Amenikata hamu kabisa na nguvu za kiume zimeisha. Kumbe haya matatizo ya nguvu za kiume sababu ni Wanawake

Kaka huyo piga Ukuniii jikataeeee.. Nimegundua ukijidai Gentleman kusolve shida za kila mwanamke utaishia kupoteza helaa na kuwa maskini bila kuambulia hataa Utamuuu...!! Mwanamke mdangaji utamjua tuuu huwa anaweka mazingira ya kukutamanisha kukupa uchi alafu anakuchapa na shida zakeeee ukiwa falaa utampa bila kumuomba uchi ukidhani utakuwa umetumia mtatizo yake kumlaa ila Noo hivyp ndo inavyotakiwa maana Mwisho wa Siku ATAKUONA MJINGAAA..

UKWELI MCHUNGU mwanamke ukimsaidia bila kumlaa anakuona wew ni falaaa na looser.
 
Hata kama asipokutangazia shida ndani ya muda mfupi ila atakutangaziaa tuu siku amini...!! Anaweza sema yupo tofauti sijui anafanya kazii shenziii tapelii tu hiloooo linakuvutaaaa
 
Uko Sahii kabisa[emoji4]
 
Kuna mmoja alikuaga ananiomba buku mbili mara buku tatu, nikawa nampa fresh tu kumbe text hiyo hiyo matuma kwa watu kadhaa.

Siku akakosea meseji akatuma za masela wawili kwangu, nikanyamaza zangu kimya tu, hakuniomba tena.
 
Nakuheshimu sana sitaki tufikie kwenye matusi kma unatongozaga wauza k ni wew na hakunasehemu nimtukna nimetoa mawazoyngu tu km walivofanya wengine tuheshimiane
 
Kumbe wew kama@mzabzab tu anahamasisha wenzie wagegede kumbe yeye kaona zake single mother😂😂😂😂anaitwa baba wa kambo anawalea watoto wake safi🤣🤣
mzabzab
Haha sasa mimi hata mzazab simjui, ila nawahamasisha vijana kujikomboa kwenye shimo la tewa😂😂😂
 
Haha sasa mimi hata mzazab simjui, ila nawahamasisha vijana kujikomboa kwenye shimo la tewa😂😂😂
Wakat mwenyew umeshalipa ela ya king'amuz saa hii mtu aangalie Azam tv🤣🤣🤣
 
Umeombwa Elf 10 tu umekimbia Kuja kufungua uzi,.... Ungeombwa laki je...... Khe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila mkuu ukishachukua namba ya mwanamke hayo mambo utegemee kabisa Kama hutak kuombwa usitoe namba Hawa madem wananjaa Kama wako Somalia
 
Wewe ndio unajua kuombwa million leo[emoji23][emoji23][emoji23], nikichukuaga bank statement haki huwezi amini zinazidi ila ndio lazima uwakomboe wenzako wasifike uko. Hawa wanawake wewe waone tu hivyohivyo.
Ukitoa pesa ndio zinakuja nyingine mkuu, kiuhalisia wanaume tumeumbwa kutoa na wao wameumbwa kupokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…