Amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni, ameanza kuchanganyikiwa, kumbe anavuta bangi

Amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni, ameanza kuchanganyikiwa, kumbe anavuta bangi

Hyrax

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2023
Posts
964
Reaction score
2,675
Waswahili wanasema kuzaa sio kupata kweli nimeamini.

Kuna binti wa ndugu yangu mmoja huko Kilimanjaro mtoto wake wa kike amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni ila kwa bahati mbaya akiwa anafutilia mambo yake ya kazi akapatwa na hali ya kuchanganyikiwa ghafla maana hakuwa anapatikana kwenye simu karibu siku tatu sasa mjomba mtu kwakuwa nina gari nikatumwa kwenda kumtazama kama yupo sawa huko alikopanga.

Yaani niliyoyakuta hapo kwenye nyumba anapoishi kwa huyo mtoto wa kike nilishangaa sana, kuna mizinga ya pombe kali imetapakaa kwenye masofa amelewa sana na mezani kuna vipisi vingi vya marijuana amejikojolea hajitambui ikabidi mjomba mtu kwakuwa nina mwili mkubwa nikambeba kama alivyo na kumuwahisha hospitali wameanza kumpa medication ila daktari naona anashauri aende sober akitoka hapa.

Mama mtu nampa taarifa amechanganyikiwa anajiuliza inawezekanaje mtoto wa kike kuvuta bangi na ikiwa tayari amesomea udaktari tena kwa level ya juu sana na amefaulu vizuri, hii inaweza kuwa ni mapepo au msongo wa mawazo?

Msaada ili tumshauri mama yake
 
Ndio maana kila siku huwa nasemaga MSIWE mnajistress kusomesha watoto wenu kwenye shule za English Mediums. Fate is everything. Haya sasa twende kazi kimbia haraka sana katoe watoto wako kwenye shule ya English Medium warudishe Kayumba.

Thank me later

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Waswahili wanasema kuzaa sio kupata kweli nimeamini,
Kuna binti wa ndugu yangu mmoja huko kilimanjaro mtoto wake wa kike amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni ila kwa bahati mbaya akiwa anafutilia mambo yake ya kazi akapatwa na hali ya kuchanganyikiwa ghafla maana hakuwa anapatikana kwenye simu karibu siku tatu sasa mjomba mtu kwakuwa nina gari nikatumwa kwenda kumtazama kama yupo sawa huko alikopanga.

yaani niliyoyakuta hapo kwenye nyumba anapoishi kwa huyo mtoto wa kike nilishangaa sana, kuna mizinga ya pombe kali imetapakaa kwenye masofa amelewa sana na mezani kuna vipisi vingi vya marijuana amejikojolea hajitambui ikabidi mjomba mtu kwakuwa nina mwili mkubwa nikambeba kama alivyo na kumuwahisha hospitali wameanza kumpa medication ila dr naona anashauri aende sober akitoka hapa.

mama mtu nampa taarifa amechanganyikiwa anajiuliza inawezekanaje mtoto wa kike kuvuta bangi na ikiwa tayari amesomea udaktari tena kwa level ya juu sana na amefaulu vizuri, hii inaweza kuwa ni mapepo au msongo wa mawazo? msaada ili tumshauri mama yake
Ile bangi ndio imesaidia kupata u DK mkuu

Yale masomo yaoi bila bangi humalizii ndio maana wengine wanakunywa spirit kwenye somo la ....upasuaji WA bndamu
 
Waswahili wanasema kuzaa sio kupata kweli nimeamini,
Kuna binti wa ndugu yangu mmoja huko kilimanjaro mtoto wake wa kike amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni ila kwa bahati mbaya akiwa anafutilia mambo yake ya kazi akapatwa na hali ya kuchanganyikiwa ghafla maana hakuwa anapatikana kwenye simu karibu siku tatu sasa mjomba mtu kwakuwa nina gari nikatumwa kwenda kumtazama kama yupo sawa huko alikopanga.

yaani niliyoyakuta hapo kwenye nyumba anapoishi kwa huyo mtoto wa kike nilishangaa sana, kuna mizinga ya pombe kali imetapakaa kwenye masofa amelewa sana na mezani kuna vipisi vingi vya marijuana amejikojolea hajitambui ikabidi mjomba mtu kwakuwa nina mwili mkubwa nikambeba kama alivyo na kumuwahisha hospitali wameanza kumpa medication ila dr naona anashauri aende sober akitoka hapa.

mama mtu nampa taarifa amechanganyikiwa anajiuliza inawezekanaje mtoto wa kike kuvuta bangi na ikiwa tayari amesomea udaktari tena kwa level ya juu sana na amefaulu vizuri, hii inaweza kuwa ni mapepo au msongo wa mawazo? msaada ili tumshauri mama yake
Kwa kuwa uncle mwenye gari.
Kwa kuwa una mwili mkubwa, ila Masters sio elimu kubwa sana mama ana exaggerate.

