Amempa mimba mwanafunzi, akamnunulia dawa za kutoa-hakuzitumia. Sasa anaomba ushauri!

Amempa mimba mwanafunzi, akamnunulia dawa za kutoa-hakuzitumia. Sasa anaomba ushauri!

Yaani mtu hamjuani aanze tu kukusimulia habari za kutia mimba mwanafunzi...[emoji2955][emoji2955]
Bro acha kujjifanya unafikiri sana kwenye vitu usivyovijua, we jadili lililopo au pita kushoto.
 
SASA NA TUWE NA UTAMADUNI WA KUWAJIBIKA KWA MATENDO YETU.
WAKATI WA KUTEMBEA NAYE HUKUJUA KAMA ANA NJIA NYINGI, BAADA YA MIMBA NDIO SASA UNATAMBUA.
KITENDO CHA KUKUPELEKA POLISI NI ISHARA TOSHA MIMBA SIO YAKO NA UNAGEUZWA KUWA KITEGAUCHUMI.
 
Kimbia fasta, ukianguka inuka vumilia toka nduki we kimbia
 
Mda wa kupiga simu na kukuhadithia anautoa wapi

Kipindi anaambiwa sizioni siku zangu angetakiwa kashadandia fuso
 
😂😂😂 Viuno vingiii
Kapigwa chini kavimba juu.
Nyie mimba inakaa isipo ingilia😁😁
 
Sepa mzebaba, yani mtu kakupeleka polisi bado tu upo hapo mtaana na unawasiliana nae.
 
Solution angeanza kukimbia, hata hizo faini analipa police ni kwa vile wameona kuna ulaji unawapa, ukikosa pesa ndio utawajua vizuri watavyokugeuka.

Maisha haya ya kibongo ukiifikiria miaka 30 aisee, kama ni wewe umetumia mfano wa jamaa, kimbia chief.
 
Toa line tupaa mbalii nenda kwa ndugu yakoo kigomaa hukooo wakiulizwa wajibu hawajuii ulipoo
 
Na haki ya kudai godoro vipi haipo?
Wajelajela watakucheka sana watakwambia umeskia hapa ni nyumbani

Ila wapo wafungwa wenzako watakao kuonea huruma watakao jitokeza kukuonyesha wanajali na kujaribu kukupa ya kwao ulalie wao wakikubali kulala chini
 
Back
Top Bottom