Amenichumbia lakini hataki Ndoa

Amenichumbia lakini hataki Ndoa

Kuna mambo ukiyafikiria vizuri, utagundua huyu dada kuiwaza nda yupo sahihi kabisa.
Kuna mambo yakitokea baadae au hata sasa yataleta milolongo isiyo na maana kabisa.

Kama mwanadamu kuna kuendelea kiuchumi na kimaisha sasa kuruhusu maendeleo yako yakukute haupo sehemu salama na sahihi ni hatari sana. Dada upo sahihi dai ndoa ila kwa akili sana

Fikiria ndio mmejenga nyumba mna biashara na mali nyingine na maendeleo pia alafu ghafla unasikia Mwamba anaoa, unajua hautaweza mzuia kabisa asioe tofauti na ukiwa tayari umeolewa.

Aise kuna upande nasimama na wewe dada, hasa ukiyawaza maisha kwenye uhalisia wake, kua vifo, maradhi, maendeleo na kadhalika.

Kila la kheri ila usilazimishe ndoa.
Asante kwakunielewa
 
Habari za asubuhi wakuu wote wa JF na hongereni kwa shughuli mbalimbali za kujenga taifa.

Kilichonileta kwenu asubuhi hii ni kunisaidia mawazo ya hili nalopitia kwa sasa,me na mwenza wangu tunamiaka mitatu sasa tunaishi pamoja na ni mwaka mmoja wa kuchumbiwa.

Kama mjuavyo, desturi zetu za Kiafrika baada ya mahari mnaulizwa tarehe ya Ndoa ndivyo ilivyokua na kwetu pia ila mwenzangu aliomba ajipange sababu hakua vizuri kwa kipindi hicho hivyo wazazi walimkubalia.

Sasa napata maswali mengi kutoka kwa wazazi na ndugu wakiniuliza ndoa lini mpaka nakosa majibu sababu nikimuuliza mwenzangu ananiambia nina haraka gani nisubiri.

Kilichonifanya nije kwenu ni kuomba ushauri je niko sahihi kuendelea kutumikia majukumu yangu ya ndoa kwa mgongo wa kuchumbiwa au nimechutama choo cha kiume?
Miaka 3 ni ndoa tayari kitu hamna n cheti,mahari wazazi wako wamepokea mengine ya ndoa anapanga mwanaume sio wewe na wazazi wako
 
Mtoa mada kachoka kuzini now anataka ndoa ambayo hata akifanya ibada moyo wake unakuwa na amani kama mtu ameweza kuishi nae miaka yote hiyo kiapo cha sekunde kina tatizo gani?
Kila mtu na plan zake mimi nlikaa nae miaka 8 kelele za ndoa zilipozidi,nkamwambia twende church asubuhi jmos tumefunga ndoa saa 4,baadae nkamrudisha hom nami kuendelea na kazi zangu....ndgu zake wakapiga kelele sana kwanini nimeamua hivyo wakti wao waliplan sherehe,uwezo nlikua nao wakufanya sherehe kubwa bt kelele zake ndio zilimcost kua na harufu ya kimyakimya
 
Habari za asubuhi wakuu wote wa JF na hongereni kwa shughuli mbalimbali za kujenga taifa.

Kilichonileta kwenu asubuhi hii ni kunisaidia mawazo ya hili nalopitia kwa sasa,me na mwenza wangu tunamiaka mitatu sasa tunaishi pamoja na ni mwaka mmoja wa kuchumbiwa.

Kama mjuavyo, desturi zetu za Kiafrika baada ya mahari mnaulizwa tarehe ya Ndoa ndivyo ilivyokua na kwetu pia ila mwenzangu aliomba ajipange sababu hakua vizuri kwa kipindi hicho hivyo wazazi walimkubalia.

Sasa napata maswali mengi kutoka kwa wazazi na ndugu wakiniuliza ndoa lini mpaka nakosa majibu sababu nikimuuliza mwenzangu ananiambia nina haraka gani nisubiri.

Kilichonifanya nije kwenu ni kuomba ushauri je niko sahihi kuendelea kutumikia majukumu yangu ya ndoa kwa mgongo wa kuchumbiwa au nimechutama choo cha kiume?
Kwanza unatakiwa kujua tafsiri kuwa ndoa ni nini?

Kama mnashiriki na mmekula viapo basi hiyo ni ndoa inayotambulika kiroho. Mfano wa viapo ni kama kuitana mume au mke au nitakupenda maisha yangu yote na sitokusaliti.

Unachomaanisha wewe ni sherehe ili mburudishe watu au mpate document za kuwasaidia pindi linapotekea tatizo. If that's the case naomba mkafunge ndoa ya makaratasi kwa mkuu wa wilaya na mkipata uwezo huko baadae mtafanya kalamu ambayo wewe ndo unamaanisha ndoa.

Kama wewe ni mkristo naomba usome kitabu chote cha Wakorintho na utafuta uzi wako huu.

Nawakilisha

Asante sana
 
Kila mtu na plan zake mimi nlikaa nae miaka 8 kelele za ndoa zilipozidi,nkamwambia twende church asubuhi jmos tumefunga ndoa saa 4,baadae nkamrudisha hom nami kuendelea na kazi zangu....ndgu zake wakapiga kelele sana kwanini nimeamua hivyo wakti wao waliplan sherehe,uwezo nlikua nao wakufanya sherehe kubwa bt kelele zake ndio zilimcost kua na harufu ya kimyakimya
Hahahaha hii ya kibabe sana mzee wangu
 
Habari za asubuhi wakuu wote wa JF na hongereni kwa shughuli mbalimbali za kujenga taifa.

Kilichonileta kwenu asubuhi hii ni kunisaidia mawazo ya hili nalopitia kwa sasa,me na mwenza wangu tunamiaka mitatu sasa tunaishi pamoja na ni mwaka mmoja wa kuchumbiwa.

Kama mjuavyo, desturi zetu za Kiafrika baada ya mahari mnaulizwa tarehe ya Ndoa ndivyo ilivyokua na kwetu pia ila mwenzangu aliomba ajipange sababu hakua vizuri kwa kipindi hicho hivyo wazazi walimkubalia.

Sasa napata maswali mengi kutoka kwa wazazi na ndugu wakiniuliza ndoa lini mpaka nakosa majibu sababu nikimuuliza mwenzangu ananiambia nina haraka gani nisubiri.

Kilichonifanya nije kwenu ni kuomba ushauri je niko sahihi kuendelea kutumikia majukumu yangu ya ndoa kwa mgongo wa kuchumbiwa au nimechutama choo cha kiume?
Una watoto wangap ktk hiyo miaka mitatu? Ukijibu nitaendelea.
 
Laiti kama cheti kingekua guarantee ya ndoa hamna ambae angekataa

ila sote tunajua maisha ndani haijalishi mna cheti au la
Na kuachana ni asubuhi tu

asije haribu maisha mazuri waliyonayo ndani kisa kudai cheti
Yangekuwa mazuri sidhani kama tungskuwa tuna mjadala huu. Mpaka mrembo kaamua kufunguka hapa ujue tayari emotionaly inamsumbua. So kwako wewe cheti cha ndia sio dili ila kwa mwanamke muelevu anajua kuwa bila cheti cha ndoa hapo hamna kitu.

Na kweli kama mwanaume unampenda huyu mwanamke na mwanamke kuwa na hicho cheti ndio amani ya moyo wake kwa nini usifunge ndoa muishi kwa raha?
 
Back
Top Bottom