Amenichumbia lakini hataki Ndoa

Amenichumbia lakini hataki Ndoa

Huenda Hofu Yako Ikawa Ni Muhimu Kuliko Ushauri Unaopewa Hapa. Jitahidi Ujiridhishe Iwapo Labda Alishaoa Kabla Yako Wewe Ama Vp Ingawa Mpaka Hapo
UMEUPIGA Mwingi
Nawezaje kujua kama anandoa teyari???
 
Tunaishi kwa amani na upendo kwakweli anajali hatukosi mahitaji ila niko insecure
Mimi naona wewe na familia yako inabidi mjaribu kumuelewa jamaa nini kinachomfanya acheleweshe harusi.

Kaa nae chini kwa utulivu kabisa muulize vipaumbele vyake katika maisha yake, na katika hivyo vipaumbele harusi ni kipaumbele cha ngapi?

Itakua rahisi kuwaelezea hata familia yako kwamba jamaa kasema ana moja mbili tatu anataka atimize halafu ndo mtafunga ndoa.

Mwambie "baby mi sikulazimishi tufunge ndoa mapema, ila nataka tu kujua vitu gani unataka kuvitimiza ndo moyo wako utaridhia kufanya harusi, angalau hata nyumbani nikiulizwa niweze kuwajibu kitu cha maana."

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Mimi naona wewe na familia yako inabidi mjaribu kumuelewa jamaa nini kinachomfanya acheleweshe harusi.

Kaa nae chini kwa utulivu kabisa muulize vipaumbele vyake katika maisha yake, na katika hivyo vipaumbele harusi ni kipaumbele cha ngapi?

Itakua rahisi kuwaelezea hata familia yako kwamba jamaa kasema ana moja mbili tatu anataka atimize halafu ndo mtafunga ndoa.

Mwambie "baby mi sikulazimishi tufunge ndoa mapema, ila nataka tu kujua vitu gani unataka kuvitimiza ndo moyo wako utaridhia kufanya harusi, angalau hata nyumbani nikiulizwa niweze kuwajibu kitu cha maana."

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
nimekuelewa mkuu
 
Mbona watu wengi wameoa na kuolewa kwa style kama yako? Wewe acha kumpa jamaa pressure za ndoa na hapa wengi hutaka harusi (sherehe). Kuhusu security bado unaweza kuachika hata ukifunga ndoa na vyeti juu. Kwani huoni ndoa zilizofanyika tena kwa harusi kubwa kubwa zikivunjika kabla hata ya kutimiza nusu mwaka? Kama anakupenda na kukujali inatosha. Kawaida ya sisi wanaume huwa hatupendi kupewa pressure (Kupelekeshwa). Au labda tuseme umechoka kuigiza sasa unataka kukunjua makucha na kuishi uhalisia wako ukijua jamaa hata ukimfanyia vitimbwi bado atavumilia maana process ya kuvunja ndoa ni ndefu
 
Kama hutaki kuendelea kuishi naye rudi kwenu.
Habari za asubuhi wakuu wote wa JF na hongereni kwa shughuli mbalimbali za kujenga taifa.

Kilichonileta kwenu asubuhi hii ni kunisaidia mawazo ya hili nalopitia kwa sasa,me na mwenza wangu tunamiaka mitatu sasa tunaishi pamoja na ni mwaka mmoja wa kuchumbiwa.

Kama mjuavyo, desturi zetu za Kiafrika baada ya mahari mnaulizwa tarehe ya Ndoa ndivyo ilivyokua na kwetu pia ila mwenzangu aliomba ajipange sababu hakua vizuri kwa kipindi hicho hivyo wazazi walimkubalia.

Sasa napata maswali mengi kutoka kwa wazazi na ndugu wakiniuliza ndoa lini mpaka nakosa majibu sababu nikimuuliza mwenzangu ananiambia nina haraka gani nisubiri.

Kilichonifanya nije kwenu ni kuomba ushauri je niko sahihi kuendelea kutumikia majukumu yangu ya ndoa kwa mgongo wa kuchumbiwa au nimechutama choo cha kiume?
 
