Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
Kumbe we wa mwaka gan saHayo ya youtube wauzie watoto wa efu 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe we wa mwaka gan saHayo ya youtube wauzie watoto wa efu 2
SIJIIII SIJIIIIUnaombea na mchungaji? Iweje uongozane nae muda huo?
Aisee
Unapoza bwana mkubwa bibie! 😁 Namaanisha Yule jamaa. 😂
SIENDI MWANANGU SIENDITumuulize huyo dem:
Yeye angetaka hela, ila akapewa risiti angefurahi?
Sa afanyaje dada wa watu?Aaaah hii ndio tunaita dakika za jiooniii
Uandishi wako wa kihuni vile vile.Wahuniiiiiiiii?
Nimewaita
Wahuni mje mumsaidie dada wa watu huku
Alialikwa na mpenzi wake geto saa 5 usiku akaenda na mchungaji wa kanisani kwao
Wakafanya ibada, saa 6 kasoro akaondoka kurudi kwao mchungaji akabaki geto mpaka asubuhi
Sasa asubuhi bofriend anapigiwa simu na binti, simu haipokelewi, sms haijibiwi amenuna
Binti anauliza afanyaje?
Haya wahuni mje
Wahuni mmewezwaVijana kama hawa wanamchango mtu mdogo kwenye maendeleo ya nchi.
Hamna mdadavuo hapo kabisa umesoma sawa sawaUandishi wako wa kihuni vile vile.
Allialikwa na mpenzi wake, akaenda na mchungaji gheto!
Kwa hiyo walipomaliza maombi, yeye akarudi kwao!
Sasa najiuliza, mchungaji alibakiaje kwa mshikaji wake, kwani walikuwa washikaji pia, au mchungaji alikuwa hana kwao hadi alale kwa waumini kijinga jinga?
Au nimeshindwa kukupata kutokana na uandishi wako?
Dadavua vizuri stori twende pamoja.
Anamlaje sasa wakati mchungaji amelala kwa mshikaji jamaa?Huyo mchungaji anamkula huyo dada.
Whoo jamaaa? Mchungaji alipewa kitu Gani akakubali kuongozana?Anamlaje sasa wakati mchungaji amelala kwa mshikaji jamaa?
Ameenda kufanya soul winning kwa YesuWhoo jamaaa? Mchungaji alipewa kitu Gani akakubali kuongozana?
HahahaAlienda kuchunga mwanakondoo
Bro mbona uko na nidham za woga?Saa5 na mchungaji?wametoka wapi na walikuwa wanafanya nini usiku huo mpaka wasindikizane gheto kwa jamaa?....no woman no cry!
Saa5 na mchungaji?wametoka wapi na walikuwa wanafanya nini usiku huo mpaka wasindikizane gheto kwa jamaa?....no woman no cry!
Uandishi wako wa kihuni vile vile.
Allialikwa na mpenzi wake, akaenda na mchungaji gheto!
Kwa hiyo walipomaliza maombi, yeye akarudi kwao!
Sasa najiuliza, mchungaji alibakiaje kwa mshikaji wake, kwani walikuwa washikaji pia, au mchungaji alikuwa hana kwao hadi alale kwa waumini kijinga jinga?
Au nimeshindwa kukupata kutokana na uandishi wako?
Dadavua vizuri stori twende pamoja.
Vijana kama hawa wanamchango mdogo kwenye maendeleo ya nchi.
dammit!....hapo ni mtafunano kat ya pastor na kondoo wake....kwanza hio ni dharau kwa mselaBro mbona uko na nidham za woga?
Mchungaji yupo masaa 24 kutafuta roho zilizopotea ndio kazi aliopewa na Yesu
dammit!....hapo ni mtafunano kat ya pastor na kondoo wake....kwanza hio ni dharau kwa msela