Ameniita kwake saa 5 usiku, nimeenda na mchungaji, baadae amenuna, nifanyaje?

Ameniita kwake saa 5 usiku, nimeenda na mchungaji, baadae amenuna, nifanyaje?

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Wahuniiiiiiiii?

Nimewaita

Wahuni mje mumsaidie dada wa watu huku

Alialikwa na mpenzi wake geto saa 5 usiku akaenda na mchungaji wa kanisani kwao

Wakafanya ibada, saa 6 kasoro akaondoka kurudi kwao mchungaji akabaki geto mpaka asubuhi

Sasa asubuhi bofriend anapigiwa simu na binti, simu haipokelewi, sms haijibiwi amenuna

Binti anauliza afanyaje?

Haya wahuni mje
 
Amwambie na yeye aende na mama mchungaji. 😂

Umeenda ugenini ukaona wamekimbiza kuku kabisa wakamchinja na akili yako ikajipanga kabisa kuwa leo nakula kuku halafu mara badala ya kuku uone matembele mezani inauma. Nahisi jamaa ndio alipata huto tumaumivu. 😂
 
Acha useng...,mchungaji ndo upuuzi gani?!..mademu wa aina yako huwa ni wa....
Bro ni wewe nini uliletewa mchungaji geto?
Sa mbona unatukana jamii
Au unashida ya afya ya akili?
 
Mwambie na yeye aende na mama mchungaji. 😂

Umeenda ugenini ukaona wamekimbiza kuku kabisa wakamchinja na akili yako ikajipanga kabisa kuwa leo nakula kuku halafu mara badala ya kuku uone matembele mezani inauma. Nahisi jamaa ndio alipata huto tumaumivu. 😂
Dada aende tena na mama mchungqji?
Wakati dada ameenda na mchungaji na anaomba msaada jamaa hapokei simu?
 
Wahuniiiiiiiii?

Nimewaita

Wahuni mje mumsaidie dada wa watu huku

Alialikwa na mpenzi wake geto saa 5 usiku akaenda na mchungaji wa kanisani kwao

Wakafanya ibada, saa 6 kasoro akaondoka kurudi kwao mchungaji akabaki geto mpaka asubuhi

Sasa asubuhi bofriend anapigiwa simu na binti, simu haipokelewi, sms haijibiwi amenuna

Binti anauliza afanyaje?

Haya wahuni mje
Unaombea na mchungaji? Iweje uongozane nae muda huo?
 
Back
Top Bottom