Ameniita kwake saa 5 usiku, nimeenda na mchungaji, baadae amenuna, nifanyaje?

Ameniita kwake saa 5 usiku, nimeenda na mchungaji, baadae amenuna, nifanyaje?

dammit!....hapo ni mtafunano kat ya pastor na kondoo wake....kwanza hio ni dharau kwa msela
 
kwenye mpira tunasema first touch matters...kitendo cha kuja na pastor gheto kwa time hio ni jinai tosha bila kujali aliondoka nae au alibaki....
 
kwenye mpira tunasema first touch matters...kitendo cha kuja na pastor gheto kwa time hio ni jinai tosha bila kujali aliondoka nae au alibaki....
Acha maneno yako bwana Pastor kaenda kikazi
Mbona alilala na mhuni?
 
Back
Top Bottom