Amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni, ameanza kuchanganyikiwa, kumbe anavuta bangi

Amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni, ameanza kuchanganyikiwa, kumbe anavuta bangi

Nyinyi mmedanganywa Sana Bangi mmekatazwa na kutishwa mnaamini...

Bangi ina fungua lock 🔐 nyingi kwenye ubongo 🧠 na unakua na uwezo mkubwa wa kutenda/ uelewa / utendaji kazi wa mwili na akili.

Mataifa makubwa yaliyo fanikiwaa na yenye ukwasinie. Marekani wamehalalisha kitambo na ndio maana ni super power...ubongo wa binadamu una uwezo mkubwa Sanaa...Ila kwa uzembe uzembe wa sisi waafrika/ mtu mweusi tumepotoshwa kuhusu bange inasemekana hata hayati JPM alikuaga anavuta alipo kuaga mwalimu sengerema secondary
Nakubaliana na wewe mkuu .....
Nlikuaga natumia that time nlvokua chuo......kiukwel nkawa ad nashangaa uwezo wa ubongo wangu......
 
Niliweka mfano mmoja mrahisi ili iwe vyepesi kuelewa..watu wengi makini uwajuao Wana vuta na haina madhara kuliko pombe sema serikali nyingi zinakataza bange sababu watu wata amka usingizi
Bangi ni nzurii tu ikitumika bila kui abuse..tatizo lina anzia pale unapo kua dependence kwenye uraibu wowote...

Si hamasishi uvutaji Bangi...Ila Bangi INAUWEZO WA KUMUAMSHA YULE MTU WAKO WA NDANI.
Asiyewah kutumia awez kukuelewa mkuu
 
Kulipia mamilioni kwenye shule as English Mediums ni kutumia hela au kumpa mmiliki wa shule aitumie na watoto wake
Mi nimesomesha watoto wawili na ninayaona matunda yake na kiukweli kwenye elimu ya watoto ndio kipaumbele chngu cha kwanza. Sio habar ya kiingereza ni exposure bro. Kujua how things work. Ada mi nimelipa ml 20 watoto wawili nilikua napitia moto lakin leo hii yule mkubwa ndio anasimamia shughuli zangu mdogo ndio anamaliza shule huko nje na yeye akija namuunganisha, huwez kuamini naweza kukaa nje ya nchi hata miez mitatu jamaa kila kitu kinaenda kwenye mstari na jamaa anakuja na program mpya nikijiangalia na cjutii aisee. Watoto wasome tena komaa kweli kweli wasome . Ila usimsomeshe mtoto aje kuajiriwa au kuteuliwa muandae mtoto awe tayari katika ulimwengu huu wa software kutoka headway.
 
Waswahili wanasema kuzaa sio kupata kweli nimeamini.

Kuna binti wa ndugu yangu mmoja huko Kilimanjaro mtoto wake wa kike amemaliza masters ya udaktari hivi karibuni ila kwa bahati mbaya akiwa anafutilia mambo yake ya kazi akapatwa na hali ya kuchanganyikiwa ghafla maana hakuwa anapatikana kwenye simu karibu siku tatu sasa mjomba mtu kwakuwa nina gari nikatumwa kwenda kumtazama kama yupo sawa huko alikopanga.

Yaani niliyoyakuta hapo kwenye nyumba anapoishi kwa huyo mtoto wa kike nilishangaa sana, kuna mizinga ya pombe kali imetapakaa kwenye masofa amelewa sana na mezani kuna vipisi vingi vya marijuana amejikojolea hajitambui ikabidi mjomba mtu kwakuwa nina mwili mkubwa nikambeba kama alivyo na kumuwahisha hospitali wameanza kumpa medication ila daktari naona anashauri aende sober akitoka hapa.

Mama mtu nampa taarifa amechanganyikiwa anajiuliza inawezekanaje mtoto wa kike kuvuta bangi na ikiwa tayari amesomea udaktari tena kwa level ya juu sana na amefaulu vizuri, hii inaweza kuwa ni mapepo au msongo wa mawazo?

Msaada ili tumshauri mama yake
Master ya udaktari MMED?
Kabla ya master alikua na ajira?
Aliwezaje kusoma akiwa mraibu?

Kama ndio,inawezekana mtu yeyote kuwa mraibu wa madawa ya kulevya,......hasa vijana walio hatarini ni wale wanaojaribh kuishi maisha ya usasa(UFALA),.......kutumia vilevi,kwenda na trend ya nywele,nguo,simu,mapenzi.
Hizi zote ni risk factors za magonjwa ya akilii.
Elimu ya Bure
Alcohol:Ni drug ya abuse inayoongoza kwa kusababisha liver diseases,dementia,cognitive deffects,memory loss
Cannabis😛sychosis hapa ndio kwake
Heroin:Adult manutrition,motor defects,mind impairment
So ukianza ulimbukeni wa kuiga choose wisely
 
Ile bangi ndio imesaidia kupata u DK mkuu

Yale masomo yaoi bila bangi humalizii ndio maana wengine wanakunywa spirit kwenye somo la ....upasuaji WA bndamu
Hivi ndivo wajinga wengi wanavochangia kushawishi watu kuingia kwenye drugs of abuse......hii sio sawa,
 
Nyinyi mmedanganywa Sana Bangi mmekatazwa na kutishwa mnaamini...

Bangi ina fungua lock 🔐 nyingi kwenye ubongo 🧠 na unakua na uwezo mkubwa wa kutenda/ uelewa / utendaji kazi wa mwili na akili.

Mataifa makubwa yaliyo fanikiwaa na yenye ukwasinie. Marekani wamehalalisha kitambo na ndio maana ni super power...ubongo wa binadamu una uwezo mkubwa Sanaa...Ila kwa uzembe uzembe wa sisi waafrika/ mtu mweusi tumepotoshwa kuhusu bange inasemekana hata hayati JPM alikuaga anavuta alipo kuaga mwalimu sengerema secondary
Hata Uhuru kenyatta alikuwa anapiga mpepe na yupo madarakan. Kama kichwa chako kimetulia na upo smart, mpepe hauna madhara yoyote. Labda uwe bendera fwata upepo hapo ndo utawehuka.
 
Ndio maana kila siku huwa nasemaga MSIWE mnajistress kusomesha watoto wenu kwenye shule za English Mediums. Fate is everything. Haya sasa twende kazi kimbia haraka sana katoe watoto wako kwenye shule ya English Medium warudishe Kayumba.

Thank me later

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
You must be kidding.
 
Hata Uhuru kenyatta alikuwa anapiga mpepe na yupo madarakan. Kama kichwa chako kimetulia na upo smart, mpepe hauna madhara yoyote. Labda uwe bendera fwata upepo hapo ndo utawehuka.
Ni kweli mkuu Asante Sana kwa kujazia mifano ya karibu karibu hapa east Africa.
 
Nyinyi mmedanganywa Sana Bangi mmekatazwa na kutishwa mnaamini...

Bangi ina fungua lock 🔐 nyingi kwenye ubongo 🧠 na unakua na uwezo mkubwa wa kutenda/ uelewa / utendaji kazi wa mwili na akili.

Mataifa makubwa yaliyo fanikiwaa na yenye ukwasinie. Marekani wamehalalisha kitambo na ndio maana ni super power...ubongo wa binadamu una uwezo mkubwa Sanaa...Ila kwa uzembe uzembe wa sisi waafrika/ mtu mweusi tumepotoshwa kuhusu bange inasemekana hata hayati JPM alikuaga anavuta alipo kuaga mwalimu sengerema secondary
Kuna hii combination ya bhangi+punyeto+spirit alcohol =💥
 
Niliweka mfano mmoja mrahisi ili iwe vyepesi kuelewa..watu wengi makini uwajuao Wana vuta na haina madhara kuliko pombe sema serikali nyingi zinakataza bange sababu watu wata amka usingizi
Bangi ni nzurii tu ikitumika bila kui abuse..tatizo lina anzia pale unapo kua dependence kwenye uraibu wowote...

Si hamasishi uvutaji Bangi...Ila Bangi INAUWEZO WA KUMUAMSHA YULE MTU WAKO WA NDANI.
Wewe ni mmbabaishaji.
 
Ndio maana kila siku huwa nasemaga MSIWE mnajistress kusomesha watoto wenu kwenye shule za English Mediums. Fate is everything. Haya sasa twende kazi kimbia haraka sana katoe watoto wako kwenye shule ya English Medium warudishe Kayumba.

Thank me later

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
We fala sana
 
Marekani wamehalalisha kitambo na ndio maana ni super power


Mwanajf, kuhalalishwa bangi Marekani ni katika level ya kimajimbo sio under federal law. Na ni baadhi ya majimbo. Na katika hayo majimbo, jimbo la kwanza ni California mwaka 1996, US ishakuwa Superpower miaka mingi.

Washakuwa superpower ndio wanahalalisha mambo haya. Hiyo ni dalili ya ku decline na sio kukua.

Ni kama wale wanaosema mbona Marekani imehalalisha ushoga na imeendelea, yaani anamaanisha ushoga na "woke culture" ndio imeifikisha Marekani pale, anasahau au hajui mambo hayo Marekani yameanza kuhalalishwa ikiwa tayari ni Superpower. Na yanaiangusha jamii, yanaiangusha familia. Hivyo ni dalili ya ku decline, sio kukua.
 
Back
Top Bottom