Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sigara bwege inaongeza akili ssnaWaswahili wanasema kuzaa sio kupata kweli nimeamini,
Kuna binti wa ndugu yangu mmoja huko kilimanjaro mtoto wake wa kike amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni ila kwa bahati mbaya akiwa anafutilia mambo yake ya kazi akapatwa na hali ya kuchanganyikiwa ghafla maana hakuwa anapatikana kwenye simu karibu siku tatu sasa mjomba mtu kwakuwa nina gari nikatumwa kwenda kumtazama kama yupo sawa huko alikopanga.
yaani niliyoyakuta hapo kwenye nyumba anapoishi kwa huyo mtoto wa kike nilishangaa sana, kuna mizinga ya pombe kali imetapakaa kwenye masofa amelewa sana na mezani kuna vipisi vingi vya marijuana amejikojolea hajitambui ikabidi mjomba mtu kwakuwa nina mwili mkubwa nikambeba kama alivyo na kumuwahisha hospitali wameanza kumpa medication ila dr naona anashauri aende sober akitoka hapa.
mama mtu nampa taarifa amechanganyikiwa anajiuliza inawezekanaje mtoto wa kike kuvuta bangi na ikiwa tayari amesomea udaktari tena kwa level ya juu sana na amefaulu vizuri, hii inaweza kuwa ni mapepo au msongo wa mawazo? msaada ili tumshauri mama yake
Inawezekana akawa na severe depression.Waswahili wanasema kuzaa sio kupata kweli nimeamini,
Kuna binti wa ndugu yangu mmoja huko kilimanjaro mtoto wake wa kike amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni ila kwa bahati mbaya akiwa anafutilia mambo yake ya kazi akapatwa na hali ya kuchanganyikiwa ghafla maana hakuwa anapatikana kwenye simu karibu siku tatu sasa mjomba mtu kwakuwa nina gari nikatumwa kwenda kumtazama kama yupo sawa huko alikopanga.
yaani niliyoyakuta hapo kwenye nyumba anapoishi kwa huyo mtoto wa kike nilishangaa sana, kuna mizinga ya pombe kali imetapakaa kwenye masofa amelewa sana na mezani kuna vipisi vingi vya marijuana amejikojolea hajitambui ikabidi mjomba mtu kwakuwa nina mwili mkubwa nikambeba kama alivyo na kumuwahisha hospitali wameanza kumpa medication ila dr naona anashauri aende sober akitoka hapa.
mama mtu nampa taarifa amechanganyikiwa anajiuliza inawezekanaje mtoto wa kike kuvuta bangi na ikiwa tayari amesomea udaktari tena kwa level ya juu sana na amefaulu vizuri, hii inaweza kuwa ni mapepo au msongo wa mawazo? msaada ili tumshauri mama yake
Meku Sema mara nyingi naonaga sisi watu wa bangi wengi sio wanywaji wa pombe kivile🤣😂Ila mara nyingi naonaga watu wa bangi wengi wao sio wanywaji wa pombe kivile, sijui kwa nini?
Acha kupoteza muda kamata simu yaks haraka saana majibu yooote utayapata humo nimemaliza full stop and long break.Waswahili wanasema kuzaa sio kupata kweli nimeamini,
Kuna binti wa ndugu yangu mmoja huko kilimanjaro mtoto wake wa kike amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni ila kwa bahati mbaya akiwa anafutilia mambo yake ya kazi akapatwa na hali ya kuchanganyikiwa ghafla maana hakuwa anapatikana kwenye simu karibu siku tatu sasa mjomba mtu kwakuwa nina gari nikatumwa kwenda kumtazama kama yupo sawa huko alikopanga.
yaani niliyoyakuta hapo kwenye nyumba anapoishi kwa huyo mtoto wa kike nilishangaa sana, kuna mizinga ya pombe kali imetapakaa kwenye masofa amelewa sana na mezani kuna vipisi vingi vya marijuana amejikojolea hajitambui ikabidi mjomba mtu kwakuwa nina mwili mkubwa nikambeba kama alivyo na kumuwahisha hospitali wameanza kumpa medication ila dr naona anashauri aende sober akitoka hapa.
mama mtu nampa taarifa amechanganyikiwa anajiuliza inawezekanaje mtoto wa kike kuvuta bangi na ikiwa tayari amesomea udaktari tena kwa level ya juu sana na amefaulu vizuri, hii inaweza kuwa ni mapepo au msongo wa mawazo? msaada ili tumshauri mama yake
Hakuna English Medium inayotoa Master's ya udaktari. Soma mada uelewe.
Au unachotaka kumaanisha ni mtu aliyepata Master's ya udaktari hawezi kuwa kasoma shule za serikali, kwamba uwezo huo hazina zinatoa mabodaboda tu.
this is too much natafakari nashindwa kuelewa, ni mapenzi? amepata HIV? ameua mtu bila kukusudia? ni mapepo ?
Hahaha hata harufu ya bangi sijui ipoje meku😁😁😁Meku Sema mara nyingi naonaga sisi watu wa bangi wengi sio wanywaji wa pombe kivile🤣😂
umuulize na mbege ina_alcohol ngapi?Bangi haitakiwi uchanganye na pombe...Kama mmea piga mmea pekee..
Usichanganye mmea + pombe yaani hutoboi.
Kama pombe drinking responsible..kunywa kwa KIASI kipimo chako yaan unatakiwa ujue alcohol persistence yako na uishi humo..
Aisome min -me
Soon na wewe utachanganyikiwa na kuanza kuvuta mibange,umasikini wako kaa nao kwakoNdio maana kila siku huwa nasemaga MSIWE mnajistress kusomesha watoto wenu kwenye shule za English Mediums. Fate is everything. Haya sasa twende kazi kimbia haraka sana katoe watoto wako kwenye shule ya English Medium warudishe Kayumba.
Thank me later
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Kumbe 😁😁Kuna jamaa mvuta mmea..yaan akinywa bia mbili Zina mvuruga akili kabisa yaan anakua wa kuvushwa barabara,anaweza kukojoa sebureni , anaweza akataka kupitia ukutani yaani ni vituko vituko...
Bangi haitakiwi uchanganye na pombe case study nyingi inaonyesha wengi HUVURUGUKIWA MAONO.
1 mkuu😁😁umuulize na mbege ina_alcohol ngapi?
🤣🤣 kwahio inabidi unywe pipa moja ndo kichwa ikae biyee1 mkuu😁😁
Ukiichanganya na pombe kali kidogo tu mziki wake sio mchezo😁😁🤣🤣 kwahio inabidi unywe pipa moja ndo kichwa ikae biyee
Hahahaha poa mangiUkiichanganya na pombe kali kidogo tu mziki wake sio mchezo😁😁