Amenichumbia lakini hataki Ndoa

Amenichumbia lakini hataki Ndoa

Yangekuwa mazuri sidhani kama tungskuwa tuna mjadala huu. Mpaka mrembo kaamua kufunguka hapa ujue tayari emotionaly inamsumbua. So kwako wewe cheti cha ndia sio dili ila kwa mwanamke muelevu anajua kuwa bila cheti cha ndoa hapo hamna kitu.

Na kweli kama mwanaume unampenda huyu mwanamke na mwanamke kuwa na hicho cheti ndio amani ya moyo wake kwa nini usifunge ndoa muishi kwa raha?
Sawa bwn
Ila namtahadharisha cheti si kila kitu
Kikubwa amani ndani
 
Ushauri mzuri ni huu:- Ukweli ni kuwa tayali we ni mke wa mtu (mahali ndo kiashirio) hivyo kaa tulia
Serikali inaitambua aina ya ndoa yako ila nakushaur achana na mambo ya ndoa mwombe mwemde boman mkafunge nyie wawili na mashahidi ili upate cheti
Kwa sababu hapo ulipo akifa serikali inakutambua kama mke halali ila kkitokea sahiz akaenda kwa siri kufunga ndoa(kupewa cheti na mtu mwimgine tofaut na wewe) hapo ndo kitaumana na hutokuwa na chako ila kama hatapata cheti na mtu mwingine basi we ni halali
Hahahahah ukweli mchungu, mchawi cheti tu kwahio cha kuomba ni wakahidhinishe tu kama mahari ishalipwa hamna tatizo
 
Wewe mwambie hapa tunafunga ndoa ama mie nasepa zangu. Jipe thamani mwenyewe kwanza. Miaka mitatu anasasambua mbususu tuu hataki kufunga ndoa hayupo serious
Unapomwambia hilo mwanaume mwenye pesa zake unatarajia nini😅??? Tembea tu mlango uko wazi haipiti wiki atakuja mwenzio humu humu
 
Huwa napata mashaka sana napoona mwanamke msisitizo wake unakuwa kwenye cheti cha ndoa,natafakari kwa upana sana,anataka kufanyia nini hiko cheti? Ukiona mwanamke msisitizo wake umuoe apate cheti cha ndoa,huyo wa kupiga chini fasta.
😅😅😅😅😅😅 mwanamke anataka security ya child support na nyumba
 
Habari za asubuhi wakuu wote wa JF na hongereni kwa shughuli mbalimbali za kujenga taifa.

Kilichonileta kwenu asubuhi hii ni kunisaidia mawazo ya hili nalopitia kwa sasa,me na mwenza wangu tunamiaka mitatu sasa tunaishi pamoja na ni mwaka mmoja wa kuchumbiwa.

Kama mjuavyo, desturi zetu za Kiafrika baada ya mahari mnaulizwa tarehe ya Ndoa ndivyo ilivyokua na kwetu pia ila mwenzangu aliomba ajipange sababu hakua vizuri kwa kipindi hicho hivyo wazazi walimkubalia.

Sasa napata maswali mengi kutoka kwa wazazi na ndugu wakiniuliza ndoa lini mpaka nakosa majibu sababu nikimuuliza mwenzangu ananiambia nina haraka gani nisubiri.

Kilichonifanya nije kwenu ni kuomba ushauri je niko sahihi kuendelea kutumikia majukumu yangu ya ndoa kwa mgongo wa kuchumbiwa au nimechutama choo cha kiume?
Ukwel daima fitina kwangu mwiko...

Hapo mwana anakula bure tu..tena bila kero kwa mgongo wa pete ya uchumba..hahahah..mwamba hatar snaa
 
Kila mtu na plan zake mimi nlikaa nae miaka 8 kelele za ndoa zilipozidi,nkamwambia twende church asubuhi jmos tumefunga ndoa saa 4,baadae nkamrudisha hom nami kuendelea na kazi zangu....ndgu zake wakapiga kelele sana kwanini nimeamua hivyo wakti wao waliplan sherehe,uwezo nlikua nao wakufanya sherehe kubwa bt kelele zake ndio zilimcost kua na harufu ya kimyakimya
Hakuna shida kwani ulimpa Amani na furaha mwenzio kwa kumtimizia hitaji lake
 
Ile ni demo ya Ndoa 😅 sema huwa tamu sana kama mwanamke sio msumbufu unamzalisha kisha unamuoa akiwa na watoto wake kabisa 😅
Kwa hiyo mkuu miaka yote unaishi na Mwanamke bila ndoa haufanyi ibada kwenda msikitini au kanisani kwa sisi Waislamu mwenzi mtukufu inabidi urejee kwenu kwa sababu unaisabiwa mzinifu hata kama kakulipia mahari acheni kuhalalisha jeusi kuwa nyeupe.
 
Kwa hiyo mkuu miaka yote unaishi na Mwanamke bila ndoa haufanyi ibada kwenda msikitini au kanisani kwa sisi Waislamu mwenzi mtukufu inabidi urejee kwenu kwa sababu unaisabiwa mzinifu hata kama kakulipia mahari acheni kuhalalisha jeusi kuwa nyeupe.
Heheheh hamna bana hizo ni dhana potofu tu! Hamna cha uzinifu sababu nadhiri iko moyoni mungu anaelewa
 
Wap kwenye biblia wameandika tukafunge ndoa au nioneshe fungu hata moja wametaja flan aliemda kanisan au kwa kiongozi wa dini akafungishwa ndoa? Haipo na haijawahi kuwepo hizi ni sheria nje ya Biblia dini zimejitungia
Acha ukuda wewe.

Sasa kama haipo hivyo haimaanishi asiende kufunga ndoa kanisani. Anachotaka ni uhalali wa kutambulika kisheria.

Kwaiyo kama haijaandikwa kwenye biblia so akaushe tu asililie ndoa?

Punguza ujuaji, msaidie ushauri kwa situation aliyofikia sio kuleta vitu nje ya tatizo linalohitaji ufumbuzi.
 
Ndoa ni pande mbili kukutana na kupeana baraka na kukubaliana tu. Ndio maana hata ukienda kufunga ndoa iwe popote Msikitini ama Kanisani lazima uulizwe kama pande zote zimeafiki. Haya mambo ya kupewa cheti ni kuiga tamaduni za wenzetu tu. Bi dada kama una baraka za Wazazi wako tulia. Kama wazazi wako wanataka kurindima ukumbini hapo kuna kipengele.
 
Back
Top Bottom