Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #41
dammit!....hapo ni mtafunano kat ya pastor na kondoo wake....kwanza hio ni dharau kwa msela
wanaolia ni hao boys kina junior not men like me!!you mess up,you f*ck off!Kilio cha mwanaume kwenye mapenzi kwa sasa ni hiki
Sikuhizi wanaume mnalia hivi Nakupa mapenzi Nakupa vichenji Nini haupati, Vikoba nimekulipia Dah, ila wanaume mnajua kulia? Mpaka mnaenda studio mnaimba kabisa Akina mama wapunguzieni adhabu wanaume wa watu jamaan, mtawamaliza mjuewww.jamiiforums.com
We ndio katoti kabisa pupilwanaolia ni hao boys kina junior not men like me!!you mess up,you f*ck off!
kwenye mpira tunasema first touch matters...kitendo cha kuja na pastor gheto kwa time hio ni jinai tosha bila kujali aliondoka nae au alibaki....Kilio cha mwanaume kwenye mapenzi kwa sasa ni hiki
Sikuhizi wanaume mnalia hivi Nakupa mapenzi Nakupa vichenji Nini haupati, Vikoba nimekulipia Dah, ila wanaume mnajua kulia? Mpaka mnaenda studio mnaimba kabisa Akina mama wapunguzieni adhabu wanaume wa watu jamaan, mtawamaliza mjuewww.jamiiforums.com
Acha maneno yako bwana Pastor kaenda kikazikwenye mpira tunasema first touch matters...kitendo cha kuja na pastor gheto kwa time hio ni jinai tosha bila kujali aliondoka nae au alibaki....