Habari wakuu, polen na mihangaiko ya hapa na pale..
Naombeni msaada juu ya hili ninaloliona mbele yangu...
Iko hv nin mpenz wangu ambaye yeye yuko kwao na mimi pia niko kwetu il nin ka, yangu ya maana ninafanya..
Mara ya mwsho nilisex na huyu bidada kama last 2 weeks na alisema kwamba alikuwa safe hiyo siku..but sikutaka matatzo nilitaka tumia kinga.. Nilisex naye kwa kinga mzunguko wa kwanza...then after ejacul*ting tuka stop tukakaa kama almost 10 mins then tukaenda mzunguko wa pili. Mzunguko wa pili sikutumia kinga ila nili ejaculate njee..sikumw*gia ndani...ila chaajabu leo naambiwa siku hazionekani....naona akili yangu kama haijakaa sawa...
Msaada juu ya hilo wakuu...
Kinacho niumiza kichwa na ninachoshindwa kuelewa ni kwamba kinga nilitumia, na awamu ya pili nilitilea njee...sasa dalili za mimb zinakujaje hapoo??