Umepanick sana πππPolesana ndo maishaNami nmetoa mawazo yangu kulingana na yako. Mbona sijakutukana?KUNGURU SI ANAFAHAMIKA KWA RANGI NA SAUTI YAKE? unamjua tu si huwezi mfananisha na njiwa.so mimi kunguru nitampa mizoga na njiwa nitampa mtama. ππππ
ππsijasema unyamaze ila punguza kupanikiSasa hutaki tena ujibiwe? Yaani unataka mtu anyamaze wakati umeandika? Watoto wa nne kila mmoja ana baba yake si udangaji huo? Mi nakujibu kama kawaida unapotetea wenzako na sisi tunakushauri kuwa hayo si maisha. Unapomzalia kila mwanaume mtoto unadanga pia kwa style hiyo ya kuhudumiwa watoto. Au wote umemsingizia mmoja?π Maana wanawake wa aina yako huwa hamna aibu kabisa....
Mpaka kamuomba huyo inamaana kakosa sehemu nyingineSijamdharau lakini elfu 7 ni ndogo sana angeweza kupata hata kwa marafiki ambao hawatamkula kuliko kujidhalilishaa hivyo
Ngoja waje na povu πKwa kifupi ni kwamba pesa hatutoacha kuwaomba, ziwe kubwa au ndogo ndogo. Kwahiyo punguzeni hasira wapendwa, mambo ya kawaida tu hayo. Hamtaki basi hameni jinsia. Mtupunguzie kelele sasa.
Tangu wameanza kumwaga hayo mapovu yao walifanikiwa kwa lipi? Wasitupigie kelele watafute pesa. Nguvu za kiume zitatoka wapi wakati elfu kumi tu mishipa ya fuvu imekaza!!!Ngoja waje na povu π
hizo unaacha bila kujibu(unazimia kwenye gia) halafu siku ya siku unawasha na kutembea(inaitwa pesa kwa mbususu ana kwa ana chumbani) sababu kishaonesha udhaifu wake mapema!Huyu dada siku ya kwanza nimemtoa out nlimwona tu alivyokuwa na ushamba. Dada mzuri wa sura na umbo. Lakini kichwani ana ushamba flani. Mtu mmeonana jana leo anakutumia msg ana njaa na anafanya kazi.
Huu ni upumbavu wala si ujanja. Wanawake wengi hawajielewi. Binafsi sipendi mtu anayetangaza shida zake kwangu. Huyu dada alianza kunitoa hamu mapema sana. Nikawa hata nikikaa naye sijisikii hamu. ila nimemchana liwe funzo kwake na wenzie.
View attachment 2332307
Unaye demu official wewe?πZamani tulikuwa tunafurahi kupata text toka kwa mwanamke. Siku hizi ukiona text toka kwa demu basi unakksa raha kabisa
Nina mke kabisa. Ila wapembe i ndio ukiona text ujue hela ya salon luku kuumwa.Unaye demu official wewe?π
Mke unae. Halafu ukiombwa pesa na mdada mdangaji unayevizia papuchi yake unamshsngaa.Nina mke kabisa. Ila wapembe i ndio ukiona text ujue hela ya salon luku kuumwa.
Namshangaa kivipi tena. Mie wala sishangai na kuwa nawapa sana maana mie sharti langu ni moja tuu. Tambua kuwa ninatomber wanawake wengi mambo ya kuleta jealousy sitakiMke unae. Halafu ukiombwa pesa na mdada mdangaji unayevizia papuchi yake unamshsngaa.
Upo serious kweli mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23]10K Ukurasa wa malalamiko
50K kitakuja kitabu humu.
Hahha katibu wa kikao Cha kuwaambia wenzie wasioe huyu hapaπππNina mke kabisa. Ila wapembe i ndio ukiona text ujue hela ya salon luku kuumwa.
Wasioe kweli mie mwenyewe najuta sana mwa nini nimeoa. Furaha 20% tuu...zingine ni majuto matupu. Nipo kwenye ndoa kwa sababu mwanamke huyu anajua kutunza watoto basi.Hahha katibu wa kikao Cha kuwaambia wenzie wasioe huyu hapaπππ
Sio gazeti tu wengine wanatamani kukurushia ngumi sema hawakuoni tuπππTangu wameanza kumwaga hayo mapovu yao walifanikiwa kwa lipi? Wasitupigie kelele watafute pesa. Nguvu za kiume zitatoka wapi wakati elfu kumi tu mishipa ya fuvu imekaza!!!
Kama nawaoma wakiniandikia gazetiπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Utawaweza watu wa humu sasa [emoji23]Hahha katibu wa kikao Cha kuwaambia wenzie wasioe huyu hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1732]Tangu wameanza kumwaga hayo mapovu yao walifanikiwa kwa lipi? Wasitupigie kelele watafute pesa. Nguvu za kiume zitatoka wapi wakati elfu kumi tu mishipa ya fuvu imekaza!!!
Kama nawaoma wakiniandikia gazeti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πππAmna lolote hutoki hapo Kaa usubiri uzee tuWasioe kweli mie mwenyewe najuta sana mwa nini nimeoa. Furaha 20% tuu...zingine ni majuto matupu. Nipo kwenye ndoa kwa sababu mwanamke huyu anajua kutunza watoto basi.
Wakishafika umri mzuri tunaachana na wife kila mtu akaishi kivyake
Ah wapi uzee nakula na vibinti vya miaka 25-30. Hapo unajua vitega uchumi vinatema tuu kazi yako wewe ni kulala kitandani mrembo ahangaike na de liboloπππAmna lolote hutoki hapo Kaa usubiri uzee tu