Kuna wenzake walicheza sana ukumbini tena kwa gharama kubwa sana ya kukodisha huo ukumbi wa kuchezea,lakini leo hii Ndoa zao mashaka matupu!! Amshukuru Mungu kwa kila Jambo!!Mpuuzi sana huyu dada naona anataka kuchezacheza tu pale kwenye korido ya ukumbini. Atulie nadhani anajuta sana kuleta huu uzi hapa.
Sawa bwnYangekuwa mazuri sidhani kama tungskuwa tuna mjadala huu. Mpaka mrembo kaamua kufunguka hapa ujue tayari emotionaly inamsumbua. So kwako wewe cheti cha ndia sio dili ila kwa mwanamke muelevu anajua kuwa bila cheti cha ndoa hapo hamna kitu.
Na kweli kama mwanaume unampenda huyu mwanamke na mwanamke kuwa na hicho cheti ndio amani ya moyo wake kwa nini usifunge ndoa muishi kwa raha?
Ila kwenye kuoa anapiga chenga za Messi 😅 mwamba sana huyo mdauWatu wanatoa mpaka mahari afu anakuzungusha kwenye ndoa kuna mwanangu huyo ndo zake mahari anatoa fresh.View attachment 1923397
Kakodishe uvae, si laki 2 tuNahamu pia ya shela
Usijiskie vibaya ila pia stop pushing yourself to him. Mnakoseaga sana kulazimisha vitu yani ndoa ni kitu cha asili hamu ya kuoa ikibisha hodi atakuoa bila hata makeke we utaona katafuta mshenga wake wamekuja kwenu! Ukimlazimisha atahisi una lengo baya😅Shame on me
Hahahahah ukweli mchungu, mchawi cheti tu kwahio cha kuomba ni wakahidhinishe tu kama mahari ishalipwa hamna tatizoUshauri mzuri ni huu:- Ukweli ni kuwa tayali we ni mke wa mtu (mahali ndo kiashirio) hivyo kaa tulia
Serikali inaitambua aina ya ndoa yako ila nakushaur achana na mambo ya ndoa mwombe mwemde boman mkafunge nyie wawili na mashahidi ili upate cheti
Kwa sababu hapo ulipo akifa serikali inakutambua kama mke halali ila kkitokea sahiz akaenda kwa siri kufunga ndoa(kupewa cheti na mtu mwimgine tofaut na wewe) hapo ndo kitaumana na hutokuwa na chako ila kama hatapata cheti na mtu mwingine basi we ni halali
Wewe umeposwa tayari ni mkewe bana mi sikujua sasa hapo unalalamika nini au unataka mwende kufanya sherehe ukumbini uwaringishie mashostito!?😅Hata kama nimeposwa mkuu
Unapomwambia hilo mwanaume mwenye pesa zake unatarajia nini😅??? Tembea tu mlango uko wazi haipiti wiki atakuja mwenzio humu humuWewe mwambie hapa tunafunga ndoa ama mie nasepa zangu. Jipe thamani mwenyewe kwanza. Miaka mitatu anasasambua mbususu tuu hataki kufunga ndoa hayupo serious
Mi nakushauri muitie shehe tu kama nyie waislamu shekhe atampa makavu na kuwapigisha cha mkeka! Ikibidi gharamia ujio wa sheikh afanye yake hapo😅😄 kama upo serious na kufosi kingi!Nitarudi mkuu
😅😅😅😅😅😅 mwanamke anataka security ya child support na nyumbaHuwa napata mashaka sana napoona mwanamke msisitizo wake unakuwa kwenye cheti cha ndoa,natafakari kwa upana sana,anataka kufanyia nini hiko cheti? Ukiona mwanamke msisitizo wake umuoe apate cheti cha ndoa,huyo wa kupiga chini fasta.
