ya mapato ya chama.
Du jamaaa anaabisha Chuo nilichosoma....Du kweli...noma sana 🤩🤩🤨🤨🤨
 
Njooni muone haya maajabu ya dunia jamaa amemaliza chuo Jordan morogoro Hana kazi anaishi kwao tosamaganga eti anaisifu CCM kwasababu imejenga fyover ubungo.

Huyu Mimi nimemuona ni mgonjwa wa akili ila pia viatu vyake viwili vimelika upande mmoja Sana na anaonyesha ana exposure fupi Kama penseli.

Hawa ndio wanaotegemewa na CCM plus wale wababu na wabibi wanaovaa kofia Flana na kitambaa cha kichwani.

Tusisahau ofisi nyingi za CCM Zina vilabu vya pombe za kienyeji Kama sehemu ya mapato ya chama.
Nakushangaa wewe usiyejua faida ya Ubungo flyover kwa mtu anaye kaa Tosamaganga, Karagwe, kakonko, Kishumundu n. k.
Hiyo flyover itakuwa na faida kwa hata mtu wa Moyale Kenya! Hiyo hiyo flyover hata kwa wazungu ulaya na waasia wanaotegemea mazao yetu.
 
Sisi ambao tuko kwenye mfumo wa malipo ya serikali tunaona kuna udhaifu huyu jobless hawezi kuona weaknesses kwakuwa hana anachokifanya.
 
Njooni muone haya maajabu ya dunia jamaa amemaliza chuo Jordan morogoro Hana kazi anaishi kwao tosamaganga eti anaisifu CCM kwasababu imejenga fyover ubungo.

Huyu Mimi nimemuona ni mgonjwa wa akili ila pia viatu vyake viwili vimelika upande mmoja Sana na anaonyesha ana exposure fupi Kama penseli.

Hawa ndio wanaotegemewa na CCM plus wale wababu na wabibi wanaovaa kofia Flana na kitambaa cha kichwani.

Tusisahau ofisi nyingi za CCM Zina vilabu vya pombe za kienyeji Kama sehemu ya mapato ya chama.
kila kijana yupo CCM kwa unafiki tu
 
Si ajabu hana kazi, kama ana elimu ya chuo anashindwa kujua kuwa ni msaada kutoka kwa watu wa Japan basi acha tu aendelee kuwa mtaani.
Wajinga kama hao wapo wengi sana sikuizi
 
Mkuu,

Unataka kufikisha ujumbe gani kwa hadhira?

Mantiki yako ni ipi hasa?

Kwamba kwa Maajabu yaliyofanywa na Awamu
ya Tano kuna msomi ana mahaba na Chama Cha
Mapinduzi?!

Kwamba CCM ni wanauza pombe kama chanzo chao cha Mapato?!

Mkuu,

Naomba nikupe darasa kidogo( elimu hii huilipii, Nakupa bure)

Chama Cha Mapinduzi kinaundwa na nguzo Nne.

1)CCM ina Wanachama
2)CCM ina Wakereketwa
3)CCM ina Washabiki
4)CCM ina Wapenzi

Hivyo usishangae kumwona mtu msomi anaisifia CCM kwenye kadamnasi, au kuvaa hizo CCM Gear ( kofia na skafu) Ni dhahiri kabisa yuko Kwenye kundi moja wapo hapo juu.

CCM wana maeneo ambayo wanayapangisha kwa raia, ukishapanga kwenye eneo la CCM na ukamalizana nao, CCM hawakuchagulii Biashara gani ya kufanya mahali hapo, uko huru kufanya biashara yeyote uitakayo wewe mhuska.

Mkuu, Inaonekana ni mfwatiliaji mzuri sana wa mambo yanayofanyika kwenye maeneo ya CCM Nchini, kwa mantiki hiyo ndiyo maana maeneo mengi ya CCM kuna pub na majiko ya kitimoto siyo kwamba ndiyo mapato ya CHAMA. USIPOTOSHE!

Naamini hapo ulipo unaikubali CCM kiana( in Chidi BenzVoice)


Shukrani sana
umesahau na ina misukule
 
Back
Top Bottom