Ila nahisi binti ana msongo wa mawazo ,kozi za afya ngumu, unasoma muda mrefu na ghalama ni nyingi ila akija tazama return ni ndogo na usikute hata ajira hakupata.

Msaidieni avuke hapo, bangi sio mbaya, bangi ina maximize kilichopo ndani.

Ni sawa ukiona mlevi anatukana na kulalamika una muonea usiseme pombe hizo, anaongea kilichomo ndani.
 
Wivu tu, naona kafanyiziwa. Kuna jamaa alifuzu kuwa mwanasheria, siku ya kwa nza ya kuripoti kituo cha kazi, alichukuwa breafcafe yake na kuingia mgombani kwenda kujaza breafcafe yake kahawa. Anazunguka shambani akivuna kahawa moja moja, mpaka jioni anarudi nyumbani na breafcafe iliyojaa kahawa. Sasa amechanganyikiwa, ni mwendo wa bangi tu. Binadamu sio wema.
 
Familia ikae nae kwa utulivu na kumthibitishia kuwa mnamjali na kumpenda kwa hali yeyote ile. Asikaripiwe au kukemewa. Wala asipelekwe kwenye maombi au huko sober maana kutamdhihirishia kuwa yeye ni failure. Huyo sio addict bali kuna kitu kilimfikisha hapo mahali. Sio kosa lake.

Amandla...
 
Bangi haitakiwi uchanganye na pombe...Kama mmea piga mmea pekee..

Usichanganye mmea + pombe yaani hutoboi Kama pombe drinking responsible..kunywa kwa KIASI kipimo chako yaan unatakiwa ujue alcohol persistence yako na uishi humo..

Aisome min -me
Ila mara nyingi naonaga watu wa bangi wengi wao sio wanywaji wa pombe kivile, sijui kwa nini?
 
Ila mara nyingi naonaga watu wa bangi wengi wao sio wanywaji wa pombe kivile, sijui kwa nini?
Kuna jamaa mvuta mmea..yaan akinywa bia mbili Zina mvuruga akili kabisa yaan anakua wa kuvushwa barabara,anaweza kukojoa sebureni , anaweza akataka kupitia ukutani yaani ni vituko vituko...

Bangi haitakiwi uchanganye na pombe case study nyingi inaonyesha wengi HUVURUGUKIWA MAONO.
 
Bangi haitakiwi uchanganye na pombe...Kama mmea piga mmea pekee..

Usichanganye mmea + pombe yaani hutoboi.
Kama pombe drinking responsible..kunywa kwa KIASI kipimo chako yaan unatakiwa ujue alcohol persistence yako na uishi humo..

Aisome min -me
ALCOHOL PERSISTENCE.au
ALCOHOL RESISTANCE.
In that case inabidi uulize kama baba au mama ni walevi kwa sababu hiyo inapunguza ALCOHOL RESISTANCE ya mtoto.
 
Bangi haitakiwi uchanganye na pombe...Kama mmea piga mmea pekee..

Usichanganye mmea + pombe yaani hutoboi.
Kama pombe drinking responsible..kunywa kwa KIASI kipimo chako yaan unatakiwa ujue alcohol persistence yako na uishi humo..

Aisome min -me
Hili ndilo kosa lake huyu dk
Inaonekana alivyofaulu kwa HESHIMA ya mmea
Akaanza kudharau nakuchanganya na kilevi weweeee utaenda na mwendokasi peponi
 
Ndio maana kila siku huwa nasemaga MSIWE mnajistress kusomesha watoto wenu kwenye shule za English Mediums. Fate is everything. Hata sasa twende kazi kimbia haraka sana watoto wako kwenye shule ya English Medium warudishe Kayumba.

Thank me later

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Hakuna English Medium inayotoa Master's ya udaktari. Soma mada uelewe.

Au unachotaka kumaanisha ni mtu aliyepata Master's ya udaktari hawezi kuwa kasoma shule za serikali, kwamba uwezo huo hazina zinatoa mabodaboda tu.
 
Back
Top Bottom