Ile ni demo ya Ndoa 😅 sema huwa tamu sana kama mwanamke sio msumbufu unamzalisha kisha unamuoa akiwa na watoto wake kabisa 😅Yaani kuna watu wa ajabu sana kumbe sogea tuishi watu wanaichukulia ndoa
Ukwel daima fitina kwangu mwiko...Habari za asubuhi wakuu wote wa JF na hongereni kwa shughuli mbalimbali za kujenga taifa.
Kilichonileta kwenu asubuhi hii ni kunisaidia mawazo ya hili nalopitia kwa sasa,me na mwenza wangu tunamiaka mitatu sasa tunaishi pamoja na ni mwaka mmoja wa kuchumbiwa.
Kama mjuavyo, desturi zetu za Kiafrika baada ya mahari mnaulizwa tarehe ya Ndoa ndivyo ilivyokua na kwetu pia ila mwenzangu aliomba ajipange sababu hakua vizuri kwa kipindi hicho hivyo wazazi walimkubalia.
Sasa napata maswali mengi kutoka kwa wazazi na ndugu wakiniuliza ndoa lini mpaka nakosa majibu sababu nikimuuliza mwenzangu ananiambia nina haraka gani nisubiri.
Kilichonifanya nije kwenu ni kuomba ushauri je niko sahihi kuendelea kutumikia majukumu yangu ya ndoa kwa mgongo wa kuchumbiwa au nimechutama choo cha kiume?
Hakuna shida kwani ulimpa Amani na furaha mwenzio kwa kumtimizia hitaji lakeKila mtu na plan zake mimi nlikaa nae miaka 8 kelele za ndoa zilipozidi,nkamwambia twende church asubuhi jmos tumefunga ndoa saa 4,baadae nkamrudisha hom nami kuendelea na kazi zangu....ndgu zake wakapiga kelele sana kwanini nimeamua hivyo wakti wao waliplan sherehe,uwezo nlikua nao wakufanya sherehe kubwa bt kelele zake ndio zilimcost kua na harufu ya kimyakimya
Hakuna mahali mtoa mada amesema anataka sherehe anachohitaji yeye ni ndoa hata wakiwa wawiliUkimruhusu atawale akili yako ndio kumaliza sherehe unamadeni mpka unatamani umlime talaka
Kwa hiyo mkuu miaka yote unaishi na Mwanamke bila ndoa haufanyi ibada kwenda msikitini au kanisani kwa sisi Waislamu mwenzi mtukufu inabidi urejee kwenu kwa sababu unaisabiwa mzinifu hata kama kakulipia mahari acheni kuhalalisha jeusi kuwa nyeupe.Ile ni demo ya Ndoa 😅 sema huwa tamu sana kama mwanamke sio msumbufu unamzalisha kisha unamuoa akiwa na watoto wake kabisa 😅
Heheheh hamna bana hizo ni dhana potofu tu! Hamna cha uzinifu sababu nadhiri iko moyoni mungu anaelewaKwa hiyo mkuu miaka yote unaishi na Mwanamke bila ndoa haufanyi ibada kwenda msikitini au kanisani kwa sisi Waislamu mwenzi mtukufu inabidi urejee kwenu kwa sababu unaisabiwa mzinifu hata kama kakulipia mahari acheni kuhalalisha jeusi kuwa nyeupe.
Amesema anataka avae shela! Soma uzi vizuriHak
Hakuna mahali mtoa mada amesema anataka sherehe anachohitaji yeye ni ndoa hata wakiwa wawili
Tunaishi katika taratibu ambazo vitabu tukufu vimetuelekezaHeheheh hamna bana hizo ni dhana potofu tu! Hamna cha uzinifu sababu nadhiri iko moyoni mungu anaelewa
Acha ukuda wewe.Wap kwenye biblia wameandika tukafunge ndoa au nioneshe fungu hata moja wametaja flan aliemda kanisan au kwa kiongozi wa dini akafungishwa ndoa? Haipo na haijawahi kuwepo hizi ni sheria nje ya Biblia dini zimejitungia