Mbona watu wengi wameoa na kuolewa kwa style kama yako? Wewe acha kumpa jamaa pressure za ndoa na hapa wengi hutaka harusi (sherehe). Kuhusu security bado unaweza kuachika hata ukifunga ndoa na vyeti juu. Kwani huoni ndoa zilizofanyika tena kwa harusi kubwa kubwa zikivunjika kabla hata ya kutimiza nusu mwaka? Kama anakupenda na kukujali inatosha. Kawaida ya sisi wanaume huwa hatupendi kupewa pressure (Kupelekeshwa). Au labda tuseme umechoka kuigiza sasa unataka kukunjua makucha na kuishi uhalisia wako ukijua jamaa hata ukimfanyia vitimbwi bado atavumilia maana process ya kuvunja ndoa ni ndefu
Wakati Mwingine Anataka Atulie Maisha Yaende
 
Mbona watu wengi wameoa na kuolewa kwa style kama yako? Wewe acha kumpa jamaa pressure za ndoa na hapa wengi hutaka harusi (sherehe). Kuhusu security bado unaweza kuachika hata ukifunga ndoa na vyeti juu. Kwani huoni ndoa zilizofanyika tena kwa harusi kubwa kubwa zikivunjika kabla hata ya kutimiza nusu mwaka? Kama anakupenda na kukujali inatosha. Kawaida ya sisi wanaume huwa hatupendi kupewa pressure (Kupelekeshwa). Au labda tuseme umechoka kuigiza sasa unataka kukunjua makucha na kuishi uhalisia wako ukijua jamaa hata ukimfanyia vitimbwi bado atavumilia maana process ya kuvunja ndoa ni ndefu
Hili nalo neno ila uzuri naishi maisha yangu sipretend,nimekuelewa lakini mkuu
 
Habari za asubuhi wakuu wote wa JF na hongereni kwa shughuli mbalimbali za kujenga taifa.

Kilichonileta kwenu asubuhi hii ni kunisaidia mawazo ya hili nalopitia kwa sasa,me na mwenza wangu tunamiaka mitatu sasa tunaishi pamoja na ni mwaka mmoja wa kuchumbiwa.

Kama mjuavyo, desturi zetu za Kiafrika baada ya mahari mnaulizwa tarehe ya Ndoa ndivyo ilivyokua na kwetu pia ila mwenzangu aliomba ajipange sababu hakua vizuri kwa kipindi hicho hivyo wazazi walimkubalia.

Sasa napata maswali mengi kutoka kwa wazazi na ndugu wakiniuliza ndoa lini mpaka nakosa majibu sababu nikimuuliza mwenzangu ananiambia nina haraka gani nisubiri.

Kilichonifanya nije kwenu ni kuomba ushauri je niko sahihi kuendelea kutumikia majukumu yangu ya ndoa kwa mgongo wa kuchumbiwa au nimechutama choo cha kiume?
Ila na nyie warembo saa nyingine mnatafuta madharau ya kijinga. Sasa miaka mitatu mtu hajakuoa sii unasepa unatafuta ustaarabu mwengine. Stop being cheap.
 
Kwao mkoa tofauti na tunaoishi
Naamini Utajua Ila Ndoa Isiwe Nongwa Japo Nakukumbusha Wakati Mwingine Ndoa Ni Ghari Sana Japo Huko Kwenye Dini Zetu Mnaruhusiwa Watu 5 Mkafunga Ndoa Bila Sherehe
Padre/Mchungaji
Wasimamizi Wa Ndoa
NINYI wenyewe
 
Bhasi mkuu. Jaribu tu kuishi. Kuna mwamba kakuambia ukae na jamaa ujue vipaumbele vyake ili upate cha kuwajibu wazazi. Jaribu kuwa mguu ndani kwa sasa na sio nje ndani, pia epuka sana shauri za mashoga zako, zimewapoteza wengi.
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom