Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro acha kujjifanya unafikiri sana kwenye vitu usivyovijua, we jadili lililopo au pita kushoto.Yaani mtu hamjuani aanze tu kukusimulia habari za kutia mimba mwanafunzi...[emoji2955][emoji2955]
Bro acha kujjifanya unafikiri sana kwenye vitu usivyovijua, we jadili lililopo au pita kushoto.
Yatoke wapi na godoro yapo machache wanatumia watesi na nyampara kama ulimi yaani ni kama unalala chini tuHivi jela hamna mashuka buloo
Kuna wasamalia wema mule wanaweza kukupatia wako kind sana hata kazi ngumu wanakusaidiaHivi jela hamna mashuka buloo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna wasamalia wema mule wanaweza kukupatia wako kind sana hata kazi ngumu wanakusaidia
Na haki ya kudai godoro vipi haipo?Yatoke wapi na godoro yapo machache wanatumia watesi na nyampara kama ulimi yaani ni kama unalala chini tu
Yaani mtu hamjuani aanze tu kukusimulia habari za kutia mimba mwanafunzi...[emoji2955][emoji2955]
Wajelajela watakucheka sana watakwambia umeskia hapa ni nyumbaniNa haki ya kudai godoro vipi haipo?