Ameniita kwake saa 5 usiku, nimeenda na mchungaji, baadae amenuna, nifanyaje?

Ameniita kwake saa 5 usiku, nimeenda na mchungaji, baadae amenuna, nifanyaje?

Wahuniiiiiiiii?

Nimewaita

Wahuni mje mumsaidie dada wa watu huku

Alialikwa na mpenzi wake geto saa 5 usiku akaenda na mchungaji wa kanisani kwao

Wakafanya ibada, saa 6 kasoro akaondoka kurudi kwao mchungaji akabaki geto mpaka asubuhi

Sasa asubuhi bofriend anapigiwa simu na binti, simu haipokelewi, sms haijibiwi amenuna

Binti anauliza afanyaje?

Haya wahuni mje
Uandishi wako wa kihuni vile vile.
Allialikwa na mpenzi wake, akaenda na mchungaji gheto!

Kwa hiyo walipomaliza maombi, yeye akarudi kwao!

Sasa najiuliza, mchungaji alibakiaje kwa mshikaji wake, kwani walikuwa washikaji pia, au mchungaji alikuwa hana kwao hadi alale kwa waumini kijinga jinga?

Au nimeshindwa kukupata kutokana na uandishi wako?

Dadavua vizuri stori twende pamoja.
 
Uandishi wako wa kihuni vile vile.
Allialikwa na mpenzi wake, akaenda na mchungaji gheto!

Kwa hiyo walipomaliza maombi, yeye akarudi kwao!

Sasa najiuliza, mchungaji alibakiaje kwa mshikaji wake, kwani walikuwa washikaji pia, au mchungaji alikuwa hana kwao hadi alale kwa waumini kijinga jinga?

Au nimeshindwa kukupata kutokana na uandishi wako?

Dadavua vizuri stori twende pamoja.
Hamna mdadavuo hapo kabisa umesoma sawa sawa

Sasa mpe jibu binti maana mchungaji anapokea simu kijana hapokei
 
Saa5 na mchungaji?wametoka wapi na walikuwa wanafanya nini usiku huo mpaka wasindikizane gheto kwa jamaa?....no woman no cry!
 
Saa5 na mchungaji?wametoka wapi na walikuwa wanafanya nini usiku huo mpaka wasindikizane gheto kwa jamaa?....no woman no cry!
Bro mbona uko na nidham za woga?
Mchungaji yupo masaa 24 kutafuta roho zilizopotea ndio kazi aliopewa na Yesu
 
Saa5 na mchungaji?wametoka wapi na walikuwa wanafanya nini usiku huo mpaka wasindikizane gheto kwa jamaa?....no woman no cry!
Uandishi wako wa kihuni vile vile.
Allialikwa na mpenzi wake, akaenda na mchungaji gheto!

Kwa hiyo walipomaliza maombi, yeye akarudi kwao!

Sasa najiuliza, mchungaji alibakiaje kwa mshikaji wake, kwani walikuwa washikaji pia, au mchungaji alikuwa hana kwao hadi alale kwa waumini kijinga jinga?

Au nimeshindwa kukupata kutokana na uandishi wako?

Dadavua vizuri stori twende pamoja.
Vijana kama hawa wanamchango mdogo kwenye maendeleo ya nchi.
 
Back
Top Bottom